Jobs

Sales Representative

NORTH AMERICA ALIGN WORKERS EMPLOYMENT PROGRAM (NAAWEP)
Deadline: Oct 26, 2105




POPULAR ON YOUTUBE


Katibu Mwenezi CHADEMA achomwa mshale

KATIBU Mwenezi wa Chama cha Demokrasia na Maendeleo (CHADEMA), Kata ya Rigicha Wilaya ya Serengeti mkoani Mara, Bahati Mayala, amelazwa hospitali Teule ya Nyerere DDH, kwa madai ya kuchomwa na...

Tanzania daima

Read more


Habari Zinazoendana

10 years ago

Mwananchi

Katibu Chadema apigwa mshale

Katibu mwenezi wa Chadema, Kata ya Rigicha wilayani hapa, Bahati Mayala (37) amelazwa katika Hospitali Teule ya Nyerere baada ya kujeruhiwa kwa mshale wakati akitoka kwenye kampeni.

 

10 years ago

Vijimambo

BREAKING NEWS: MWENYEKITI WA CCM MKOA ARUSHA NA KATIBU MWENEZI WA MKOA WAJIUZULU NA KUHAMIA CHADEMA

Habari zilizotufikia hivi punde zinasema kuwa Mwenyekiti wa CCM mkoa wa Arusha Mh. Onesmo Nangole na Katibu Mwenezi wa CCM mkoa wa Arusha wamejiuzulu nafasi zao zote na kujiunga na chama cha demokrasia na maendeleo CHADEMA.Katibu mwenezi amemtahadharisha katibu mkuu wa CCM, ache kuwaita Watanzania makapi.

ENDELEA KUTUFUATILIA KWA TAARIFA ZAIDI

 

11 years ago

Michuzi

Mwenezi wa Chadema Wilaya ya Meatu arudi CCM pamoja na viongozi wengine wa Chadema

 Aliyekuwa Katibu Mwenezi wa Chadema wilaya ya Meatu Kimwaga Jackson Ndibo akirudisha vitu vya Chadema zikiwemo kadi, bendera na katiba kwa viongozi wa CCM baada ya kurudi rasmi.  Mwenyekiti wa Vijana  mkoa wa Simiyu na MNEC wa Itilima Ndugu Njalu Silanga akikabdihi kadi ya CCM kwa  moja ya viongozi wa Chadema Meatu waliorudi CCM.  Mwenyekiti wa Vijana  mkoa wa Simiyu na MNEC wa Itilima Ndugu Njalu Silanga akihutubia wakazi wa wilaya ya Meatu na kuwahakikishia wananchi hao CCM imejipanga...

 

10 years ago

Vijimambo

KATIBU MWENEZI WA CCM KILIMANJARO ATANGAZA NIA YA KUGOMBEA UBUNGE

Katibu Mwenezi wa Chama cha Mapinduzi (CCM) Priscus Tarimo akizungumza wakati wa mkutano wake wa na wakazi wa kata ya Kilimanjaro ,katika Manispaa ya Moshi akieleza mammbo mbalimbali aliyotekeleza wakati wa kipindi chake cha Udiwani na kutumia nafasi hiyo kutangaza nia ya kugombea Ubunge katika jimbo la Moshi mjini.
Baadhi ya wakazi wa kata ya Kilimanjaro wakifuatilia hotuba ya Diwani aliyemaliza muda wake wa kata ya Kilimanjaro,Priscus Tarimo wakati wa mkutano wake wa tathmni ulioenda...

 

10 years ago

GPL

KADA WA CHADEMA AUAWA KWA KUPIGWA MSHALE WA TUMBONI

Mwili wa kada wa Chama cha Demokrasia na Maendeleo (Chadema) Marwa Omtima ukizikwa.
IGENGA MTATIRO, TARIME MKAZI wa Kitongoji cha Nyaiheta, Kijiji cha Kewanja Kata ya Kemambo wilayani Tarime, Mara, Marwa Omtima (55)  ambaye ni kada wa Chama cha Demokrasia na Maendeleo (Chadema), ameuawa kwa kupigwa mshale tumboni na mtu aliyetajwa kwa jina la Gamaina, mkazi wa kitongoji hicho kulipotokea ugomvi usiku wa Machi 5, mwaka huu....

 

10 years ago

Vijimambo

KATIBU WA CHADEMA DMV, MAREKANI, ATEMBELEA MAKAO MAKUU YA CHADEMA TANZANIA



Katibu wa tawi la CHADEMA DMV, Marekani, Ndugu Liberatus Mwang'ombe amefanya ziara ya kutembelea makao makuu ya CHADEMA jijini Dar Es Salaam.

Katika ziara hiyo Ndugu Liberatus Mwang'ombe aliweza kufanya mkutano na Katibu Mkuu wa CHADEMA Dr. Wilbrod Slaa na mratibu wa mambo ya wabunge  wa CHADEMA, Ndugu John Mrema.

Ndg. Liberatus Mwang'ombe alipata fursa ya  kujadiliana mambo mbalimbali na Katibu mkuu wa CHADEMA Taifa Dr Wilbroad Slaa hosusani changamoto zinazo wakabili Watanzania kwa ujumla na...

 

10 years ago

Michuzi

KATIBU WA CHADEMA KANDA YA KASKANI AKIZINDUA MPANGO WA KUICHANGIA CHADEMA

 Katibu wa CHADEMA kanda ya Kaskazini Amani Golugwa akifafanua jambo
kwa waandishi wa habari (hawapo pichani) juu ya Uzinduzi wa mpango wa
kuchangia Chadema kwa kutumia simu za mikononi kukiwezesha chama hicho kushinda uchaguzi mkuu wa mwaka huu.Picha na mahmoud ahmad

 

9 years ago

Mwananchi

Wafuasi Ukawa wachoma nyumba ya mwenezi CCM

Wafuasi wa Chadema juzi walichoma moto nyumba ya Katibu Mwenezi wa CCM Wilaya ya Lindi, Khalfani Mndanje kwa kile kilichoelezwa kuwagonga na kuwajeruhi watu wanane waliokuwa wakitoka kwenye kampeni za mgombea urais wao, Edward Lowassa.

 

11 years ago

Tanzania Daima

Mshale FC waichoma Moro City Mabibo

TIMU ya Moro City ya Mabibo Sokoni jijini Dar es Salaam, juzi ilipata kichapo cha mabao 2-0 kutoka kwa Mshale FC katika mechi ya hatua ya makundi ya michuano ya...

 

Share

Magazeti ya Leo

Stay updated, Sign up

Habari za Mikoani