MOTO WAUNGUZA KITUO CHA TANESCO KURASINI, DAR
![](http://api.ning.com:80/files/HQSy6kXC6MpQ*eWR2OjBLnwSzX8RqveAXwk6ssrFR1SCCVgBAy84t60fFafU4coB1PdQRakviPTcrR2-gAo*aPCrL30zbEv-/breakingnews.gif)
HABARI zilizotufikia hivi punde ni kwamba kituo cha Shirika la Umeme la Tanzania (Tanesco) kilichopo eneo la Kurasini jijini Dar es Salaam kinaungua kwa moto muda huu. Chanzo cha moto huo bado hakijafahamika mpaka sasa. Taarifa zaidi zitawajia hivi punde.
GPL
Habari Zinazoendana
11 years ago
GPL![](http://api.ning.com/files/iC8gEB0kF6mBd7r6*8rSsXekJ*wCwi-bk9AUNlcLhatBnZpnFwCzLv2fq73rgAc5qaguKf20Ho7tClSIM8vg93ZfQThCBOFE/13.gif)
MOTO MKUBWA WAUNGUZA JENGO LA RK BARABARA YA NYERERE DAR
10 years ago
GPL![](http://api.ning.com:80/files/EFRV*I*wRwIv2lg*IoR2-V3aT5dOGlYbYrfFdyjbW6lLkVHKS6F6G8bnVJImalBpk8qhod*a*2tvmjYT2V0kSDSEqoRSNdd8/MOTOMABIBO1.jpg?width=650)
MOTO WAUNGUZA BWENI LA MABIBO HOSTEL JIJINI DAR
10 years ago
Michuzi![](http://2.bp.blogspot.com/-qnOeMNPIki8/VLEtRk-Wl6I/AAAAAAAG8cw/dWJvyzQQZnY/s72-c/DSCF9545.jpg)
TANESCO YASHEREHEKEA MWAKA MPYA NA WATOTO YATIMA WA KITUO CHA CHAKUWAMA,SINZA JIJINI DAR
![](http://2.bp.blogspot.com/-qnOeMNPIki8/VLEtRk-Wl6I/AAAAAAAG8cw/dWJvyzQQZnY/s1600/DSCF9545.jpg)
![](http://1.bp.blogspot.com/-jJriTVH01Ac/VLEs1jw4nDI/AAAAAAAG8cQ/pcTtoZVFFTQ/s1600/DSCF9437.jpg)
10 years ago
Habarileo17 Mar
Moto waunguza hosteli ya Mabibo UDSM
MOTO mkubwa uliozuka na kuteketeza sehemu ya bweni la wanawake katika Hosteli za Chuo Kikuu cha Dar es Salaam (UDSM) zilizopo Mabibo jijini Dar es Salaam, jana uliibua taharuki kwa wanachuo na wananchi waishio jirani na eneo hilo.
10 years ago
GPL![](http://api.ning.com:80/files/5SYuKLMNKFwG*cwdrHMOhaweez6bE*BmxqKzvG7oJncNrsUOwjQTDc1*6jyC50piTEzjo85r4MbEjUsq-M4M4-ngxFVFI2NB/11002.jpg?width=650)
MOTO WAUNGUZA GODORO, UKUTA KWA BELA
9 years ago
Michuzi![](http://3.bp.blogspot.com/-x0l7w5j7XSA/VmqiCkM0D-I/AAAAAAAADQc/owQRxx6bMmo/s72-c/felister.jpg)
MAHAFALI CHUO CHA UHASIBU KURASINI JIJINI DAR
![](http://3.bp.blogspot.com/-x0l7w5j7XSA/VmqiCkM0D-I/AAAAAAAADQc/owQRxx6bMmo/s640/felister.jpg)
![](http://3.bp.blogspot.com/-48kz920ia7w/Vmqkfjr761I/AAAAAAAADQo/u9scetzlAVQ/s640/jane%2Bna%2Bedna.jpg)
9 years ago
Bongo503 Dec
Kituo cha redio cha Hits FM, Zanzibar chavamiwa na kuchomwa moto
![Coke](http://www.bongo5.com/wp-content/uploads/2015/12/Coke-300x194.jpg)
Kituo cha redio cha Hits FM cha visiwani Zanzibar, kimevamiwa na watu wasiojulikana na kuchomwa moto.
Studio za Hits FM baada ya kuchomwa moto
Naibu Kamishna wa Polisi visiwani humo, Salim Msangi ameiambia Radio One kuwa tukio hilo lilitokea saa saba na dakika 40 usiku.
Amesema watu hao waliofika kwenye studio hizi walimdhibiti mtangazaji huyo na kumziba mdomo na macho na kisha kutumia mito na makochi yalikuwepo hapo kukichoma.
Mtangazaji huyo aliyekuwa peke yake, alisema watu hao walikuwa...
10 years ago
GPL![](http://api.ning.com:80/files/p1hCpNEYWCJjE4najr9bCzxEfpLHWJYpa8sHvxa3iQXBKhWphJ3HUGnCtO3BZ1S6mQPm*aDI536ksKGoBNNs4VV72Yl8zq4G/moto1.jpg?width=650)
MOTO WATEKETEZA KITUO CHA KUPOZEA UMEME CHA MJINI MOSHI
5 years ago
BBCSwahili29 May
Mauaji ya George Floyd: Waandamanaji wakichoma moto kituo cha polisi cha Minneapolis, Marekani