Jobs

Sales Representative

NORTH AMERICA ALIGN WORKERS EMPLOYMENT PROGRAM (NAAWEP)
Deadline: Oct 26, 2105




POPULAR ON YOUTUBE


Kamikaze atangaza kuachia album ya Rap

kamikaze

Msanii anayeiwakilisha Singida, Cyrill Kamikaze ametangaza kurudi kwenye aina ya muziki aliyokuwa akifanya awali (Rap) baada ya kutoa nyimbo za kuimba mfululizo kwa kipindi kirefu.

kamikaze

Akizungumza katika Kipindi cha Bongo Fleva cha Cloudsfm Jumamosi iliyopita, Kamikaze amesema kuwa kutokana na maoni mengi aliyopata kutoka kwa mashabiki wake, ameamua kuja na album ya Rap itakayokuwa na nyimbo 13.

Alisema kuwa album hiyo itatoka hivi karibuni.

Kamikaze ambaye ameshafanya nyimbo za kuimba kama...

Bongo5

Read more


Habari Zinazoendana

10 years ago

Bongo5

Tyga atangaza tarehe ya kuachia album yake mpya ‘The Gold Album’

Baada ya rapper Tyga kuitupia lawama label yake ya Young Money (YMCMB) hivi karibuni kuwa inambania album yake kutoka, rapper huyo ametumia Twitter kutangaza tarehe ya kutoka album yake inayoitwa “The Gold Album” ambayo sasa itatoka mwezi ujao. Kupitia Twitter Tyga ameandika sasa album hiyo itatoka siku mbili kabla ya sikukuu ya Christmas Dec 23. […]

 

9 years ago

Bongo5

Chris Brown atangaza tarehe ya kuachia album yake mpya ‘Royalty’

Chris Brown tayari ameweka wazi tarehe ya kuachia album yake mpya aliyoipa jina la mwanaye ‘Royalty’ ambayo imepangwa kutoka rasmi November 27, 2015. Taarifa za album hiyo zimetolewa kupitia kipindi cha ‘Nessa and Camilo’. Nyimbo zilizoishasikika kutoka kwenye album hiyo ni ‘Liquor’ pamoja na ‘Zero’. Sina shaka ‘Royalty’ haitakumbwa na mikosi kama album yake iliyopita […]

 

9 years ago

Bongo5

Davido atangaza tarehe mpya ya kuachia album yake mpya ‘Baddest’

Mwenyekiti wa label ya HKN records inayomsimamia Davido, Adewale Adeleke ambaye pia ni kaka yake ametangaza tarehe mpya ya kuachia album mpya ya star huyo wa Nigeria, ‘Baddest’ baada ya kushidwa kutoka mwezi September kama ilivyopangwa awali. Album hiyo ambayo imekuwa ikipangwa kuachiwa na kuahirishwa mara tatu, sasa itatoka Jumamosi ya October 10, 2015. Mastaa […]

 

9 years ago

Bongo5

One The Incredible kuachia album yake mpya

One Incredible

Rapper One The Incredible amesema yupo kwenye maandalizi ya kuachia album yake mpya ambayo bado hajaipa jina.

One Incredible

One ameiambia Bongo5 kuwa album hiyo ataifanya iwe bora ili kuhakikisha kuwa mashabiki wake wanapata kitu chenye ubora wa hali ya juu.

“Sasa nina nyimba 18 tayari nimesharekodi na bado ninaendelea kurekodi ndio nianze kupanga ipi itoke na ipi ibaki. Lakini najua na ninajipanga vizuri album iwe kali kila mwenye bahati ya kuwa nayo anufaike na kile nilichokifannya. Na mpaka sasa hivi...

 

10 years ago

CloudsFM

CHIDI BENZ KUACHIA ALBUM YA PAMOJA NA FID Q

Tasnia ya muziki wa kizazi kipya sasa hivi inasubiria kwa hamu album ya pamoja ya wasanii wakubwa wa hip hop ndani ya Afrika Mashariki, album kati ya Chidi Benz na Fid Q.Sasa hivi Chidi Benz ana zaidi ya wiki uraiani baada ya kukaa zaidi ya siku nne nyuma ya nondo, alisema kuwa bado hawajaanza kurekodi lakini muda si mrefu wataanza kurekodi na anaamini itakuwa ni bonge la albam mashabiki wakae tayari.

 

9 years ago

Bongo5

Ruby aeleza mpango wake wa kuachia album

Hit-maker wa ‘Na Yule’ Ruby amesema anajipanga kuachia album yake mpya huku akiwa anajiamini kuwa atafanikiwa kuiuza licha ya kuwepo kwa changamoto ya masoko. Ruby ameambia E-newz ya EATV kuwa anaamini kuuzika ama kutokuuzika kwa album kunatokana na uzuri wa kazi na jinsi msanii anavyoitengeneza. “Album yangu inakuja soon,” alisema. Mimi naamini album inauza kutokana […]

 

10 years ago

Bongo5

Ne-Yo kuachia album yake mpya ‘Non Fiction’ January, 2015

Mwimbaji wa R&B na mwandishi wa hit songs nyingi za mastaa wakubwa, Ne-yo ameitaja tarehe ya kuachia album yake mpya aliyoipa jina la ‘Non Fiction’. Baada ya kuahirisha mara kadhaa sasa album ya sita ya Ne-Yo inatarajiwa kutoka January 27, 2015 ikiwa ni takriban miaka mitatu toka atoe album yake ya mwisho ‘R.E.D’ mwaka 2012. […]

 

10 years ago

Bongo5

Vanessa Mdee kuachia album mwakani, itaitwa ‘Money Mondays’

Mshindi wa tuzo za AFRIMA 2014, kwenye kipengele cha Msanii bora wa kike Afrika Mashariki, Vanessa Mdee ataachia album yake ya kwanza mwakani. Muimbaji huyo wa ‘Hawajui’ amedai kuwa album hiyo itaitwa ‘Money Mondays’. “Ni kwasababu Jumatatu kila mtu huamka na lengo la kutengeneza pesa,” alisema Vanessa kuhusu sababu za kuipa album yake jina hilo. […]

 

10 years ago

Bongo5

Wizkid kuachia album mpya aliyowashirikisha Tyga, Akon na Wale

Star wa Nigeria, Wizkid ameshare cover ya album yake mpya anayotarajia kuiachia. Album hiyo ameiita jina lale halisi ‘Ayo’ ikimaanisha furaha (Joy). Jina kamili la mwimbaji huyo wa ‘Show You The Money’ ni Ayodeji Ibrahim Balogun. Katika album hiyo yenye nyimbo 18 na wimbo mmoja wa ziada (bonus), amewashirikisha wasanii mbalimbali wa Nigeria pamoja na […]

 

Share

Magazeti ya Leo

Stay updated, Sign up

Habari za Mikoani