Moto waunguza hosteli ya Mabibo UDSM
MOTO mkubwa uliozuka na kuteketeza sehemu ya bweni la wanawake katika Hosteli za Chuo Kikuu cha Dar es Salaam (UDSM) zilizopo Mabibo jijini Dar es Salaam, jana uliibua taharuki kwa wanachuo na wananchi waishio jirani na eneo hilo.
habarileo
Habari Zinazoendana
10 years ago
GPL![](http://api.ning.com:80/files/EFRV*I*wRwIv2lg*IoR2-V3aT5dOGlYbYrfFdyjbW6lLkVHKS6F6G8bnVJImalBpk8qhod*a*2tvmjYT2V0kSDSEqoRSNdd8/MOTOMABIBO1.jpg?width=650)
MOTO WAUNGUZA BWENI LA MABIBO HOSTEL JIJINI DAR
10 years ago
Mtanzania17 Mar
Moto wateketeza hosteli UDSM
NA MICHAEL SARUNGI, Dar es Salaam
WANAFUNZI wawili wanaosoma Chuo Kikuu cha Dar es Salaam, wameumia baada ya moto kuteketeza hosteli za Mabibo Dar es Salaam, walikokuwa wakiishi.
Akizungumza na waandishi wa habari baada ya tukio hilo, Makamu Mkuu wa Chuo Kikuu Cha Dar es Salaam, Profesa Rwekaza Mukandala, alisema moto huo uliteketeza ghorofa ya tatu ya jengo A linalotumiwa na wanafunzi wa kike.
“Tunamshukuru Mungu hakuna maafa yaliyotokea ingawa kuna wanafunzi wawili wamepata matatizo na...
10 years ago
GPL![](http://api.ning.com:80/files/5SYuKLMNKFwG*cwdrHMOhaweez6bE*BmxqKzvG7oJncNrsUOwjQTDc1*6jyC50piTEzjo85r4MbEjUsq-M4M4-ngxFVFI2NB/11002.jpg?width=650)
MOTO WAUNGUZA GODORO, UKUTA KWA BELA
10 years ago
GPL![](http://api.ning.com:80/files/HQSy6kXC6MpQ*eWR2OjBLnwSzX8RqveAXwk6ssrFR1SCCVgBAy84t60fFafU4coB1PdQRakviPTcrR2-gAo*aPCrL30zbEv-/breakingnews.gif)
MOTO WAUNGUZA KITUO CHA TANESCO KURASINI, DAR
11 years ago
GPL![](http://api.ning.com/files/iC8gEB0kF6mBd7r6*8rSsXekJ*wCwi-bk9AUNlcLhatBnZpnFwCzLv2fq73rgAc5qaguKf20Ho7tClSIM8vg93ZfQThCBOFE/13.gif)
MOTO MKUBWA WAUNGUZA JENGO LA RK BARABARA YA NYERERE DAR
10 years ago
GPLMOTO WAHARIBU BWENI LA WANAWAKE MABIBO, DAR
10 years ago
MichuziBREAKING NYUZZZZZZZ: MOJA YA JENGO LA MABIBO HOSTEL JIJINI DAR LASHIKA MOTO
![](http://3.bp.blogspot.com/-hXysdPENCTI/VQaJJrM-cTI/AAAAAAAHKqo/IX2COUNO3zA/s1600/IMG-20150316-WA0001.jpg)
10 years ago
Michuzi![](http://1.bp.blogspot.com/-i38X4OhExKY/VIlqJaNQMKI/AAAAAAAG2fU/r891XG7tB8E/s72-c/unnamed%2B(1).jpg)
MASHINDANO YA MPIRA WA MIGUU KWA COLLEGE NA SCHOOL ZA UDSM YAPAMBO MOTO
![](http://1.bp.blogspot.com/-i38X4OhExKY/VIlqJaNQMKI/AAAAAAAG2fU/r891XG7tB8E/s1600/unnamed%2B(1).jpg)
* SJMC (School of Journalism & Mass communication) wanaongoza kilele cha group A* COSS (College of Social Science) wanaongoza kilele cha group B* Mechi zingine nne kuendelea leo hadi Jumamosi
Mashindano ya mpira wa miguu kwa wanafunzi wa chuo kikuu cha Dar es Salaam...
10 years ago
Michuzi![](http://3.bp.blogspot.com/-EzItTlhLsWk/VAiGRbCca8I/AAAAAAACqAw/ZGrVIUObOZg/s72-c/unnamed.jpg)
BILIONI 1.3 ZATUMIKA KUJENGA MAABARA ZA SAYANSI NA HOSTELI
![](http://3.bp.blogspot.com/-EzItTlhLsWk/VAiGRbCca8I/AAAAAAACqAw/ZGrVIUObOZg/s1600/unnamed.jpg)
Mkurugenzi Mtendaji wa halmashauri ya wilaya ya Iringa Pudenciana Kisaka akizungumza Na Denis Mlowe,Iringa
JUMLA ya sh. bilioni 1.3 zimetumika katika ujenzi wa maabara za sayansi, hosteli za wasichana na chumba cha darasa katika shule za sekondari za Ismani, Nyang’ro na Kalenga zilizoko katika Halmashauri ya Wilaya ya Iringa mkoani Iringa. Akizungumza na wahabari hivi karibuni ofisini kwake Mkurugenzi Mtendaji wa Wilaya ya Iringa,Pudenciana Kisaka alisema kuwa halmashauri kupitia idara ya...