KAMPUNI YA CANADIAN SOLUTIONS TRADING&CLEANING Est WATAMBULISHA TILES AINA MPYA ZISIZOKUWA NA UTELEZI KWENYE SOKO LA TANZANIA
Kampuni ya Canadian Solution Trading&Cleaning Est Juzi imetambulisha Aina Mpya Ya Tiles kwenye soko la Tanzania ikiwa na kauli ya "SURE STEP" ndani ya Hotel ya Double Tree Jijini Dar es Salaam..Aina mpya hiyo ya Tiles ni mpya Tanzania kwani ni aina ambayo haina utelezi wakati wote hata pindi ikiwa na maji au Imelowa kwa Mvua au Unyevunyevu.Sure Step inafanya Kazi Vipi?akiongea na wageni walioalikwa na wadau mbalimbali Bwana Thomas amesema kuwa Tiles Hizo zina ubora wa hali ya juuu ikiwemo...
Vijimambo
Habari Zinazoendana
10 years ago
Dewji Blog22 Sep
Kampuni ya Canadian Solutions Trading & Cleaning Est watambulisha Tiles aina mpya zisizokuwa na utelezi kwenye soko la Tanzania
Kampuni ya Canadian Solution Trading&Cleaning Est Juzi imetambulisha aina mpya ya Tiles kwenye soko la Tanzania ikiwa na kauli ya “SURE STEP” ndani ya Hotel ya Double Tree Jijini Dar es Salaam. Aina mpya hiyo ya Tiles ni mpya Tanzania kwani ni aina ambayo haina utelezi wakati wote hata pindi ikiwa na maji au imelowa kwa Mvua au Unyevunyevu. Sure Step inafanya Kazi Vipi? akiongea na wageni walioalikwa na wadau mbalimbali Bwana Thomas amesema kuwa Tiles hizo zina ubora wa hali ya juu ikiwemo...
11 years ago
MichuziKAMPUNI YA ORIFLAME YATAMBULISHA BIDHAA ZAKE KWENYE SOKO LA TANZANIA
10 years ago
Dewji Blog15 Jul
Simu mpya ya Huawei P8 yazinduliwa kwenye soko la Tanzania
Mkurugenzi wa Masoko na Mauzo wa kampuni ya Huawei Tanzania, Bw.Samson Majwala akizungumzia ubora wa simu mpya ya Smartphone ya kisasa aina ya Huawei P8 ambayo imezinduliwa leo jijini Dar es Salaam ikiwa ni muendelezo wa kampuni hiyo kuleta mapinduzi kwenye nyanja ya mawasiliano ulimwenguni mbele ya jopo la waandishi wa habari pamoja na wadau katika hafla fupi iliyofanyika kwenye hoteli ya Hyatt Regency.
Meneja Mkazi anayeshughulikia bidhaa za kampuni ya Huawei Tanzania, Bw. Zhang...
10 years ago
Michuzi![](http://2.bp.blogspot.com/-2nkx2em4eO0/VG7ltmWPtkI/AAAAAAACvDg/7NvsxG0-gJM/s72-c/New%2BPicture%2B(1).png)
VIONGOZI WAPYA WA CHAMA CHA MAKATIBU MAHSUSI TANZANIA WATAMBULISHA OFISI MPYA ZA CHAMA
![](http://2.bp.blogspot.com/-2nkx2em4eO0/VG7ltmWPtkI/AAAAAAACvDg/7NvsxG0-gJM/s1600/New%2BPicture%2B(1).png)
Nyumba ya Maarifa (NIP) mkabala ATCL House, Ghorofa ya Kwanza, Mtaa wa Ohio, S.L.P. 79868, Dar es Salaam. Simu: +255 22 2127464, Nukushi: +255 22 2126399 Barua pepe: info@tapsea.org, Tovuti: http://www.tapsea.org
![](file:///C:%5CUsers%5CMichuzi%5CAppData%5CLocal%5CTemp%5Cmsohtmlclip1%5C01%5Cclip_image001.png)
![](file:///C:%5CUsers%5CMichuzi%5CAppData%5CLocal%5CTemp%5Cmsohtmlclip1%5C01%5Cclip_image002.png)
VIONGOZI WAPYA WA CHAMA CHA MAKATIBU MAHSUSI TANZANIA WATAMBULISHA OFISI MPYA ZA CHAMA
MWENYEKITI WA CHAMA CHA MAKATIBU MAHSUSI TANZANIA – TAPSEA ANAWAJULISHA MAKATIBU MAHSUSI WOTE TANZANIA KUWA OFISI YA TAPSEA IMEHAMIA KATIKA JENGO LA NYUMBA YA MAARIFA (NIP) MTAA WA...
