Kazaura dies in India
>The chancellor of the University of Dar es Salaam Fulgence Kazaura has died. Kazaura passed away on Saturday night in Chennai India where he had gone for cancer treatment, according to a statement issued yesterday by the State House.
TheCitizen
Habari Zinazoendana
11 years ago
Mwananchi24 Feb
Balozi Kazaura afariki dunia akitibiwa India
11 years ago
Michuzi25 Feb
MWILI WA BALOZI KAZAURA WAWASILI DAR KUTOKA INDIA LEO
Waombolezaji wakisukuma jeneza lenye mwili wa aliyekuwa Mkuu wa Chuo Kikuu cha Dar es Salaam (UDSM), marehemu Balozi Fulgence Kazaura ulipowasili jana kwenye Uwanja wa Ndege wa Kimataifa wa Julius Nyerere (JNIA), Dar es Salaam jioni hii , kutoka India. (PICHA NA KHAMIS MUSSA)
Mkuu wa Mkoa wa Dar es Salaam, Said Sadick akwafariji ndugu wa marehemu
Ndugu wakifunua jeneza kuutengeneza mwili wa marehemu Kazaura.
Mwili ukipakiwa kwenye gari tayari kupelekwa kuhifadhiwa...
9 years ago
TheCitizen12 Oct
Minister Abdallah Kigoda dies in India
11 years ago
Mwananchi26 Feb
Kazaura kuzikwa Jumamosi
11 years ago
Daily News26 Feb
Chadema mourns the late Kazaura
Daily News
Daily News
CHADEMA has sent a message of condolence to the Vice-Chancellor of the University of Dar es Salaam (UDSM), Prof. Rwekaza Mukandala, for the death of the varsity's chancellor, Ambassador Fulgence Kazaura. The body of Kazaura was brought in the ...
11 years ago
Tanzania Daima24 Feb
Balozi Kazaura afariki dunia
MKUU wa Chuo Kikuu cha Dar es Salaam (UDSM), Balozi Flugenze Kazaura, amefariki dunia alipokuwa akipatiwa matibabu katika Hospitali ya Chennai nchini India. Taarifa ya kifo hicho imetolewa jana na...
11 years ago
Habarileo25 Feb
Mwili wa Kazaura kuletwa leo
MWILI wa Mkuu wa Chuo Kikuu cha Dar es Salaam, Balozi Fulgence Kazaura unatarajia kuwasili nchini leo jioni. Akizungumza jana, Msemaji wa familia, Charles Mombeki alisema mwili huo utawasili kwa ndege ya Shirika la Ndege la Emirates. Balozi Kazaura alifariki dunia siku ya Jumamosi nchini India, alikokuwa akipatiwa matibabu katika Kituo cha Matibabu ya Saratani katika mji wa Chennai nchini humo.
10 years ago
Dewji Blog18 Feb
Zanzibar, India zatiliana saini mkataba wa uwakala wa utangazaji Utalii wa ZNZ nchini India
Kulia ni Katibu Mkuu wa Wizara ya Habari, Utamaduni, Utalii na Michezo Zanzibar na kushoto ni Mkurugenzi Mtendaji wa Kampuni ya JIHIL ENTERPRISES ya India Nd. Jilesh H. Babla wakitiliana saini mkataba wa makubaliano ya kuanzishwa kwa ofisi ya uwakala wa Utangazaji Utalii wa Zanzibar Nchini India. (Picha na Makame Mshenga Maelezo-Zanzibar).
Na Abdulla Ali Maelezo-Zanzibar
Wizara ya...
11 years ago
IPPmedia28 Feb
JK leads Dar mourners in last respects to Kazaura
IPPmedia
IPPmedia
Mwalimu Nyerere Foundation executive director Joseph Butiku (R) and IPP Executive Chairman Dr Reginald Mengi pay last respects to University of Dar es Salaam Chancellor Fulgence Kazaura at the university's main campus in the city yesterday.(Photo: ...
Mkapa leads hundreds in paying last respects to KazauraDaily News
all 2