Jobs

Sales Representative

NORTH AMERICA ALIGN WORKERS EMPLOYMENT PROGRAM (NAAWEP)
Deadline: Oct 26, 2105




POPULAR ON YOUTUBE


Kampuni za Uingereza zaingia Tanzania

Ujumbe wa makampuni 14 ya biashara kutoka Uingereza upo Tanzania kwa ajili ya kutafuta fursa za biashara.

BBCSwahili

Read more


Habari Zinazoendana

9 years ago

StarTV

Kampuni mpya zaingia kwa kishindo  katika soko la hisa

 

Soko la Hisa la Dar es Salaam, DSE limeeleza kushuhudia mabadiliko kiasi ya shughuli zake kwa wiki hii, wakati ambapo pia linapita kwenye hatua ya kujirekebisha baada ya kumalizika kwa mchakato wa uchaguzi mkuu kwa baadhi ya kaunta za soko hilo kuonyesha hali ya tofauti kwenye mauzo ya hisa zake.

Baadhi ya kampuni zilizokuwa zikifanya vizuri zaidi, zimeonekana kuzidiwa kimauzo na kampuni nyingine, hususan taasisi za fedha ambazo zimeonyesha kupanda zaidi kimauzo.

Soko hilo limeshuhudia...

 

10 years ago

Dewji Blog

Simu za Obi Mobiles zaingia Tanzania

S550-Crane-1

Simu ya Obi aina ya S550-Crane.

Na Mwandishi  Wetu

MWANZILISHI mwenza wa kampuni ya kimataifa ya teknolojia ya mawasiliano ya Obi Mobiles, yenye makao makuu yake  Singapore, John Sculley amesema ujio wa kampuni hiyo nchini Tanzania, utaongeza wigo wa utumiaji wa tehama na hasa matumizi ya zana za kisasa za mawasiliano.

Obi Mobile inatumia teknolojia iliyobuniwa mjini Toronto, Canada na kampuni ya Inflexionpoint.

 John Sculley, ambaye alishawahi kuwa ofisa mtendaji mkuu wa kampuni ya Apple...

 

10 years ago

GPL

SIMU ZA OBI MOBILES ZAINGIA TANZANIA‏

Simu ya Obi aina ya S550-Crane. Na Mwandishi Wetu MWANZILISHI mwenza wa kampuni ya kimataifa ya teknolojia ya mawasiliano ya Obi Mobiles, yenye makao makuu yake Singapore, John Sculley amesema ujio wa kampuni hiyo nchini Tanzania, utaongeza wigo wa utumiaji wa tehama na hasa matumizi ya zana za kisasa za mawasiliano. Obi Mobile inatumia teknolojia iliyobuniwa mjini Toronto, Canada na kampuni ya Inflexionpoint. John Sculley,...

 

11 years ago

Michuzi

Balozi Seif Ali Idd akutana na Mkurugenzi wa Kampuni inayojihusisha na mafunzo ya ufundi ya European Erun ya Nchini Uingereza

Makamu wa Pili wa Rais wa Zanzibar Balozi Seif Ali Iddi akibadilishana mawazo na Mkurugenzi wa Kampuni inayojihusisha na mafunzo ya ufundi ya European Erun ya Nchini Uingereza Bwana Ramesh Kumar mara baada ya mazungumzo yao yaliyofanyika ndani ya Ukumbi wa Msekwa Mjini Dodoma. Kati kati yao ni Waziri wa Ardhi, Makazi, Maji na Nishati Zanzibar Mh. Ramadhan Abdulla Shaaban. Afisa Miradi wa Mfuko wa Hifadhi ya Jamii Zanzibar { ZSSF } Nd.Khalifa Muumin akimpatia ufafanuzi Makamu wa Pili wa...

 

11 years ago

Michuzi

Kampuni ya BG Tanzania na shirika la Africare Tanzania wazindua Mradi wa Kuwawezesha Vijana Mkoani Mtwara

​Mshauri wa Masuala ya Maendeleo ya Jamii na Mahusiano; wa Kampuni ya BG Tanzania, Emil Karuranga (wa pili kushoto) na Naibu Mkurugenzi Mtendaji wa​ ​Shirika la ​Africare, Alfred Kalaghe (wa pili kulia) wakisaini mkataba wa makubaliano wakati wa uzinduzi wa Mradi wa mafunzo kuwawezesha vijana kiuchumi mkoani Mtwara juzi. ​Wanaoshuhudia (kulia) ni Kaimu Katibu Tawala wa Mkoa huo, Johansen Bukwali na Meneja Mradi wa vijana, Dickson Mbita.
Kampuni ya BG kwa kushirikiana na Kampuni ya...

