KATIBU MKUU KIONGOZI AELIMISHWA KUHUSU UTHAMINI MADINI YA ALMAS
· TANESCO Yaibuka Mtoaji Huduma Bora na Ubunifu
· Wizara yaingia 10 Bora
Na Asteria Muhozya, Dar es Salaam
Katibu Mkuu Kiongozi, Balozi Ombeni Sefue ametembelea banda la Wizara ya Nishati na Madini wakati wa kilele cha Maadhimisho ya Wiki ya Utumishi wa Umma na kupata fursa ya kusikiliza maelezo kutoka kwa wataalam wa Wizara kuhusu shughuli mbalimbali zinazofanywa na Wizara ya Nishati na Madini.
Akiwa katika banda la Wizara, Balozi Sefue ameelimishwa namna Kitengo cha...
Michuzi
Habari Zinazoendana
10 years ago
VijimamboBARUA AMBAYO INADAIWA KATIBU MKUU WA NISHATI NA MADINI ALILAZIMISHWA KUANDIKA NA MWANASHERIA MKUU WEREMA ILI KUCHOTA PESA HUKO ESCROW
Na ukitaka kujuwa nini kimeandikwa kwenye magazeti ya ulaya kuhusu issue hii fungua link hapo chini
http://www.theguardian.com/global-development/2014/oct/13/uk-and-international-donors-suspend-tanzania-aid-after-corruption-claims
11 years ago
Dewji Blog28 May
Katibu Mkuu Kiongozi akutana na Balozi wa Finland Ikulu
Katibu Mkuu kiongozi Balozi Ombeni Sefue akiwa katika mazungumzo na Balozi wa Finland nchini Mhe Sinikka Antilla alipokutana naye Ikulu Dar es salaam jana Mei 27, 2014.
Balozi Antila ndiye Mwenyekiti wa Kundi la Nchi 12 Washirika wa Maendeleo zinazosaidia bajeti ya Tanzania (General Budget Support Group), na amechukua nafasi hiyo tangu mwezi April mwaka huu.
Lengo la Balozi Antila kuonana na Katibu Mkuu Kiongozi ni kujitambulisha kwa wadhifa huo mpya na kueleza jinsi atavyotekeleza jukumu...
10 years ago
Michuzi![](http://2.bp.blogspot.com/-MGHVUHAzLFs/VPbkrpELQgI/AAAAAAAHHi0/21fimb8AMHw/s72-c/s1.jpg)
KATIBU MKUU KIONGOZI AFURAHISHWA NA UWEPO WA SACCOS MAKAZINI
![](http://2.bp.blogspot.com/-MGHVUHAzLFs/VPbkrpELQgI/AAAAAAAHHi0/21fimb8AMHw/s1600/s1.jpg)
![](http://3.bp.blogspot.com/-settgvVSxuc/VPbkrjTiXXI/AAAAAAAHHi4/g166YYqMsNc/s1600/s2.jpg)
10 years ago
Michuzi![](http://2.bp.blogspot.com/-t5y4kRSdAKs/Vcs8ndyfwVI/AAAAAAAHwNw/ywQE-WPQgMI/s72-c/images.jpg)
KATIBU MKUU KIONGOZI KUFUNGUA MICHEZO YA SHIMIWI 2015
![](http://2.bp.blogspot.com/-t5y4kRSdAKs/Vcs8ndyfwVI/AAAAAAAHwNw/ywQE-WPQgMI/s1600/images.jpg)
Katibu Mkuu Kiongozi Balozi Ombeni Sefue(Pichani) anatarajiwa kuwa mgeni rasmi katika ufunguzi wa michezo ya Wizara, Idara zinazojitegemea ,Wakala wa Serikali na Ofisi za wakuu wa Mikoa (SHIMIWI) itakayoanza Jumamosi ijayo(15.8.2015) mjini Morogoro.
Kwa mujibu wa taarifa kwa vyombo vya habari iliyotolewa leo jijini Dar es salaam na Kaimu Katibu Mkuu SHIMIWI Moshi Makuka, mashindano ya mwaka huu yatafanyika kwa wiki mbili.
Amesema kuwa siku ya...
10 years ago
Michuzi![](http://2.bp.blogspot.com/-LcpKiN2p_uo/VK7nrO5ErnI/AAAAAAAG8G8/IJRcdcU58TQ/s72-c/unnamed%2B(44).jpg)
Katibu Mkuu Kiongozi Balozi Sefue akutana na Mabalozi ikulu
![](http://2.bp.blogspot.com/-LcpKiN2p_uo/VK7nrO5ErnI/AAAAAAAG8G8/IJRcdcU58TQ/s1600/unnamed%2B(44).jpg)
![](http://3.bp.blogspot.com/-gWHSsGyTGQo/VK7nrKFrjQI/AAAAAAAG8HA/D9njmwNWtrc/s1600/unnamed%2B(45).jpg)
![](http://2.bp.blogspot.com/-Glod6D4uzys/VK7nrKMiL4I/AAAAAAAG8HE/ruk1Vmvbkqc/s1600/unnamed%2B(46).jpg)
10 years ago
StarTV23 Dec
Katibu Mkuu Nishati na Madini asimamishwa kazi.
Katibu Mkuu Kiongozi, Balozi Ombeni Yohana Sefue, amemsimamisha kazi kwa muda , Eliakim Maswi, Katibu Mkuu ya Wizara ya Nishati na Madini, ili kupisha uchunguzi wa tuhuma dhidi yake, kama ilivyoelekezwa na Rais wa Tanzania, Jakaya Mrisho Kikwete.
Balozi Sefue amemsimamisha kazi Ndugu Maswi kuanzia , Jumanne, Desemba 23, 2014, kwa kutumia madaraka aliyonayo kama Mamlaka ya Nidhamu kwa Watumishi wa Umma wanaoteuliwa na Rais, wakiwemo Makatibu Wakuu.
Taarifa iliyotolewa na Ofisi ya Balozi...
10 years ago
MichuziKATIBU MKUU KIONGOZI,BALOZI OMBENI SEFUE ATEMBELEA BANDA LA 'CAG'
9 years ago
MichuziRIDHIWANI KIKWETE ATETA NA KATIBU MKUU KIONGOZI,OMBENI SEFUE IKULU
9 years ago
Michuzi![](http://1.bp.blogspot.com/-TiWw7YbgAe4/VmnamAOXIzI/AAAAAAAILjs/c1FcayDh9yE/s72-c/0D6A2900.jpg)
Katibu Mkuu Kiongozi awaasa watanzania kuzingatia Maadili katika Utumishi
![](http://1.bp.blogspot.com/-TiWw7YbgAe4/VmnamAOXIzI/AAAAAAAILjs/c1FcayDh9yE/s400/0D6A2900.jpg)
Watanzania wameaswa kuzingatia Maadili ya Kitaifa ambayo ni kiini cha kuboresha na kusimamia maadili ya viongozi, watumishi wa Umma na watu wanaojishughulisha na sekta binafsi nchini ili kuendelea kuimarisha utendaji kazi na kupambana na uovu katika jamii.
Hayo yamesemwa leo jijini Dar es salaam na Mhe. Katibu Mkuu Kiongozi Balozi Ombeni Sefue ambaye alikuwa Mgeni Rasmi katika maadhimisho hayo ambapo alisema kuwa maadili ya Taifa ni moja ya tunu muhimu...