KATIBU MKUU KIONGOZI APATA NAKALA YA KITABU CHA NYAYO ZA OBAMA
Katibu Mkuu Kiongozi Balozi Ombeni Sefue akipokea nakala ya kiswahili na kiingeraza ya kitabu cha nyayo za Obama kutoka mwandishi wa kitabu hicho Mzee Safari Ohumay kwenye siku ya Jumamosi Oct 4, 2014 kwenye mkutano wa DICOTA 2014 uliofanyika Durham, North Carolina.
Vijimambo
Habari Zinazoendana
10 years ago
MichuziKATIBU MKUU KIONGOZI APATA NAKALA YA KITABU CHA NYAYO ZA OBAMA
11 years ago
Michuzi![](http://1.bp.blogspot.com/-TUD8BuQb41o/U8aUMZICkDI/AAAAAAAF2z4/c3jAY0_-YqI/s72-c/unnamed.jpg)
KATIBU MKUU KIONGOZI AKUTANA NA UJUMBE TOKA CHUO CHA ST THOMAS CHA MAREKANI
![](http://1.bp.blogspot.com/-TUD8BuQb41o/U8aUMZICkDI/AAAAAAAF2z4/c3jAY0_-YqI/s1600/unnamed.jpg)
Wanafunzi hao ambao kwa idadi yao ni wanafunzi 14 wanaochukua Shahada za Uzamivu na...
11 years ago
GPLKATIBU MKUU KIONGOZI BALOZI OMBENI SEFUE ATEMBELEA KITUO CHA TAIFA CHA UTUNZAJI KUMBUKUMBU (NRC) DODOMA
9 years ago
Michuzi![](http://img.youtube.com/vi/tTHyefrQy0g/default.jpg)
9 years ago
Michuzi![](http://3.bp.blogspot.com/-58EX4tY5Jlw/VmnVv82pwiI/AAAAAAAILjI/MatSrufblOU/s72-c/f4MvYqr5ma8Tbw5UcP7hqvBQKZz8xWdLPz2emqNkwAQ%252CIL-D6Ila1EVBVHdSUtlIzGZYpf9-1808Oy9dYc4C5wI.jpg)
Katibu Mkuu Kiongozi Afungua Mdahalo katika Maadhimisho ya Siku ya Maadili Chuo Kikuu cha Dar es salaam leo
![](http://3.bp.blogspot.com/-58EX4tY5Jlw/VmnVv82pwiI/AAAAAAAILjI/MatSrufblOU/s640/f4MvYqr5ma8Tbw5UcP7hqvBQKZz8xWdLPz2emqNkwAQ%252CIL-D6Ila1EVBVHdSUtlIzGZYpf9-1808Oy9dYc4C5wI.jpg)
Katibu Mkuu Kiongozi Balozi Ombeni Sefue akizungumza na wageni waalikwa leo katika Ukumbi wa Nkrumah Chuo Kikuu cha Dar es Salaam (ambao hawapo katika picha) jijini Dar es Salaam wakati wa ufunguzi wa Mdahalo katika kuadhimisha Siku ya Maadili
![](http://3.bp.blogspot.com/-SmUyRSPpGkQ/VmnWqvwZm8I/AAAAAAAILjc/3APWi-zq52g/s640/5SwFIA0NFHChcXGDCesCMxBw2tfMeniS3DCcoPfFYO8%252CCxcYTX16QvdYEtsDNL3_O3IihOb9iNBKtpnNOOGtCh0.jpg)
![](http://1.bp.blogspot.com/-fX0YuCCBf4I/VmnV5Wxn_EI/AAAAAAAILjM/L_z4Q3zWPB0/s640/OAAx2ixrI5_E8yqtOgjfZxNV3OrOwELVYYJKbLTEllc%252CXj13SIzXIAPprRHwTw8Dk6i34RM0vyycY2xiHrLACIM.jpg)
10 years ago
Michuzi![](http://3.bp.blogspot.com/-UgOq6v-_rxk/VSpqqj45bDI/AAAAAAAHQp0/vbiFM390pfQ/s72-c/unnamed%2B(70).jpg)
KITABU CHA DIRA NA MATUMAINI YA HANDENI KIKO MTAANI WAHI NAKALA YAKO SASA
![](http://3.bp.blogspot.com/-UgOq6v-_rxk/VSpqqj45bDI/AAAAAAAHQp0/vbiFM390pfQ/s1600/unnamed%2B(70).jpg)
Kambi Mbwana, mwandishi wa kitabu hicho na blogger wa www.handenikwetu.blogspot.com+255 712053949
9 years ago
Michuzi![](http://img.youtube.com/vi/zz_2ScDne7o/default.jpg)
10 years ago
Michuzi![](http://2.bp.blogspot.com/-t5y4kRSdAKs/Vcs8ndyfwVI/AAAAAAAHwNw/ywQE-WPQgMI/s72-c/images.jpg)
KATIBU MKUU KIONGOZI KUFUNGUA MICHEZO YA SHIMIWI 2015
![](http://2.bp.blogspot.com/-t5y4kRSdAKs/Vcs8ndyfwVI/AAAAAAAHwNw/ywQE-WPQgMI/s1600/images.jpg)
Katibu Mkuu Kiongozi Balozi Ombeni Sefue(Pichani) anatarajiwa kuwa mgeni rasmi katika ufunguzi wa michezo ya Wizara, Idara zinazojitegemea ,Wakala wa Serikali na Ofisi za wakuu wa Mikoa (SHIMIWI) itakayoanza Jumamosi ijayo(15.8.2015) mjini Morogoro.
Kwa mujibu wa taarifa kwa vyombo vya habari iliyotolewa leo jijini Dar es salaam na Kaimu Katibu Mkuu SHIMIWI Moshi Makuka, mashindano ya mwaka huu yatafanyika kwa wiki mbili.
Amesema kuwa siku ya...
11 years ago
Dewji Blog28 May
Katibu Mkuu Kiongozi akutana na Balozi wa Finland Ikulu
Katibu Mkuu kiongozi Balozi Ombeni Sefue akiwa katika mazungumzo na Balozi wa Finland nchini Mhe Sinikka Antilla alipokutana naye Ikulu Dar es salaam jana Mei 27, 2014.
Balozi Antila ndiye Mwenyekiti wa Kundi la Nchi 12 Washirika wa Maendeleo zinazosaidia bajeti ya Tanzania (General Budget Support Group), na amechukua nafasi hiyo tangu mwezi April mwaka huu.
Lengo la Balozi Antila kuonana na Katibu Mkuu Kiongozi ni kujitambulisha kwa wadhifa huo mpya na kueleza jinsi atavyotekeleza jukumu...