 

11 years ago

Michuzi

Balozi Mdogo wa Tanzania, Dubai, atembelea kampuni ya Nyumba ya NAKHEEL yenye nia ya kuwekeza Tanzania

 Balozi Mdogo wa Tanzania, Dubai, Mhe Omar Mjenga leo ametembelea kampuni ya Nyumba ya NAKHEEL, ambayo ndio kampuni kubwa ya Serikali Dubai, kwa lengo la kujionea miradi mikubwa iliyotekelezwa na kampuni hiyo.
Baadhi ya miradi iliyosimamiwa na kampuni hiyo ni pamoja na The Palm Dubai (the largest island Palm City in the World), Nakheel Mall, Dragon Mart na baadhi ya hotel za nyota tano Jijini Dubai.
Kufuatia mazungumzo kati ya Mhe. Mjenga na Bw. Rashid Lootah, mwenyekiti wa NAKHEEL,...

 

10 years ago

Vijimambo

BODI YA UTALII TANZANIA (TTB) TIMU YA MPIRA WA MIGUU YA SUNDERLAND (SAFC) ZATANGAZA UTALII WA TANZANIA UINGEREZA

1Balozi wa Tanzania nchini Uingereza Mh. Peter Kallaghe na Garry Hutchinson Mkurugenzi wa Biashara wa timu ya mpira ya Sunderland wakionyesha jezi ya iliyoandikwa Tanzania yenye rangi za timu hiyo wakati wa uzinduzi rasmi wa matangazo ya Utalii wa Tanzania yanayotangazwa katika uwanja wa timu hiyo kutoka kulia ni Meneja wa Masoko wa Bodi ya Utalii Bw. Geofrey Meena, Teddy Mapunda mjumbe wa Bodi ya wakurugenzi ya (TTB) na kutoka kushoto ni Mdau wa Utalii Bw. Nestor Mapunda na Kaimu Mkurugenzi...

 

10 years ago

Dewji Blog

Bodi ya Utalii Tanzania (TTB) na Timu ya mpira wa miguu ya Sunderland (SAFC) zatangaza utalii wa Tanzania Uingereza

1

Balozi wa Tanzania nchini Uingereza Mh. Peter Kallaghe na Garry Hutchinson Mkurugenzi wa Biashara wa timu ya mpira ya Sunderland wakionyesha jezi ya iliyoandikwa Tanzania yenye rangi za timu hiyo wakati wa uzinduzi rasmi wa matangazo ya Utalii wa Tanzania yanayotangazwa katika uwanja wa timu hiyo kutoka kulia ni Meneja wa Masoko wa Bodi ya Utalii Bw. Geofrey Meena, Teddy Mapunda mjumbe wa Bodi ya wakurugenzi ya (TTB) na kutoka kushoto ni Mdau wa Utalii Bw. Nestor Mapunda na Kaimu Mkurugenzi...

 

9 years ago

Michuzi

RADIO CALL ZA KISASA ZAINGIA NCHINI

Na Mwandishi Wetu,Globu ya JamiiMAJANGA mbalilmbali nchini ambayo yamekuwa  yakitokea  na kushindwa kupata msaada ni kutokana na kuwa vifaa duni vya mawasiliano ya radio.Akizungumza na waandishi habari leo jijini Dar es Salaam wa Maonyesho na Mkutano wa Mawasiliano ya Radio za Kisasa ‘Radio Call’ 
Naibu Mkurugenzi wa Masafa wa Mamlaka ya Mawasiliano Tanzania (TCRA), Libena Denis amesema kuwa kazi kubwa na kuona mawasiliano ya radio yanakua  na hivyo TCRA lazima isimamie.
Denis amesema kuwa...

 

Share

Magazeti ya Leo

Stay updated, Sign up

Habari za Mikoani