Kauli ya JK kwa Polisi inahitaji ufafanuzi
Rais Jakaya Kikwete amelitaka Jeshi la Polisi nchini kujiandaa kikamilifu kukabiliana na vurugu zozote zitakazojitokeza wakati wa uandikishaji wa wapigakura, upigaji Kura ya Maoni kuhusu Katiba Inayopendekezwa pamoja na Uchaguzi Mkuu utakaofanyika Oktoba, mwaka huu.
Mwananchi
Habari Zinazoendana
11 years ago
Mwananchi27 Jun
UFAFANUZI: Wabunge wahoji ajira za mkataba kwa Polisi
10 years ago
Vijimambo![](http://1.bp.blogspot.com/-tQC6r7EIiMM/VMp9smqWm3I/AAAAAAAAnbY/HVlKszOFG1Y/s72-c/lusinde.png)
"Kuna Tatizo gani Lipumba Kupigwa Nawapongeza sana Polisi kwa Kumpiga"Hii ni kauli ya Lusinde Bungeni
![](http://1.bp.blogspot.com/-tQC6r7EIiMM/VMp9smqWm3I/AAAAAAAAnbY/HVlKszOFG1Y/s1600/lusinde.png)
Lusinde: Bunge linapokwenda mwishoni wabunge wenye hali mbaya majimboni...
10 years ago
VijimamboJESHI LA POLISI MKOA WA DODOMA LATOLEA UFAFANUZI KUHUSU KUKAMATWA KWA MTU MWENYE ASILI YA KIASIA AKIWA NA TSHS. 722,500,00 KATIKA HOTELI YA ST. GASPER
YAH: TAARIFA YA JESHI LA POLISI MKOA WA DODOMA KWAVYOMBO VYA HABARI TAREHE 14/07/2015
Napenda kutoa taarifa fupi kuhusu tukio lililotokea tarehe 11/07/2015 majira ya saa 10:00 hrs huko katika Hoteli ya St. Gasper hapa mjini Dodoma, kuwa wananchi walitoa taarifa majira ya saa nne asubuhi kwamba kuna mtu mmoja mwenye asili ya Kiasia amekamatwa na wananchi...
5 years ago
CCM Blog![](https://1.bp.blogspot.com/-9rVtYB6wVNA/XnDBPgLCEAI/AAAAAAAC1Hw/5Z0GsT0z9rMA6bYzgHoGn-HoVXcO4dgHQCLcBGAsYHQ/s72-c/78e46699bdd17a7a394badc02f2b2a58_400x400-400x400.png)
11 years ago
Mwananchi27 Mar
Ufafanuzi wa Warioba ‘wasia’ kwa Bunge la Katiba
9 years ago
Michuzi![](http://3.bp.blogspot.com/-FHviruyQ2ns/Vi1NGgqlWtI/AAAAAAAICzk/L6v_7ZADKxU/s72-c/e5a78ea66139c40bf2e6f660b035dd1a.jpg)
TUME YATOA UFAFANUZI KWA CHANGAMOTO ZILIZOJITOKEZA KATIKA UCHAGUZI
![](http://3.bp.blogspot.com/-FHviruyQ2ns/Vi1NGgqlWtI/AAAAAAAICzk/L6v_7ZADKxU/s640/e5a78ea66139c40bf2e6f660b035dd1a.jpg)
10 years ago
Bongo531 Jan
Picha: Zari ndani ya Dar, athibitisha kwa mara ya kwanza kwa kauli yake kuwa mpenzi wa Diamond
9 years ago
Michuzi03 Nov
UFAFANUZI WA TUKIO LA KUANGUKA KWA JUKWAA LA JENGO LA NHFI MKOANI MBEYA
![nh1](http://www.fullshangweblog.com/wp-content/uploads/2015/11/nh1.jpg)
![nh2](http://www.fullshangweblog.com/wp-content/uploads/2015/11/nh2.jpg)
9 years ago
Dewji Blog03 Nov
Ufafanuzi wa tukio la kuanguka kwa jukwaa la jengo la NHFI Mkoani Mbeya
Mkurugenzi wa Uendeshaji (NHIF),Eugen Mikongoti akifafanua jambo wakati akizungumza waandishi wa habari kuhusu kuvunjika kwa uzio wa jengo la mfuko huo linalojengwa mkoani Mbeya kutokana na kukumbwa na mvua na upepo mkali, amesema jengo hilo liko salama kabisa ila uzio unaosaidia kuwakinga wajenzi ndiyo ulioanguka kutokana na upepo huokulia ni Mkurugenzi wa Masoko na Utafiti wa NHIF,Bw Rehani Athuman.
Mkurugenzi wa Uendeshaji (NHIF),Eugen Mikongoti akifafanua jambo wakati akizungumza...