Jobs

Sales Representative

NORTH AMERICA ALIGN WORKERS EMPLOYMENT PROGRAM (NAAWEP)
Deadline: Oct 26, 2105




POPULAR ON YOUTUBE


Mshale FC waichoma Moro City Mabibo

TIMU ya Moro City ya Mabibo Sokoni jijini Dar es Salaam, juzi ilipata kichapo cha mabao 2-0 kutoka kwa Mshale FC katika mechi ya hatua ya makundi ya michuano ya...

Tanzania daima

Read more


Habari Zinazoendana

9 years ago

Mtanzania

Moto wa Magufuli waichoma Tanesco

MAGUFULIMOTO wa utendaji kazi wa Rais Dk.John Magufuli umetua ndani ya Shirika la Umeme Tanzania (TANESCO) baada ya shirika hilo kuwafukuza kazi mameneja, wahandisi na wahasibu kutokana na ubadhirifu mkubwa.

Mkurugenzi Mkuu wa Shirika hilo, Felchesmi Mramba amesema   uamuzi huo umechukuliwa kupambana na vitendo vya wizi na ubadhirifu vinavyofanywa na wafanyakazi wasiokuwa waadilifu.

“Tumechukua uamuzi mgumu wa kuwafukuza maofisa wetu kutokana na kujihusisha na vitendo mbalimbali.

“Huu ni mwanzo tu...

 

10 years ago

Mwananchi

Katibu Chadema apigwa mshale

Katibu mwenezi wa Chadema, Kata ya Rigicha wilayani hapa, Bahati Mayala (37) amelazwa katika Hospitali Teule ya Nyerere baada ya kujeruhiwa kwa mshale wakati akitoka kwenye kampeni.

 

10 years ago

Tanzania Daima

Katibu Mwenezi CHADEMA achomwa mshale

KATIBU Mwenezi wa Chama cha Demokrasia na Maendeleo (CHADEMA), Kata ya Rigicha Wilaya ya Serengeti mkoani Mara, Bahati Mayala, amelazwa hospitali Teule ya Nyerere DDH, kwa madai ya kuchomwa na...

 

10 years ago

GPL

FILAMU YA MSHALE WA KIFO KUINGIA SOKONI LEO

Aisha Bui akiwa na Gabo katika moja ya scene... AISHA Fathi ‘Aisha Bui’ anafunguka kwa kutamba kuwa filamu yake mpya inayoingia sokoni siku ya jumatatu, itadhihiri kipaji chake katika tasnia ya filamu, kwani amewakilisha wazo lake moja kwa moja bila kupigwa alichoandika ingekuwa ni kazi ya kushirikishwa isingekuwa rahisi. Aisha… ...

 

10 years ago

Michuzi

FILAMU YA MSHALE WA KIFO KUINGIA SOKONI LEO JUMATATU

 AISHA Fathi ‘Aisha Bui’ anafunguka kwa kutamba kuwa filamu yake mpya inayoingia sokoni leo, itadhihirisha  kipaji chake katika tasnia ya filamu, kwani amewakilisha wazo lake moja kwa moja bila kupigwa alichoandika. Ingekuwa ni kazi ya kushirikishwa isingekuwa rahisi.“Najua kila mtu anakuwa na uwezo wake katika filamu lakini unaweza kushindwa kufanya hivyo kwa sababu ya kukosa nafasi ndio maana mimi nimeamua kutumia kampuni yangu kutimiza ndoto zangu. Wiki hii Yuneda Entertainment...

 

10 years ago

GPL

KADA WA CHADEMA AUAWA KWA KUPIGWA MSHALE WA TUMBONI

Mwili wa kada wa Chama cha Demokrasia na Maendeleo (Chadema) Marwa Omtima ukizikwa.
IGENGA MTATIRO, TARIME MKAZI wa Kitongoji cha Nyaiheta, Kijiji cha Kewanja Kata ya Kemambo wilayani Tarime, Mara, Marwa Omtima (55)  ambaye ni kada wa Chama cha Demokrasia na Maendeleo (Chadema), ameuawa kwa kupigwa mshale tumboni na mtu aliyetajwa kwa jina la Gamaina, mkazi wa kitongoji hicho kulipotokea ugomvi usiku wa Machi 5, mwaka huu....

 

10 years ago

GPL

MKE: MUME WANGU AMENIPIGA MSHALE KWENYE MAKALIO

Stori:  Timothy Itembe Tarime, MARA UKISTAAJABU ya Musa utayaona ya Firauni! Mwanamke mmoja, mkazi wa Kitongoji cha Buriba, Kijiji cha Sirari wilayani Tarime, Mara aitwaye Bunyige Chacha (25) amepigwa mshale kwenye makalio na mumewe, Ghati Nyamarandi kisa kikidaiwa kuanzia kwenye pesa ya mahari na watoto. Ghati  Bunyige akiwa amekaa kwenye benchi akisubiri huduma ya matibabu katika… ...

 

9 years ago

Bongo5

Video mpya ya Belle 9 ‘Burger Movie Selfie’ iliyoshutiwa Moro na director wa Moro kutambulishwa Trace Urban wiki Ijayo

Belle99

Kabla mwaka 2015 haujaisha, Belle 9 amefanikisha kupiga hatua nyingine ya mafanikio ya muziki wake, ambapo wiki ijayo video ya wimbo wake mpya uitwao “Burger Movie Selfie” itaanza kuoneshwa kwa mara ya kwanza na Trace Urban wiki ijayo.

Belle99

What's up Trace Family! Watch "Burger Movie Selfie" by @bellenine starting next week on @TRACE_Urban channel #325 on @DStv_Kenya

— TRACE East Africa (@TRACEEastAfrica) December 2, 2015

Hii itakuwa ni video ya pili ya Belle 9 kwa mwaka huu na toka ameanza...

 

10 years ago

Habarileo

Uandikishaji Mabibo waingia dosari

UANDIKISHAJI katika Daftari la Kudumu la Wapigakura kupitia mfumo wa Biometric Voters Registration (BVR), katika eneo la Mabibo, Dar es Salaam umeingia dosari baada ya waandikishaji kugoma kuendelea kuandikisha kutokana na kutolipwa stahiki zao kwa wakati.

 

Share

Magazeti ya Leo

Stay updated, Sign up

Habari za Mikoani