Jobs

Sales Representative

NORTH AMERICA ALIGN WORKERS EMPLOYMENT PROGRAM (NAAWEP)
Deadline: Oct 26, 2105




POPULAR ON YOUTUBE


WATANZANIA WASHINDA MASHINDANO YA KUCHEZA MUZIKI KENYA

Washindi wa shindano la kucheza muziki, The Band wakionyesha mfano wa hundi ya shilingi milioni 1 ya Kenya. Washindi wa Sakata Mashariki 2014, The Band kutoka…

GPL

Read more


Habari Zinazoendana

10 years ago

Vijimambo

WATANZANIA WACHUKUA NAFASI YA TATU MASHINDANO YA KUCHEZA MUZIKI KENYA

Washindi wa shindano la kucheza muziki, The Band wakionyesha mfano wa hundi ya shilingi milioni 1 ya Kenya.Washindi wa Sakata Mashariki 2014, The Band kutoka Kenya wakipewa mfano wa hundi kama zawadiKundi la DSI likiwa katika mchuano huo jana usiku.Washindi wa pili kundi la IDU kutoka Uganda likiwa katika kucheza.Kundi la kucheza muziki lililokuwa likiwakilisha Tanzania, T-Africa likiwa katika pozi kusubiri matokeo.kwa picha zaidi bofya soma zaidi
Majaji wakifuatilia shindano hilo la kucheza...

 

11 years ago

GPL

BI. MWENDA AFUNIKA KUCHEZA MUZIKI

Stori: Gladness Mallya
MKONGWE kwenye sanaa ya uigizaji Bongo, Fatuma Makongoro ‘Bi. Mwenda’ amefunika mbaya katika uchezaji wa muziki ambapo aliwatoa jasho hadi vijana wadogo. Mkongwe kwenye sanaa ya uigizaji Bongo, Fatuma Makongoro ‘Bi. Mwenda’. Tukio hilo lililovuta hisia za wengi lilinaswa na paparazi wetu, wikiendi iliyopita kwenye sherehe ya bethdei ya Klabu ya Bongo Movie Unity, iliyofanyika...

 

10 years ago

Mwananchi

Yanga, Azam kucheza fainali za mashindano mapya ya Ebola

Wakongwe wa soka nchini ambao pia ni mabingwa mara 24 wa Ligi Kuu, Yanga na pia Azam watashiriki mashindano mapya ya soka yanayoitwa Ebola yatafanyika baadaye mwaka huu.

 

9 years ago

Bongo5

Alikiba na Vanessa washinda tuzo za Nzumari 2015 Kenya

ali na vee

Tuzo za Nzumari 2015 zimetolewa Ijumaa iliyopita (Dec.11) huko Mombasa, Kenya.

ali na vee

Kutoka Tanzania, Alikiba ameshinda kipengele cha ‘Male Artist Tanzania’ alichokuwa akishindana na Ommy Dimpoz, AY, Rich mavoko na Shetta. Vanessa Mdee ameshinda kipengele cha ‘Female Artist Tanzania’ alichokuwa akishindana na Lady Jaydee, Shilole, Linah na Shaa.

Nzumari Awards 2015… Classic Edition
Winners as per the votes from the people not as per the management:

Male Artist Mombasa
Sudi Boy 9 votes
Dazlah...

 

11 years ago

Michuzi

Airtel yazindua Mashindano ya kuvumbua vipaji vya Muziki

Mkurugenzi wa kitengo cha Masoko wa Airtel Levi Nyakundi akiongea wakati wa uzinduzi wa mashindano ya kusaka vipaji kupitia simu ya mkononi yajulikanayo kama " Airtel TRACE Music Star" kwa lengo la kukuza na kuvumbua vipaji vya wana muziki chipukizi na kuwawezesha kufikia ndoto zao. Program hii ni kwa ushirikiano kati ya Airtel, kampuni ya Trace pamoja na Mwanamuziki wa Marekani Akon, uzinduzi huo ulifanyika mwishoni mwa wiki katika ukumbi wa high spirit - IT Plaza jijini Dar es saalam.

 

10 years ago

BBCSwahili

Kenya, Algeria kucheza fainali Voliboli

Timu za wanawake za Kenya na Algeria zitapambana katika mchezo wa fainali Jumamosi

 

10 years ago

Bongo5

Bingwa wa mashindano ya magari ya Formula One Lewis Hamilton kuingia kwenye muziki

Bingwa wa mashindano ya magari ya Formula One, Lewis Hamilton anatarajia kukitambulisha kipaji chake cha muziki. Dereva huyo mwenye umri wa miaka 30 yupo kwenye mazungumzo na Jay Z ili muziki wake usimamiwe na Roc Nation, kwa mujibu wa The Sun. Chanzo kimeliambia The Sun kuwa Lewis yupo kwenye mazungumzo na wasanii wengine pia. Kwa […]

 

5 years ago

BBCSwahili

Virusi vya corona: Watanzania 2 wazuiwa kuingia nchini Kenya huku idadi ya wagonjwa Kenya ikifikia 715

Raia wawili wa Tanzania wamezuiwa kuingia nchini Kenya katika mpaka wa Isibania baada ya kukutwa na virusi vya corona, kulingana na wizara ya afya nchini humo.

 

10 years ago

Mwananchi

Nyamaume gani tena kutumumunya watanzania mashindano ya riadha beijing?

Jua kali Beijing Jumamosi iliyopita lilikuwa likiung’arisha uso wa Mtanzania, Ismail Juma. Alisimama karibu na mwenziye mkimbiaji mashuhuri wa Kiingereza (mwenye uzawa wa Kisomali), Mohammed Farah; au anavyojulikana Mo Farah.

 

Share

Magazeti ya Leo

Stay updated, Sign up

Habari za Mikoani