Jobs

Sales Representative

NORTH AMERICA ALIGN WORKERS EMPLOYMENT PROGRAM (NAAWEP)
Deadline: Oct 26, 2105




POPULAR ON YOUTUBE


Kampuni ya Canadian Solutions Trading & Cleaning Est watambulisha Tiles aina mpya zisizokuwa na utelezi kwenye soko la Tanzania

Kampuni ya Canadian Solution Trading&Cleaning Est Juzi imetambulisha aina mpya ya Tiles kwenye soko la Tanzania ikiwa na kauli ya  “SURE STEP” ndani ya Hotel ya Double Tree Jijini Dar es Salaam. Aina mpya hiyo ya Tiles ni mpya Tanzania kwani ni aina ambayo haina utelezi wakati wote hata pindi ikiwa na maji au imelowa kwa Mvua au Unyevunyevu. Sure Step inafanya Kazi Vipi? akiongea na wageni walioalikwa na wadau mbalimbali Bwana Thomas amesema kuwa Tiles hizo zina ubora wa hali ya juu ikiwemo...

Dewji Blog

Read more


Habari Zinazoendana

10 years ago

Vijimambo

KAMPUNI YA CANADIAN SOLUTIONS TRADING&CLEANING Est WATAMBULISHA TILES AINA MPYA ZISIZOKUWA NA UTELEZI KWENYE SOKO LA TANZANIA

 Kampuni ya Canadian Solution Trading&Cleaning Est Juzi imetambulisha Aina Mpya Ya Tiles kwenye soko la Tanzania ikiwa na kauli ya  "SURE STEP" ndani ya Hotel ya Double Tree Jijini Dar es Salaam..Aina mpya hiyo ya Tiles ni mpya Tanzania kwani ni aina ambayo haina utelezi wakati wote hata pindi ikiwa na maji au Imelowa kwa Mvua au Unyevunyevu.Sure Step inafanya Kazi Vipi?akiongea na wageni walioalikwa na wadau mbalimbali Bwana Thomas amesema kuwa Tiles Hizo zina ubora wa hali ya juuu ikiwemo...

 

11 years ago

Michuzi

KAMPUNI YA ORIFLAME YATAMBULISHA BIDHAA ZAKE KWENYE SOKO LA TANZANIA

Bi. Maznat Yusuph Sinare akieleza namna bidhaa na vipodozi mbalimbali vilivyokuwa na ubora wa kimataifa kwenye uzinduzi wa vipodozi vipya vya kampuni ya ORIFLAME kwenye ukumbi wa ukumbi wa Zanzibar katika Hotel ya Hyatt Regenc  Kilimanjaro Hotel jijini Dar es salaam.Kampuni ya Vipozi vya aina mbalimbali vya urembo OriFlame wamefanya maonesho ya Bidhaa zao Tarehe 2.07.2014 katika ukumbi wa Zanzibar katika Hotel ya Hyatt Regency(The Kilimanjaro Hotel).Kampuni hiyo yenye wigo mpana wa...

 

10 years ago

Dewji Blog

Simu mpya ya Huawei P8 yazinduliwa kwenye soko la Tanzania

IMG_7824

Mkurugenzi wa Masoko na Mauzo wa kampuni ya Huawei Tanzania, Bw.Samson Majwala akizungumzia ubora wa simu mpya ya Smartphone ya kisasa aina ya Huawei P8 ambayo imezinduliwa leo jijini Dar es Salaam ikiwa ni muendelezo wa kampuni hiyo kuleta mapinduzi kwenye nyanja ya mawasiliano ulimwenguni mbele ya jopo la waandishi wa habari pamoja na wadau katika hafla fupi iliyofanyika kwenye hoteli ya Hyatt Regency.

IMG_7894

IMG_7856

Meneja Mkazi anayeshughulikia bidhaa za kampuni ya Huawei Tanzania, Bw. Zhang...

