Jobs

Sales Representative

NORTH AMERICA ALIGN WORKERS EMPLOYMENT PROGRAM (NAAWEP)
Deadline: Oct 26, 2105




POPULAR ON YOUTUBE


Kanisa Bunda kutoa vitabu kukabili mauaji

KANISA la Waadiventista Wasabato, Bunda mjini, limeamua kutoa vitabu vya neno ya Mungu bure kwa wananchi wilayani Bunda, Mara, ili wavisome na jamii ibadilike na kuacha vitendo vya mauaji ya...

Tanzania daima

Read more


Habari Zinazoendana

10 years ago

Mtanzania

Polisi waomba ushirikiano kukabili mauaji ya albino

Mkurugenzi wa Makosa ya Jinai (DCI), Isaya Mngulu

Mkurugenzi wa Makosa ya Jinai (DCI), Isaya Mngulu

Na Waandishi Wetu, Dar es Salaam

MKURUGENZI wa Makosa ya Jinai (DCI), Isaya Mngulu, amesema  vitendo vya mauaji ya  albino vimeanza kushamiri tena katika baadhi ya maeneo   nchini.

Amesema  kutokana na hali hiyo, jeshi la polisi limewaomba wananchi, asasi za raia, viongozi wa dini na wanasiasa kushirikiana nao  waweze kukamata mtandao wa watu wanaojihusisha na shughuli hizo na kuwachukulia hatua.

Alisema kuwa vitendo hivyo vinahusishwa moja...

 

10 years ago

Dewji Blog

UN yataka juhudi zaidi kukabili mauaji ya Albino

DSC_0233

Mratibu Mkazi wa mashirika ya Umoja wa Mataifa na mwakilishi wa Shirika la Maendeleo la Umoja wa Mataifa (UNDP) nchini, Alvaro Rodriguez akizungumza na binti wa miaka 19 ambaye ni mlemavu wa ngozi na kutosikia, Masalu Masuka ambaye  anaishi katika kituo cha watoto walemavu cha Buhangija baada ya kukimbia kwao Bariadi kukwepa wauaji wa albino. Binti huyo alijifungua mtoto wake akiwa kituoni hapo bila msaada wa muuguzi. 

Na Mwandishi wetu

MRATIBU wa Mashirika ya Umoja wa Mataifa nchini, na...

 

10 years ago

GPL

UN YATAKA JUHUDI ZAIDI KUKABILI MAUAJI YA ALBINO‏

Mratibu Mkazi wa mashirika ya Umoja wa Mataifa na mwakilishi wa Shirika la Maendeleo la Umoja wa Mataifa (UNDP) nchini, Alvaro Rodriguez akizungumza na binti wa miaka 19 ambaye ni mlemavu wa ngozi na kutosikia, Masalu Masuka ambaye anaishi katika kituo cha watoto walemavu cha Buhangija baada ya kukimbia kwao Bariadi kukwepa wauaji wa albino. Binti huyo alijifungua mtoto wake akiwa kituoni hapo bila msaada wa muuguzi. Na...

 

10 years ago

Dewji Blog

Mdau Andrew Chale kutoa vitabu vya Maisha yake

Andrew Chale (kulia) akiteta jambo na 'Mwenyekiti' Mjengwa  wa Mjengwa blog

Andrew Chale (kulia) akiteta jambo na ‘Mwenyekiti’  Maggid Mjengwa wa Mjengwa Blog.

..Ni vya ‘Who Is Andrew Chale’,  ‘Nimnukuu Nani?’ na ”Mimi ni Historia’,

Na Mwandishi Wetu

Mwandishi wa Habari nchini Tanzania, Andrew Chale anayeandikia magazeti ya Tanzania Daima na Sayari yanayotolewa na kampuni ya Free Media ya jijini Dar es Salaam, ambaye pia mwandishi ‘msaada’ wa blog za habari mbalimbali za hapa nchini na nje ya Tanzania ameanza mchakato rasmi wa kuandika vitabu  vitatu (3)...

 

10 years ago

GPL

MDAU ANDREW CHALE KUTOA VITABU VYA MAISHA YAKE‏

Andrew Chale (kulia) akiteta jambo na 'Mwenyekiti' Maggid Mjengwa wa Mjengwa Blog. ..Ni vya 'Who Is Andrew Chale', 'Nimnukuu Nani?' na ''Mimi ni Historia', Na Mwandishi Wetu Mwandishi wa Habari nchini Tanzania, Andrew Chale anayeandikia magazeti ya Tanzania Daima na Sayari yanayotolewa na kampuni ya Free Media ya jijini Dar es Salaam, ambaye pia mwandishi 'msaada' wa blog za habari mbalimbali za hapa nchini na nje ya Tanzania...

 

11 years ago

CloudsFM

POLISI KUFANYA MSAKO MKALI KWA WATUHUMIWA WA MAUAJI YA SISTA WA KANISA KATOLIKI

POLISI Kanda Maalumu ya Dar es Salaam imeanzisha msako mkali, kuwatafuta watu waliohusika na mauaji ya Mhasibu wa Kanisa Katoliki Parokia ya Makoka jijini Dar es Salaam, Sista Cresencia Kapuri (50), ambao utahusisha vikosi vyote vya Polisi. Vikosi hivyo ni Usalama Barabarani, askari wa doria wanaotumia pikipiki na magari, wapelelezi na askari Polisi wa kawaida.
Mauaji ya mtawa huyo, yalitokea juzi mchana katika eneo la Ubungo Riverside, jijini humo, ambapo alipigwa risasi na watu wanaodaiwa...

 

9 years ago

Mwananchi

Mashahidi 50 kutoa ushahidi mauaji ya bilionea Msuya

Tukio la mauaji ya mfanyabiashara tajiri wa Mererani, Erasto Msuya litawekwa hadharani wiki ijayo wakati mashahidi 50 wa Jamhuri watakapoanza kutoa ushahidi wao kwa siku tano mfululizo.

 

9 years ago

Mwananchi

Mashahidi kesi ya mauaji ya Msuya waanza kutoa ushahidi

Upande wa mashahidi katika kesi ya mauaji ya mfanyabiashara tajiri wa madini wa Mererani, Erasto Msuya umeanza kutoa ushahidi wao jana.

 

10 years ago

Michuzi

MTUNZI MKONGWE WA VITABU ZANZIBAR AZINDUA VITABU VITATU VYA HADITHI ZA KALE

Mtunzi mkongwe wa vitabu Zanzibar Bi. Fatma Moh’d Salim (Jinja) akionyesha vitabu vya hadithi za kale alivyovitunga, katika sherehe za uzinduzi wa vitabu hivyo zilizofanyika nyumbani kwake Chukwani Zanzibar. Mwandishi wa Habari wa Redio Annur Fm Kasim Khamis akimuuliza suali Bi. Fatma Jinja kuhusiana na utunzi wa vitabu vyake alivyo vizindua. Baadhi ya waalikwa waliohudhuria sherehe za uzinduzi wa vitabu hivyo wakimskiliza Bi. Fatma Jinja (hayupo pichani) alipokuwa akitoa maelezo juu ya...

 

Share

Magazeti ya Leo

Stay updated, Sign up

Habari za Mikoani