Kamati ya Zito kujadili wazi IPTL
HATIMAYE Ripoti ya Mkaguzi na Mdhibiti Mkuu wa Hesabu za Serikali (CAG), kuhusu utoaji wa zaidi ya Sh bilioni 200 katika akaunti ya Escrow ya Benki Kuu ya Tanzania (BoT), imekabidhiwa kwa Mwenyekiti wa Kamati ya Bunge ya Hesabu za Serikali (PAC), Kabwe Zitto.
habarileo
Habari Zinazoendana
10 years ago
Mtanzania07 Nov
Wingu zito IPTL
![Waziri Mkuu Mizengo Pinda](http://mtanzania.co.tz/wp-content/uploads/2014/06/Waziri-Mkuu-Mizengo-Pinda.jpg)
Waziri Mkuu Mizengo Pinda
Na Bakari Kimwanga, Dodoma
WINGU zito limeendelea kutanda kuhusu uchunguzi wa sakata la Kampuni ya Kufua Umeme ya IPTL baada ya Waziri Mkuu Mizengo Pinda kusema hajapokea taarifa yoyote ya uchunguzi wa Sh bilioni 200 katika Akaunti ya Tegeta Escrow.
Alisema kama angekuwa ameipokea kamwe haoni sababu ya kukaa nayo kimya.
Alisema pindi akiipokea taarifa hiyo ataiwasilisha kwa Spika wa Bunge, Anne Makinda kama utaratibu unavyotakiwa.
Pinda alitoa kauli hiyo bungeni...
11 years ago
GPL![](http://www.thehabari.com/wp-content/uploads/2014/08/0016.jpg?width=640)
TGNP NA KONGAMANO LA WAZI KUJADILI MCHAKATO WA KATIBA MPYA
10 years ago
VijimamboHUDUMA YA GOOD NEWS FOR ALL MINISTRY YAOMBA KUWEPO MJADALA WA WAZI KUJADILI TATIZO LA ULEVI NCHINI
10 years ago
GPLHUDUMA YA GOOD NEWS FOR ALL MINISTRY YAOMBA KUWEPO MJADALA WA WAZI KUJADILI TATIZO LA ULEVI NCHINI
10 years ago
Tanzania Daima02 Nov
Kamati yataka ripoti ya IPTL
KAMATI ya Uchumi, Viwanda na Biashara, imeitaka Serikali kuwasilisha taarifa ya uchunguzi wa sh. milioni 200 za IPTL katika vikao vya Bunge vinavyotarajiwa kuanza wiki hii, mkoani Dodoma. Akizungumza na...
11 years ago
Mwananchi17 Mar
Kamati ya Zitto yataka ukaguzi IPTL
11 years ago
Michuzi![](http://2.bp.blogspot.com/-6h0rfFThnOs/U14C6uStCEI/AAAAAAACftE/_W1CYaE6jOw/s72-c/310.jpg)
Maaskofu Mwanza, Kamati kujadili Pasaka
![](http://2.bp.blogspot.com/-6h0rfFThnOs/U14C6uStCEI/AAAAAAACftE/_W1CYaE6jOw/s1600/310.jpg)
MAASKOFU wa Makanisa mbalimbali jijini Mwanza asubuhi hiii wanakutana na Kamati ya Maandalizi ya Tamasha la Pasaka kabla ya tamasha hilo linalotarajia kufanyika Mei 4 kwenye Uwanja wa CCM Kirumba jijini humo.
Kwa mujibu wa Makamu Mwenyekiti wa Kamati ya maandalizi hayo, Abihudi Mang’era mkutano huo utajadili mipangilio...
10 years ago
Habarileo14 Oct
Kamati Kuu Chadema kujadili Katiba, uchaguzi
SIKU chache baada ya kukamilika kwa mchakato wa kuandika Katiba Inayopendekezwa, Kamati Kuu ya Chama cha Demokrasia na Maendeleo (CHADEMA) inatarajiwa kukutana kwa siku mbili kuanzia leo jijini Dar es Salaam kujadili pamoja na mambo mengine, mchakato wa mabadiliko ya Katiba.
10 years ago
Mwananchi16 Dec
Kamati Kuu Chadema yaitwa kujadili uchaguzi