Jobs

Sales Representative

NORTH AMERICA ALIGN WORKERS EMPLOYMENT PROGRAM (NAAWEP)
Deadline: Oct 26, 2105




POPULAR ON YOUTUBE


Tatizo la kujinyonga Ngara lahitaji mahubiri ya upendo

MKUU wa Mkoa wa Kagera, John Mongella amewataka viongozi wa dini kuhubiri upendo kutokana na kuongezeka kwa idadi ya watu wanaojinyonga.

habarileo

Read more


Habari Zinazoendana

10 years ago

Habarileo

Bomba la gesi lahitaji fedha zaidi kukamilika

GHARAMA za ujenzi wa bomba la gesi lililokamilika na kesho kuwa na uwezo wa kusafirisha gesi kutoka Mtwara hadi Dar es Salaam zimeongezeka na kufikia Dola za Marekani bilioni 1.33 (Sh trilioni 2.7).

 

10 years ago

Mwananchi

Vigodoro, muziki, mahubiri vyawatesa Watanzania

Nchi nyingi duniani zimekuwa zikifanya jitihada kukabiliana na changamoto mbalimbali za uchafuzi wa mazingira. Mikataba na itifaki mbalimbali imesainiwa ili kuunganisha nguvu katika kukabiliana na changamoto hizo.

 

9 years ago

Mwananchi

Wito wa kumuombea Magufuli, amani ya nchi vyatawala mahubiri Krismasi

Kuombea kudumishwa amani, kumwombea Rais John Magufuli katika kutimiza majukumu yake, pamoja na utatuzi wa suala la kisiasa Zanzibar ni mambo ambayo yalitawala mahubiri ya mkesha na ibada za sikukuu ya Krismasi katika maeneo mbalimbali nchini.

 

10 years ago

Raia Mwema

Ukinyonga ni kujinyonga?

Kwa Waziri wa Mikiki na Makeke,
Uzitoni Street,
Bongo.

Hidaya

 

11 years ago

Tanzania Daima

Afa kwa kujinyonga

MKAZI wa Yombo, Baraka Nyaulo (20), amekufa kwa kujinyonga kwa kutumia mkanda wa begi alioutundika kwenye kenchi. Kamanda wa Polisi Mkoa wa Temeke, Englibeth Kiondo, alisema jana kuwa Nyaulo aliyekuwa...

 

10 years ago

Mwananchi

Daktari apiga wagonjwa Ngara

Wagonjwa waliolazwa na kupata matibabu katika kituo cha Afya Lukole wilayani Ngara mkoani Kagera, juzi wamejikuta kwenye wakati mgumu baada ya kupata kipigo kutoka kwa mganga wa kituo hicho ambaye aliwataka kushiriki zoezi la usafi katika vyumba na mazingira ya kituo hicho.

 

10 years ago

Daily News

Two commit suicide in Ngara district


Two commit suicide in Ngara district
Daily News
TWO people in Ngara District committed suicide in incidents related to stress, the Kagera Regional Police Com- mander (RPC), Mr Henry Mwaibambe has said. He named the deceased as Herman Bilazinama ( 42) and Juma Ramadhani (62), both residents ...

 

11 years ago

Tanzania Daima

Mfanyabiashara aporwa laki 8/- Ngara

p>KUNDI la watu wanaosadikiwa kuwa majambazi limemvamia mfanyabiashara katika Kijiji cha Rulenge wilayani Ngara mkoani Kagera na kumpora fedha kiasi cha shilingi laki nane. Tukio hilo limetokea Alhamisi iliyopita majira...

 

Share

Magazeti ya Leo

Stay updated, Sign up

Habari za Mikoani