Kampuni za Uingereza zaingia Tanzania
Ujumbe wa makampuni 14 ya biashara kutoka Uingereza upo Tanzania kwa ajili ya kutafuta fursa za biashara.
BBCSwahili
Habari Zinazoendana
9 years ago
StarTV10 Nov
Kampuni mpya zaingia kwa kishindo  katika soko la hisa
Soko la Hisa la Dar es Salaam, DSE limeeleza kushuhudia mabadiliko kiasi ya shughuli zake kwa wiki hii, wakati ambapo pia linapita kwenye hatua ya kujirekebisha baada ya kumalizika kwa mchakato wa uchaguzi mkuu kwa baadhi ya kaunta za soko hilo kuonyesha hali ya tofauti kwenye mauzo ya hisa zake.
Baadhi ya kampuni zilizokuwa zikifanya vizuri zaidi, zimeonekana kuzidiwa kimauzo na kampuni nyingine, hususan taasisi za fedha ambazo zimeonyesha kupanda zaidi kimauzo.
Soko hilo limeshuhudia...
10 years ago
Dewji Blog25 Feb
Simu za Obi Mobiles zaingia Tanzania
Simu ya Obi aina ya S550-Crane.
Na Mwandishi Wetu
MWANZILISHI mwenza wa kampuni ya kimataifa ya teknolojia ya mawasiliano ya Obi Mobiles, yenye makao makuu yake Singapore, John Sculley amesema ujio wa kampuni hiyo nchini Tanzania, utaongeza wigo wa utumiaji wa tehama na hasa matumizi ya zana za kisasa za mawasiliano.
Obi Mobile inatumia teknolojia iliyobuniwa mjini Toronto, Canada na kampuni ya Inflexionpoint.
John Sculley, ambaye alishawahi kuwa ofisa mtendaji mkuu wa kampuni ya Apple...
10 years ago
GPL![](http://dewjiblog.com/wp-content/uploads/2015/02/S550-Crane-1.png)
SIMU ZA OBI MOBILES ZAINGIA TANZANIA
11 years ago
Michuzi![](http://4.bp.blogspot.com/-_F5i1haGH3E/Uw2ruhiKC6I/AAAAAAAFPqw/ryYh68rGhTQ/s72-c/unnamed+(48).jpg)
Balozi Seif Ali Idd akutana na Mkurugenzi wa Kampuni inayojihusisha na mafunzo ya ufundi ya European Erun ya Nchini Uingereza
![](http://4.bp.blogspot.com/-_F5i1haGH3E/Uw2ruhiKC6I/AAAAAAAFPqw/ryYh68rGhTQ/s1600/unnamed+(48).jpg)
![](http://2.bp.blogspot.com/-ThOOHlYAjBU/Uw2rvOUYNfI/AAAAAAAFPq4/q9-DEq90pn8/s1600/unnamed+(50).jpg)
11 years ago
Michuzi![](http://2.bp.blogspot.com/-HapakVEZnU0/U24LmXL9ZAI/AAAAAAAFgpQ/-s_TkmaJ8ac/s72-c/unnamed.jpg)
Kampuni ya BG Tanzania na shirika la Africare Tanzania wazindua Mradi wa Kuwawezesha Vijana Mkoani Mtwara
![](http://2.bp.blogspot.com/-HapakVEZnU0/U24LmXL9ZAI/AAAAAAAFgpQ/-s_TkmaJ8ac/s1600/unnamed.jpg)
Kampuni ya BG kwa kushirikiana na Kampuni ya...
11 years ago
Michuzi![](http://3.bp.blogspot.com/-ap3AFHG2O60/U815BJnnf1I/AAAAAAAF4j4/wwENcTmMZ2o/s72-c/unnamed+(28).jpg)
Balozi Mdogo wa Tanzania, Dubai, atembelea kampuni ya Nyumba ya NAKHEEL yenye nia ya kuwekeza Tanzania
![](http://3.bp.blogspot.com/-ap3AFHG2O60/U815BJnnf1I/AAAAAAAF4j4/wwENcTmMZ2o/s1600/unnamed+(28).jpg)
Baadhi ya miradi iliyosimamiwa na kampuni hiyo ni pamoja na The Palm Dubai (the largest island Palm City in the World), Nakheel Mall, Dragon Mart na baadhi ya hotel za nyota tano Jijini Dubai.
Kufuatia mazungumzo kati ya Mhe. Mjenga na Bw. Rashid Lootah, mwenyekiti wa NAKHEEL,...
10 years ago
Vijimambo08 Dec
BODI YA UTALII TANZANIA (TTB) TIMU YA MPIRA WA MIGUU YA SUNDERLAND (SAFC) ZATANGAZA UTALII WA TANZANIA UINGEREZA
![1](http://www.fullshangweblog.com/wp-content/uploads/2014/12/110.jpg)
10 years ago
Dewji Blog08 Dec
Bodi ya Utalii Tanzania (TTB) na Timu ya mpira wa miguu ya Sunderland (SAFC) zatangaza utalii wa Tanzania Uingereza
Balozi wa Tanzania nchini Uingereza Mh. Peter Kallaghe na Garry Hutchinson Mkurugenzi wa Biashara wa timu ya mpira ya Sunderland wakionyesha jezi ya iliyoandikwa Tanzania yenye rangi za timu hiyo wakati wa uzinduzi rasmi wa matangazo ya Utalii wa Tanzania yanayotangazwa katika uwanja wa timu hiyo kutoka kulia ni Meneja wa Masoko wa Bodi ya Utalii Bw. Geofrey Meena, Teddy Mapunda mjumbe wa Bodi ya wakurugenzi ya (TTB) na kutoka kushoto ni Mdau wa Utalii Bw. Nestor Mapunda na Kaimu Mkurugenzi...
9 years ago
MichuziRADIO CALL ZA KISASA ZAINGIA NCHINI
Naibu Mkurugenzi wa Masafa wa Mamlaka ya Mawasiliano Tanzania (TCRA), Libena Denis amesema kuwa kazi kubwa na kuona mawasiliano ya radio yanakua na hivyo TCRA lazima isimamie.
Denis amesema kuwa...