Jobs

Sales Representative

NORTH AMERICA ALIGN WORKERS EMPLOYMENT PROGRAM (NAAWEP)
Deadline: Oct 26, 2105




POPULAR ON YOUTUBE


KARIBU KIOTA CHA MARAHA CET EXECUTIVE LODGE, NGULELO KWA MREFU - ARUSHA

 Karibu CET Executive Lodge iliyopo Ngulelo - Kwa Mrefu, Arusha yenye muonekano wa kuvutia na kumfanya mteja anayefika mahali hapo kufurahia huduma zinazotolewa. Picha zinaonyesha muonekano wa CET Executive Lodge ikiwemo vyumba vya kisasa, sehemu ya bar na jiko. Unaweza kuwasiliana nao masaa 24/7 namba +255 742 120 992
Muonekano wa vyumba vya kisasa vyenye kiyoyozi muda wote na vitanda vya kuvutia. Vyumba vyao ni Self Container... Asubuhi mteja anapatiwa Chai (Breakfast).  Vyoo vya kisasa...

Vijimambo

Read more


Habari Zinazoendana

10 years ago

Michuzi

PATA WASAA WA KUTEMBELEA KIOTA CHA MARAHA CHA Posto Bella

 Ukiwa ndani ya kiota hiki ni kama uko nje ya jiji la Dar es salaam. Yaani unasahau kabisa kama kuna kelele za watu na magari duniani. Ni sauti za ndege wazuri wa angani tuu ndio zinaburudisha masikio na macho … kelele na honi za boda boda na magari hazikuhusu kabisa. Mandhari yake ni kama uko mkoa Fulani wenye baridi kali na mvua nyingi, umaridadi wa garden yake utakufanya ujione kama uko mkoa kama Mbeya ama Iringa vile! Ni kijani tupu… unaweza tamani uvue viatu na ukae chini badala ya...

 

10 years ago

Vijimambo

USO KWA USO NA ALIYEKUWA MMILIKI WA KIOTA CHA MARAHA MILLENIUM JIJINI LOS ANGELES, CA

Chief Bongam akiwa kwenye ukodak na aliyekuwa Partner wake enzi za Millenium Lounge & Restaurant Bwana Peter LigateChief Bongam akiwa kwenye ukodak na Bwana na Bibi Ligate alipozuru Los Angeles Kibiashara ndani ya Kiota cha Maraha ya Jazz kiitwacho LA LouisanneChief Bongam Enzi za Millenium Nyuma ya Counter na MtejaMillenium Lounge & Restaurant Ilijulikana sana kwa Chakula Kizuri cha Kitanzania Chini ya Usimamizi wa Chef Shabani na Abdul aka Dogo Bila ya kusahau Usimamizi wa Karibu wa...

 

9 years ago

Michuzi

KIOTA CHA MARAHA CHA CITY SPORTS LOUNGE CHAZINDULIWA UPYA JIJINI DAR ES SALAAM

jo1Mkurugenzi wa Kampuni ya Jambo Concept na Gazeti la Jambo leo Bw. Juma Pinto akiwa katika picha ya pamoja na DJ John Peter Pantalakis kushoto na DJ Masoud Masoud kwenye uzinduzi wa kiwanja cha City Sports Lounge Posta jirani na Askari Monument jijini Dar es salaam maarufu kwa kuonyesha mipira ya ligi mbalimabli za Duniani kote. Uuzinduzi huo umefanyika alhamis wiki hii na kuhudhuriwa na wageni waalikwa mbalimbali. uzinduzi huo umefanyika kufuatia ukarabati na uboreshaji wa mambo mbalimbali...

 

10 years ago

Michuzi

KIOTA KIPYA CHA MARAHA CHA UEFA GOO NIGHT CLUB KUZINDULIWA MKESHA WA KRISMAS

3Kiwanja kipya cha maraha Uefa Goo Night Club kinatarajiwa kuzinduliwa mkesha wa sikukuu ya Krismas jijini Dar es salaam Kiwanja hiki ni cha Kisasa kiko maeneo ya Ukonga Mombasa Barabara ya kuelekea Moshi Baa Karibu na njia panda ya Mahitamita 200 kutoka barabara kuu iendayo Pugu, siku ya mkesha wa Krismas burudani kibao zimeandaliwa na na kiko katika hatua za mwisho mwisho kukamilisha kila kitu ili kuwapa burudani wateja wake ikiwa ni pamoja na Ligi mbalimbali za ulaya, muziki wa kisasa kama...

 

10 years ago

Vijimambo

KIOTA KIPYA CHA MARAHA CHA JOZI LOUNGE CHAZINDULIWA MSASANI VILLAGE JIJINI DAR ES SALAAM

Kiota Kipya Cha Maraha kimezinduliwa Kimezinduliwa Jijini Dar es Salaam jana Jiioni. Kiota hicho Jozi Lounge, inapatikana Pande za Msasani Village, jirani kabisa na Shule ya Msingi Msasani.  Mmiliki wa Jozi Lounge, Dismass Massawe (kushoto)  akifungua   Champaign wakati wa uzinduzi wa kiota hicho.  Hafla hiyo ilihudhuriwa na wadau mbalimbali ambao walikunywa na kucheza mpaka majogoo.Hiyo ndiyo habari ya Mujini.

Mmiliki wa Jozi Lounge, Dismass Massawe (kushoto)huku meneja wake ni Nick...

 

10 years ago

Michuzi

introducing kiota kipya cha maraha na kilaji cha "Break Point Carnivore" Kinondoni, jijini Dar es salaam

 Mandhari ya kiota kipya cha kisasa cha kilaji kiitwacho Break Point Carnivore jijini Dar es salaam  kilichofunguliwa rasmi jana Ijumaa na kuvutia wadau wengi wa mighawa ya Break Point za mjini na Kijitonyama ambapo mambo yote yanayopatikana huko kama vile "jirambe", "mchemsho", "foil meat" na kadhalika. Msemaji wa kiota hicho Kaka Daudi anasema Break Point imeamua kuondokana na staili ya "Msonge" na kuja na kiota chenye mandhari tofauti kabisa lakini huduma zile zile na zaidi kama vile...

 

10 years ago

Michuzi

Kiota Kipya cha maraha ndani ya Bunju, jijini Dar es salaam

Posto Bella Resort, Kiota Kipya cha maraha pande za  ya Bunju jijini  Dar es salaam.

Chimbo jipya kwa jina La Posto Bella Resort limefunguliwa nje kidogo ya mji wa Dar. Kwa wale wanaopenda maeneo private, utulivu na salama, hakuna haja ya kuumiza kichwa. 
Kama inavyoonekana kwenye picha, pana garden nzuri iliyotengenezwa kwenye miinuko ya Bunju A, 1.2km toka Bagamoyo road, njia ya kuingia DogoDogo Centre, ikipata upepo baridiii unaotokea bahari ya Hindi. 
Ni mazingira ya kiutu-uzima na...

 

Share

Magazeti ya Leo

Stay updated, Sign up

Habari za Mikoani