Jobs

Sales Representative

NORTH AMERICA ALIGN WORKERS EMPLOYMENT PROGRAM (NAAWEP)
Deadline: Oct 26, 2105




POPULAR ON YOUTUBE


Kasi ya kupambana na ngoma za vigodoro iongezwe


NA MOHAMMED ISSA
 HIVI karibuni Jeshi la Polisi lilipiga marufuku ngomo za usiku maarufu kwa jina la vigodoro.
Ngoma hizo huchezwa kwenye sherehe mbalimbali na huvutia watu wa rika tofauti ambao hufika kuangalia na wengine kucheza.
Mara nyingi, vigodoro hupigwa kwenye maeneo ya nje ya mji, na kukusanya kundi kubwa la watu.
Sehemu inayopigwa vigodoro hutokea matukio mengi yakiwemo ya vurugu na uhalifu huku watu wakicheza uchi hususan wanawake.
Hivyo, baada ya polisi kufuatilia kwa muda mrefu...

Uhuru Newspaper

Read more


Habari Zinazoendana

10 years ago

Tanzania Daima

Ngoma za vigodoro zarejea Dar

AGIZO la Serikali ya Jiji la Dar es Salaam kupiga marufuku ngoma ya kigodoro, limepuuzwa na ngoma hizo zinaendelea kuchezwa zikiambatana na uhalifu wa aina mbalimbali. Wakizungumza na Tanzanaia Daima...

 

5 years ago

Michuzi

DC BAGAMOYO ZAINABU KAWAWA APIGA MARUFUKU NGOMA ZA VIGODORO

NA VICTOR MASANGU, BAGAMOYO
MKUU wa Wilaya ya Bagamoyo Zainabu Kawawa ambaye pi ni Mwenyekiti wa kamati ya ulinzi na usalama amepiga marufuku kuwepo kwa ngoma  na miziki ambayo inafanyika nyakati za usiku bila utaratibu  maarufu kama ‘Vigodoro’ kwani zimekuwa zikichangia kwa kiasi kikubwa mmomonyoko wa maadili kwa wananchi.

Agizo hilo amelitoa  wakati akizungumza na wananchi wa Kata ya Nina njema, wadau wa maendeleo pamoja na wakuu mbali mbali wa idara wakati wa mkutano wake wa kikazi kwa...

 

11 years ago

Tanzania Daima

Sikika yataka bajeti ya afya iongezwe

ASASI isiyokuwa ya kiserikali ya Sikika imewataka wabunge kujitahidi kuishawishi serikali kuongeza fedha kwenye Wizara ya Afya na Ustawi wa Jamii kwa mwaka 2014/15. Mkurugenzi wa Sikika, Irenei Kiria, alitoa...

 

10 years ago

Habarileo

Mbunge ataka adhabu ya ajali iongezwe

MBUNGE wa Viti Maalumu, Amina Abdulla Amour (CUF) ameitaka Serikali kuongeza adhabu kwa kampuni zenye mabasi yanayopata ajali, ili badala ya kufungia mabasi hayo kuanzia mwezi mmoja mpaka miezi sita, adhabu ianzie mwaka mmoja na kuendelea.

 

10 years ago

Michuzi

BAJETI YA WATOTO IONGEZWE KUTATUA CHANGAMOTO ZAO-C-SEMA

 Mratibu wa programu na Uhamasishaji wa Shirika lisilo la kiserikali la C-Sema, Michael Kehongoh akitoa maada katika semina iloyowashirikisha wanachama wa Chama cha Waandishi wa habari za watoto(TAJOC),Watunga sera na watoa maamuzi kutoka Wizara mbalimbali katika kujadili masuala ya watoto iliyofanyika katika hoteli ya Regence jijini Dar es Salaam.  Mratibu wa utetezi na ushawishi wa SOS nchini, John Batista akitoa maada katika  Semina iloyowashirikisha wanachama wa Chama cha Waandishi wa...

 

11 years ago

Tanzania Daima

Polisi yapiga marufuku ‘vigodoro’

JESHI la Polisi Kanda Maalumu ya Dar es Salaam limepiga marufuku kumbi zote za starehe kupiga disko toto pamoja na disko vumbi maarufu kama ‘vigodoro’ ili kuepusha fujo katika kusherehekea...

 

10 years ago

Mwananchi

Vigodoro, muziki, mahubiri vyawatesa Watanzania

Nchi nyingi duniani zimekuwa zikifanya jitihada kukabiliana na changamoto mbalimbali za uchafuzi wa mazingira. Mikataba na itifaki mbalimbali imesainiwa ili kuunganisha nguvu katika kukabiliana na changamoto hizo.

 

11 years ago

GPL

EFm YANOGESHA KWA STAILI YA VIGODORO

Kundi la Bagamoyo Star kutoka wilaya ya Bagamoyo, Pwani.
Mashefa Musica kutoka Msasani wakikamua.
Baba Yoyoo akijipoza kwa lambalamba wakati akishuhudia matukio.…

 

11 years ago

GPL

BABY MADAHA: SHILOLE NI MCHEZA VIGODORO

MSANII wa muziki na filamu Bongo, Baby Joseph ‘Madaha’ amemchana staa mwenzake, Zuwena Mohamed ‘Shilole’ kwa kumwambia ni mcheza muziki wa uswahilini (vigodoro). Zuwena Mohamed ‘Shilole’. Kauli hiyo ya msanii huyo anayetamba na Wimbo wa Summer Holyday, ameitoa siku chache baada Shilole kutema cheche zake kuwa Madaha aache kumfuatilia kwani amekuwa akiingia kwenye anga zake mara kwa...

 

Share

Magazeti ya Leo

Stay updated, Sign up

Habari za Mikoani