9 years ago
StarTV10 Nov
Kampuni mpya zaingia kwa kishindo  katika soko la hisa
Soko la Hisa la Dar es Salaam, DSE limeeleza kushuhudia mabadiliko kiasi ya shughuli zake kwa wiki hii, wakati ambapo pia linapita kwenye hatua ya kujirekebisha baada ya kumalizika kwa mchakato wa uchaguzi mkuu kwa baadhi ya kaunta za soko hilo kuonyesha hali ya tofauti kwenye mauzo ya hisa zake.
Baadhi ya kampuni zilizokuwa zikifanya vizuri zaidi, zimeonekana kuzidiwa kimauzo na kampuni nyingine, hususan taasisi za fedha ambazo zimeonyesha kupanda zaidi kimauzo.
Soko hilo limeshuhudia...
5 years ago
Michuzi![](https://1.bp.blogspot.com/-xOHbWN1SM9A/XrfHLIoVwZI/AAAAAAAEG90/EZ550BNLslgEH1754wCkXT1XoNkeMentQCLcBGAsYHQ/s72-c/SAUT.jpg)
CHUO KIKUU CHA SAUT NA KAMPUNI YA REAL PR SOLUTIONS WASAINI MAKUBALIANO YA UTEKELEZAJI WA PAMOJA MPANGO WA MAFUNZO KWA WADAU WA UTALII UJULIKANAO “UTALII MPYA WAKATI NA BAADA YA CORONA" .
Zaidi, mafunzo hayo yanalenga pia kuandaa wadau wa utalii hapa nchini ili waweze kutoa huduma zao kwa weledi huku wakizingatia kanuni za kiafya pindi sekta hiyo itakapoimarika baada ya kuathirika kwa kiasi kikubwa kutokana na janga la ugonjwa wa homa ya mapafu (COVID0-19) unaosababishwa na virus vya corona ambalo...
10 years ago
Dewji Blog22 Aug
Kampuni ya Tanzania Distilleries Ltd (TDL) yazindua kinywaji kipya cha kimataifa, Fyfe’s Scotch Whisky katika soko la Tanzania
Mkurugenzi mtendaji wa TDL David Mgwasa akielezea na kutoa ufafanuzi wa Kinywaji kipya aina ya Fyfe’s.Kampuni ya Tanzania distilleries ltd (tdl) Juzi Tarehe 20 mwezi wa 8 2014 imefanya uzinduzi wa kinywaji chake kipaya aina ya Fyfe’s katika hoteli ya Serena, Kinywaji hicho ambacho uhalisia wake na uzindikaji ni wa nchini scotland.Mkurugenzi wa TDL David Mgwasa amewaomba waTanzania kukipokea kinywaji hicho kwenye soko la vimiminika kwani kina ubora wa hali ya juu na kimetengenezwa kwa...
5 years ago
Business 2 Community05 Mar
Bitcoin Investment, Trading & Mining: The Ultimate Guide for Beginners
11 years ago
GPL![](http://api.ning.com:80/files/dnCWvahr*CpN40MU7MIHbE7HXSJSoMr0TgZ08Jw4ixN9K4nekU*xMrR6fi-LEzBb79utfEyxDiWWpS2Aoe90yodN8OFADBxU/1.jpg?width=650)
KIJUMOZ FUMIGATION & CLEANING YATOA MSAADA KWA WATOTO YATIMA