Ngoma za vigodoro zarejea Dar
AGIZO la Serikali ya Jiji la Dar es Salaam kupiga marufuku ngoma ya kigodoro, limepuuzwa na ngoma hizo zinaendelea kuchezwa zikiambatana na uhalifu wa aina mbalimbali. Wakizungumza na Tanzanaia Daima...
Tanzania daima
Habari Zinazoendana
11 years ago
Uhuru Newspaper03 Jul
Kasi ya kupambana na ngoma za vigodoro iongezwe
NA MOHAMMED ISSA
HIVI karibuni Jeshi la Polisi lilipiga marufuku ngomo za usiku maarufu kwa jina la vigodoro.
Ngoma hizo huchezwa kwenye sherehe mbalimbali na huvutia watu wa rika tofauti ambao hufika kuangalia na wengine kucheza.
Mara nyingi, vigodoro hupigwa kwenye maeneo ya nje ya mji, na kukusanya kundi kubwa la watu.
Sehemu inayopigwa vigodoro hutokea matukio mengi yakiwemo ya vurugu na uhalifu huku watu wakicheza uchi hususan wanawake.
Hivyo, baada ya polisi kufuatilia kwa muda mrefu...
5 years ago
Michuzi![](https://1.bp.blogspot.com/-NRbCLTE36QQ/XlepWe9kzKI/AAAAAAALfq4/_tLeRx9cDmcKUm_I2SozEF6NMUh7XxyNQCLcBGAsYHQ/s72-c/1.jpg)
DC BAGAMOYO ZAINABU KAWAWA APIGA MARUFUKU NGOMA ZA VIGODORO
MKUU wa Wilaya ya Bagamoyo Zainabu Kawawa ambaye pi ni Mwenyekiti wa kamati ya ulinzi na usalama amepiga marufuku kuwepo kwa ngoma na miziki ambayo inafanyika nyakati za usiku bila utaratibu maarufu kama ‘Vigodoro’ kwani zimekuwa zikichangia kwa kiasi kikubwa mmomonyoko wa maadili kwa wananchi.
Agizo hilo amelitoa wakati akizungumza na wananchi wa Kata ya Nina njema, wadau wa maendeleo pamoja na wakuu mbali mbali wa idara wakati wa mkutano wake wa kikazi kwa...
11 years ago
Mwananchi07 Jun
Wachimba mchanga, ‘vigodoro’ wapigwa marufuku Dar es Salaam
10 years ago
Mwananchi12 Apr
VIFO: Mgomo waisha, ajali zarejea
10 years ago
Dewji Blog03 Nov
Sherehe za Miaka 50 ya uhai wa Bendi Msondo Ngoma zafana Jijini DarMsondo Ngoma zafana Jijini Dar
Bendi Kongwe ya Muziki wa Dansi hapa nchini iliyodumu kwa miaka 50 toka kuanzishwa kwake mwaka 1964,Msondo Ngoma Music Band imesherehekea Jubilei yake hiyo iliyofanyika Novemba 1,2014 katika viwanja vya TCC Club,Chang’ombe jijini Dar es Salaam na kuwakutanisha mashabiki wake lukuki kutoka sehemu mbali mbali.
Mgeni Rasmi katika Sherehe hizo ya kusherehekea Jubilei ya miaka 50 ya Bendi ya Msondo Ngoma,alikuwa ni Naibu Katibu Mkuu wa Wizara ya Habari,Vijana,Utamaduni na Michezo,Prof. Elisante...
11 years ago
Tanzania Daima01 Jan
Polisi yapiga marufuku ‘vigodoro’
JESHI la Polisi Kanda Maalumu ya Dar es Salaam limepiga marufuku kumbi zote za starehe kupiga disko toto pamoja na disko vumbi maarufu kama ‘vigodoro’ ili kuepusha fujo katika kusherehekea...
11 years ago
GPL![](http://api.ning.com:80/files/0U8UQjwDEm*AQLU9VdSBB7Xv7NCMjlUo5gZle50r8cQfMTRO8tqs3dE2oqtVw59iP5VzipLf4H7nWILaK77Ba33vc*O8E80m/efm.jpg?width=650)
EFm YANOGESHA KWA STAILI YA VIGODORO
11 years ago
GPL![](http://api.ning.com:80/files/nkvdZEQNy6zqzOy-mH5uSiR-AK1NI-NScyW1uG36DlAehuM2CmW0W9w8Z2*Qf2BYY97qqbT7ubDb3E6Sf*MeIRB8hzS65gIh/baby.jpg?width=650)
BABY MADAHA: SHILOLE NI MCHEZA VIGODORO
10 years ago
Mwananchi23 Oct
Vigodoro, muziki, mahubiri vyawatesa Watanzania