Maaskofu Mwanza, Kamati kujadili Pasaka
![](http://2.bp.blogspot.com/-6h0rfFThnOs/U14C6uStCEI/AAAAAAACftE/_W1CYaE6jOw/s72-c/310.jpg)
Pichani Kulia ni Mkurugenzi wa Msama Promotions Ltd,Alex Msama alipokuwa akizungumza na Wanahabari hivi karibuni kuhusiana na muendelezo wa tamasha la Pasaka 2014.
MAASKOFU wa Makanisa mbalimbali jijini Mwanza asubuhi hiii wanakutana na Kamati ya Maandalizi ya Tamasha la Pasaka kabla ya tamasha hilo linalotarajia kufanyika Mei 4 kwenye Uwanja wa CCM Kirumba jijini humo.
Kwa mujibu wa Makamu Mwenyekiti wa Kamati ya maandalizi hayo, Abihudi Mang’era mkutano huo utajadili mipangilio...
Michuzi
Habari Zinazoendana
10 years ago
Habarileo16 Nov
Kamati ya Zito kujadili wazi IPTL
HATIMAYE Ripoti ya Mkaguzi na Mdhibiti Mkuu wa Hesabu za Serikali (CAG), kuhusu utoaji wa zaidi ya Sh bilioni 200 katika akaunti ya Escrow ya Benki Kuu ya Tanzania (BoT), imekabidhiwa kwa Mwenyekiti wa Kamati ya Bunge ya Hesabu za Serikali (PAC), Kabwe Zitto.
10 years ago
Mwananchi16 Dec
Kamati Kuu Chadema yaitwa kujadili uchaguzi
10 years ago
Habarileo21 Jan
Kamati Kuu CCM kujadili vigogo Escrow
IMEELEZWA kuwa, maamuzi yote ya kikao cha Kamati Ndogo ya Maadili ya CCM kilichokutana juzi, kujadili masuala ya kimaadili kwa wanachama wake wanaotajwa kuhusika katika sakata la Akaunti ya Tegeta Escrow katika Benki Kuu ya Tanzania (BoT), yatafikishwa katika Kamati Kuu ya Chama kwa hatua zaidi.
10 years ago
Habarileo14 Oct
Kamati Kuu Chadema kujadili Katiba, uchaguzi
SIKU chache baada ya kukamilika kwa mchakato wa kuandika Katiba Inayopendekezwa, Kamati Kuu ya Chama cha Demokrasia na Maendeleo (CHADEMA) inatarajiwa kukutana kwa siku mbili kuanzia leo jijini Dar es Salaam kujadili pamoja na mambo mengine, mchakato wa mabadiliko ya Katiba.
10 years ago
VijimamboKamati ya Bloggers Tanzania Yaanza Kujadili Rasimu
11 years ago
Tanzania Daima01 May
Moto wa Tamasha la Pasaka kuibukia Shinyanga, Mwanza
MALKIA wa Muziki wa Injili Afrika, Rebecca Malope wa Afrika Kusini anatarajiwa kutua nchini kesho tayari kuwasha moto katika onyesho maalumu kwa wapendwa na wadau wa Kanda ya Ziwa, ukiwa...
10 years ago
Habarileo13 Jun
Kamati Kuu CCM kujadili migogoro ya ardhi Karagwe
TATIZO la migogoro ya ardhi, ukiwamo wa ranchi ya Kitengule, wilayani hapa, linatarajiwa kufikishwa katika Kamati Kuu (CC) ya Chama Cha Mapinduzi (CCM) kwa ajili ya kutafutiwa ufumbuzi.
11 years ago
Michuzi![](http://2.bp.blogspot.com/-eMYj6Ts8F-0/Uzozc1CjxZI/AAAAAAAFXoA/EfZVwlOWqbs/s72-c/mh-william-ngeleja-waziri-wa-nishati-na-madini-akihutubia-pic-by-baraka-baraka.jpg)
Ngeleja mgeni rasmi tamasha la Pasaka jijini Mwanza
![](http://2.bp.blogspot.com/-eMYj6Ts8F-0/Uzozc1CjxZI/AAAAAAAFXoA/EfZVwlOWqbs/s1600/mh-william-ngeleja-waziri-wa-nishati-na-madini-akihutubia-pic-by-baraka-baraka.jpg)
Mang’era alisema tamasha hilo litakuwa ni la aina yake ambako alitoa wito kwa wakazi wa Kanda ya ziwa kujitokeza kwa wingi katika tamasha...