 

10 years ago

Michuzi

VIONGOZI WAPYA WA CHAMA CHA MAKATIBU MAHSUSI TANZANIA WATAMBULISHA OFISI MPYA ZA CHAMA




Nyumba ya Maarifa (NIP) mkabala ATCL House, Ghorofa ya Kwanza, Mtaa wa Ohio, S.L.P. 79868, Dar es Salaam. Simu: +255 22 2127464, Nukushi: +255 22 2126399 Barua pepe: info@tapsea.org, Tovuti: http://www.tapsea.org



 
VIONGOZI WAPYA WA CHAMA CHA MAKATIBU MAHSUSI TANZANIA WATAMBULISHA OFISI MPYA ZA CHAMA
MWENYEKITI WA CHAMA CHA MAKATIBU MAHSUSI TANZANIA – TAPSEA ANAWAJULISHA MAKATIBU MAHSUSI WOTE TANZANIA KUWA OFISI YA TAPSEA IMEHAMIA KATIKA JENGO LA NYUMBA YA MAARIFA (NIP) MTAA WA...

 

9 years ago

StarTV

Kampuni mpya zaingia kwa kishindo  katika soko la hisa

 

Soko la Hisa la Dar es Salaam, DSE limeeleza kushuhudia mabadiliko kiasi ya shughuli zake kwa wiki hii, wakati ambapo pia linapita kwenye hatua ya kujirekebisha baada ya kumalizika kwa mchakato wa uchaguzi mkuu kwa baadhi ya kaunta za soko hilo kuonyesha hali ya tofauti kwenye mauzo ya hisa zake.

Baadhi ya kampuni zilizokuwa zikifanya vizuri zaidi, zimeonekana kuzidiwa kimauzo na kampuni nyingine, hususan taasisi za fedha ambazo zimeonyesha kupanda zaidi kimauzo.

Soko hilo limeshuhudia...

 

5 years ago

Michuzi

CHUO KIKUU CHA SAUT NA KAMPUNI YA REAL PR SOLUTIONS WASAINI MAKUBALIANO YA UTEKELEZAJI WA PAMOJA MPANGO WA MAFUNZO KWA WADAU WA UTALII UJULIKANAO “UTALII MPYA WAKATI NA BAADA YA CORONA" .

Programu ya mafunzo ya kuhusu namna bora ya kuendesha, kukuza na kutambua fursa zilizopo kwenye sekta ya utalii hapa nchini inatarajiwa kuzinduliwa hivi karibuni jijini  Mwanza.
Zaidi, mafunzo hayo yanalenga pia kuandaa wadau wa utalii hapa nchini ili waweze kutoa huduma zao kwa weledi huku wakizingatia kanuni za kiafya pindi sekta hiyo itakapoimarika baada ya kuathirika kwa kiasi kikubwa  kutokana na janga la ugonjwa wa homa ya mapafu (COVID0-19) unaosababishwa na virus vya corona ambalo...

 

10 years ago

Dewji Blog

Kampuni ya Tanzania Distilleries Ltd (TDL) yazindua kinywaji kipya cha kimataifa, Fyfe’s Scotch Whisky katika soko la Tanzania

Mkurugenzi mtendaji wa TDL David Mgwasa akielezea na kutoa ufafanuzi wa Kinywaji kipya aina ya Fyfe’s.Kampuni ya Tanzania distilleries ltd (tdl) Juzi Tarehe 20 mwezi wa 8 2014 imefanya uzinduzi wa kinywaji chake kipaya aina ya  Fyfe’s katika hoteli ya Serena, Kinywaji hicho ambacho uhalisia wake na uzindikaji ni wa nchini scotland.Mkurugenzi wa TDL David Mgwasa amewaomba waTanzania kukipokea kinywaji hicho kwenye soko la vimiminika kwani kina ubora wa hali ya juu na kimetengenezwa kwa...

 

5 years ago

Business 2 Community

Bitcoin Investment, Trading & Mining: The Ultimate Guide for Beginners

Bitcoin Investment, Trading & Mining: The Ultimate Guide for Beginners  Business 2 CommunityBitcoin IG Client Sentiment: Our data shows traders are now at their most net-long Bitcoin since Dec 18 when Bitcoin traded near 7,269.23.  DailyFXView Full coverage on Google News

 

11 years ago

GPL

KIJUMOZ FUMIGATION & CLEANING YATOA MSAADA KWA WATOTO YATIMA

Mkurugenzi wa Kijumoz, Mohamed Jumbe (kulia), akikabidhi misaada kwa katibu wa kituo cha Watoto Yatima cha Chakwama, Hassan Hamisi.
Mkurugenzi wa Kijumoz, Mohamed Jumbe, akimpatia mtoto zawadi ya tende.…

 

Share

Magazeti ya Leo

Stay updated, Sign up

Habari za Mikoani