Moto wa Magufuli waichoma Tanesco
MOTO wa utendaji kazi wa Rais Dk.John Magufuli umetua ndani ya Shirika la Umeme Tanzania (TANESCO) baada ya shirika hilo kuwafukuza kazi mameneja, wahandisi na wahasibu kutokana na ubadhirifu mkubwa.
Mkurugenzi Mkuu wa Shirika hilo, Felchesmi Mramba amesema uamuzi huo umechukuliwa kupambana na vitendo vya wizi na ubadhirifu vinavyofanywa na wafanyakazi wasiokuwa waadilifu.
“Tumechukua uamuzi mgumu wa kuwafukuza maofisa wetu kutokana na kujihusisha na vitendo mbalimbali.
“Huu ni mwanzo tu...
Mtanzania
Habari Zinazoendana
10 years ago
GPL![](http://api.ning.com:80/files/HQSy6kXC6MpQ*eWR2OjBLnwSzX8RqveAXwk6ssrFR1SCCVgBAy84t60fFafU4coB1PdQRakviPTcrR2-gAo*aPCrL30zbEv-/breakingnews.gif)
MOTO WAUNGUZA KITUO CHA TANESCO KURASINI, DAR
10 years ago
MichuziTANESCO KILIMANJARO WAFANYA MAREKEBISHO MITAMBO ILIYOUNGUA MOTO
![](http://2.bp.blogspot.com/-81QGT6H1ACk/U_GCYc4tBvI/AAAAAAAAHGE/44VwyIGJjo0/s1600/IMG-20140817-WA0018.jpg)
11 years ago
Tanzania Daima13 Jul
Mshale FC waichoma Moro City Mabibo
TIMU ya Moro City ya Mabibo Sokoni jijini Dar es Salaam, juzi ilipata kichapo cha mabao 2-0 kutoka kwa Mshale FC katika mechi ya hatua ya makundi ya michuano ya...
9 years ago
Dewji Blog08 Oct
Magufuli azidi kuibomoa CHADEMA Kilimanjaro, awatolea uvivu watendaji TANESCO
![](http://2.bp.blogspot.com/-OGr2OF03wZ0/VhVgajlqopI/AAAAAAADAfY/ia6t2aPSyRU/s640/_MG_4268.jpg)
![](http://1.bp.blogspot.com/-AtjfBuIkpDE/VhVgd7jOQLI/AAAAAAADAfo/RWAZtirQGcw/s640/_MG_4282.jpg)
Dk. John Pombe Magufuli na mgombea ubunge wa jimbo la Moshi mjini Ndugu
Davis Mosha wakimsikiliza Bw. Lema aliyekuwa Katibu wa Chadema
wilaya ya Hai wakati alipojiunga na...
9 years ago
Michuzi![](http://4.bp.blogspot.com/-ojo6ZIAp-S0/Vga2S7HV14I/AAAAAAAAocA/wRctY5PxDZc/s72-c/1.jpg)
MAGUFULI AWASHA MOTO SHINYANGA
![](http://4.bp.blogspot.com/-ojo6ZIAp-S0/Vga2S7HV14I/AAAAAAAAocA/wRctY5PxDZc/s640/1.jpg)
Alisema pia kuwa Serikali yake itakuwa rafiki wa sekta binafsi na kuwajengea uwezo wafanya biashara ndogo ndogo ili waweze kujiendeleza.
![](http://1.bp.blogspot.com/-YfGNfae_fV0/Vga2zO3LojI/AAAAAAAAod4/ZXya-LTbnJs/s640/4.jpg)
10 years ago
Michuzi![](http://img.youtube.com/vi/zSSgTLPRQKo/default.jpg)
9 years ago
Raia Mwema11 Nov
Magufuli ni nguvu ya soda au moto wa gesi?
WIKI iliyopita imekwisha kwa mambo mengi na sijui hadi leo hii mangapi mengine yamefanyika tangu
Lula wa Ndali Mwananzela
9 years ago
Bongo503 Dec
Uwaziri wa Magufuli wa moto, wabunge wengi waugwaya!
![Magufuli](http://www.bongo5.com/wp-content/uploads/2015/12/Magufuli-300x194.jpg)
Kuna sababu za kwanini hadi sasa Rais Dk John Magufuli hajatangaza baraza lake la mawaziri licha ya kuwepo ofisini kwa takriban mwezi sasa.
Taarifa zinadai kuwa uwaziri kwenye serikali yake ni mwendo ‘msobe msobe’ na si ule wa kula bata na safari kibao za nje kama ilivyokuwa awamu iliyopita, ndio maana wabunge wengi wanaugwaya.
Infact ndugu yako akiteuliwa na Magufuli kuwa waziri mpe pole badala ya kumpongeza kuwa ameula! Ule usemi Hapa Kazi tu si wa mdomoni na kuvutia kura tu, ndani ya...
9 years ago
Mwananchi25 Aug
Magufuli: Wanaoiba dawa hospitalini watakiona cha moto