Kavumbagu: Uwanja ulitukwamisha Tanga
Mshambuliaji wa Azam FC, Didier Kavumbagu amesema walihitaji ushindi wa zaidi ya bao moja dhidi ya Coastal Union ila walikwamishwa na uwanja mbovu wa Mkwakwani na kushindwa kuonyesha kiwango chao cha juu.
Mwananchi
Habari Zinazoendana
5 years ago
MichuziREDCROSS TANGA YATOA MSAADA WA VIFAA VYA MAJI TIRIRIKA UWANJA WA MKWAKWANI TANGA
MENEJA wa uwanja wa CCM Mkwakwani Nasoro Makau kulia akitokea msaada wa vifaa vya maji tiririka kutoka kwa Makamu Mwenyekiti wa Chama cha Msalaba Mwekundu Tanzania Mkoani Tanga (Red Cross) Ester Wiliam ambavyo vitatumika kuwekwa milangoni kwa ajili ya watazamaji wanaoingia kwenye uwanja huo kushuhudia michezo mbalimbali kuweza kunawa mikono ikiwa ni mapambano dhidi ya Covid 19 kulia ni Mratibu wa Shirika hilo Sada Kombo.
MENEJA wa uwanja wa CCM Mkwakwani Nasoro Makau akinawa mikono mara...
11 years ago
Tanzania Daima28 Mar
TFF yaanza kuendeleza uwanja wake Tanga
RAIS wa Shirikisho la Soka Tanzania (TFF), Jamal Malinzi, amesema wameanza rasmi mchakato wa kuendeleza uwanja wake uliopo eneo la Mnyanjani jijini Tanga, ambapo upimaji udongo sahihi unafanyika. Kwa mujibu...
10 years ago
MichuziMABONDIA KUZIPIGA KESHO JUMAPILI UWANJA WA MKWAKWANI TANGA
11 years ago
GPL![](http://2.bp.blogspot.com/-XFePXIEXH4g/Ur8PM8zr9nI/AAAAAAACYEk/fBAJFZaNf4A/s640/IMG_8404.jpg)
ROSE MUHANDO AWAKUNA WAKAZI WA TANGA UWANJA WA MKWAKWANI LEO
10 years ago
VijimamboMABONDIA VICENT MBILINYI NA SAID MUNDI WA TANGA KUPIGANA KESHO UWANJA WA NDANI WA TAIFA
9 years ago
Habarileo20 Dec
Kavumbagu hauzwi- Hall
KOCHA wa Azam FC Stewart Hall amesema hatarajii kumuuza Didier Kavumbagu katika timu yoyote ndani ya ukanda wa Afrika Mashariki kwa kuwa bado ni tegemeo lao.
10 years ago
GPL![](http://api.ning.com:80/files/9whBoo1pTWNEPDSwhZ76xPpeY*R3OOoAbWX9xQve6MMJ9E4xT6QYeCiRbQhKhZ7L1N6gv-CEz4raOLh0ztORbiORqWbsae3F/Kavumbagu.jpg?width=650)
Kavumbagu mali ya Yanga
11 years ago
Mwananchi01 May
Pluijm amsikitikia Kavumbagu