Jobs

Sales Representative

NORTH AMERICA ALIGN WORKERS EMPLOYMENT PROGRAM (NAAWEP)
Deadline: Oct 26, 2105




POPULAR ON YOUTUBE


Vigodoro, muziki, mahubiri vyawatesa Watanzania

Nchi nyingi duniani zimekuwa zikifanya jitihada kukabiliana na changamoto mbalimbali za uchafuzi wa mazingira. Mikataba na itifaki mbalimbali imesainiwa ili kuunganisha nguvu katika kukabiliana na changamoto hizo.

Mwananchi

Read more


Habari Zinazoendana

10 years ago

GPL

WATANZANIA WASHINDA MASHINDANO YA KUCHEZA MUZIKI KENYA

Washindi wa shindano la kucheza muziki, The Band wakionyesha mfano wa hundi ya shilingi milioni 1 ya Kenya. Washindi wa Sakata Mashariki 2014, The Band kutoka…

 

10 years ago

GPL

PERAMIHO: USHURU WA MAZAO, KUKOSEKANA KWA MAWASILIANO YA SIMU, MAJI NA UMEME VYAWATESA WANANCHI

Peramiho ni moja kati ya majimbo saba yaliyopo kwenye Mkoa wa Ruvuma, linaloongozwa na Mheshimiwa Jenista Joakim Mhagama kwa tiketi ya Chama cha Mapinduzi (CCM). Mheshimiwa Jenista Joakim Mhagama. Wiki iliyopita, Gazeti la Uwazi lilifunga safari mpaka kwenye jimbo hilo ambapo mwandishi wetu alifanya mahojiano na wananchi mbalimbali walioeleza matatizo yanayowakabili na jinsi mbunge wao anavyotekeleza ahadi zake. Baada ya hapo,...

 

10 years ago

Vijimambo

WATANZANIA WACHUKUA NAFASI YA TATU MASHINDANO YA KUCHEZA MUZIKI KENYA

Washindi wa shindano la kucheza muziki, The Band wakionyesha mfano wa hundi ya shilingi milioni 1 ya Kenya.Washindi wa Sakata Mashariki 2014, The Band kutoka Kenya wakipewa mfano wa hundi kama zawadiKundi la DSI likiwa katika mchuano huo jana usiku.Washindi wa pili kundi la IDU kutoka Uganda likiwa katika kucheza.Kundi la kucheza muziki lililokuwa likiwakilisha Tanzania, T-Africa likiwa katika pozi kusubiri matokeo.kwa picha zaidi bofya soma zaidi
Majaji wakifuatilia shindano hilo la kucheza...

 

10 years ago

Habarileo

Tatizo la kujinyonga Ngara lahitaji mahubiri ya upendo

MKUU wa Mkoa wa Kagera, John Mongella amewataka viongozi wa dini kuhubiri upendo kutokana na kuongezeka kwa idadi ya watu wanaojinyonga.

 

9 years ago

Bongo5

Video: Ifahamu Chizika, App ya kusikiliza muziki kwa simu iliyotengenezwa na watanzania

11356960_388937114632648_737681832_n

Ulimwengu wa sasa wa muziki umehamia kwenye smartphones. Kwa Ulaya na Marekani wapenzi wa muziki kwa sasa wanasikiliza zaidi nyimbo wazipendazo kwenye platform maarufu kama vile Spotify, Apple Music, Tidal na zingine.

11356960_388937114632648_737681832_n

Mtumiaji wa app hizo hufanya malipo kwa mwezi au mwaka na kuwa na uwezo wa kusikiliza mamilioni ya nyimbo. Tanzania nayo haiku nyuma.

Vijana wawili, Ali Makongo aka Young Siza na mtangazaji wa kipindi cha Daladala Beat cha Magic FM, Jimmy Jamal aka Jimmy Jay wameanzisha app...

 

9 years ago

Mwananchi

Wito wa kumuombea Magufuli, amani ya nchi vyatawala mahubiri Krismasi

Kuombea kudumishwa amani, kumwombea Rais John Magufuli katika kutimiza majukumu yake, pamoja na utatuzi wa suala la kisiasa Zanzibar ni mambo ambayo yalitawala mahubiri ya mkesha na ibada za sikukuu ya Krismasi katika maeneo mbalimbali nchini.

 

10 years ago

Tanzania Daima

Ngoma za vigodoro zarejea Dar

AGIZO la Serikali ya Jiji la Dar es Salaam kupiga marufuku ngoma ya kigodoro, limepuuzwa na ngoma hizo zinaendelea kuchezwa zikiambatana na uhalifu wa aina mbalimbali. Wakizungumza na Tanzanaia Daima...

 

11 years ago

Tanzania Daima

Polisi yapiga marufuku ‘vigodoro’

JESHI la Polisi Kanda Maalumu ya Dar es Salaam limepiga marufuku kumbi zote za starehe kupiga disko toto pamoja na disko vumbi maarufu kama ‘vigodoro’ ili kuepusha fujo katika kusherehekea...

 

Share

Magazeti ya Leo

Stay updated, Sign up

Habari za Mikoani