Jobs

Sales Representative

NORTH AMERICA ALIGN WORKERS EMPLOYMENT PROGRAM (NAAWEP)
Deadline: Oct 26, 2105




POPULAR ON YOUTUBE


Kazaura dies in India

>The chancellor of the University of Dar es Salaam Fulgence Kazaura has died. Kazaura passed away on Saturday night in Chennai India where he had gone for cancer treatment, according to a statement issued yesterday by the State House.

TheCitizen

Read more


Habari Zinazoendana

11 years ago

Mwananchi

Balozi Kazaura afariki dunia akitibiwa India

Mkuu wa Chuo Kikuu cha Dar es Salaam (UDSM), Balozi Fulgence Kazaura amefariki dunia juzi, Chenai, India alikokwenda kwa ajili ya matibabu.

 

11 years ago

Michuzi

MWILI WA BALOZI KAZAURA WAWASILI DAR KUTOKA INDIA LEO




 Waombolezaji wakisukuma jeneza lenye mwili wa aliyekuwa Mkuu wa Chuo Kikuu cha Dar es Salaam (UDSM), marehemu Balozi Fulgence Kazaura ulipowasili jana kwenye Uwanja wa Ndege wa Kimataifa wa Julius Nyerere (JNIA), Dar es Salaam jioni hii , kutoka India. (PICHA NA KHAMIS MUSSA)

 Mkuu wa Mkoa wa Dar es Salaam, Said Sadick akwafariji ndugu wa marehemu

 Ndugu wakifunua jeneza kuutengeneza mwili wa marehemu Kazaura.


 Mwili ukipakiwa kwenye gari tayari kupelekwa kuhifadhiwa...

 

9 years ago

TheCitizen

Minister Abdallah Kigoda dies in India

Minister for Trade and Industries Dr Abdallah Kigoda, 62, is no more.

 

11 years ago

Mwananchi

Kazaura kuzikwa Jumamosi

 Mwili wa aliyekuwa Mkuu wa Chuo Kikuu cha Dar es Salaam (UDSM), Balozi Fulgence Kazaura (74) umewasili nchini jana ukitokea Chenai, India alikokwenda kwa matibabu ya saratani.

 

11 years ago

Daily News

Chadema mourns the late Kazaura


Daily News
Chadema mourns the late Kazaura
Daily News
CHADEMA has sent a message of condolence to the Vice-Chancellor of the University of Dar es Salaam (UDSM), Prof. Rwekaza Mukandala, for the death of the varsity's chancellor, Ambassador Fulgence Kazaura. The body of Kazaura was brought in the ...

 

11 years ago

Tanzania Daima

Balozi Kazaura afariki dunia

MKUU wa Chuo Kikuu cha Dar es Salaam (UDSM), Balozi Flugenze Kazaura, amefariki dunia alipokuwa akipatiwa matibabu katika Hospitali ya Chennai nchini India. Taarifa ya kifo hicho imetolewa jana na...

 

11 years ago

Habarileo

Mwili wa Kazaura kuletwa leo

MWILI wa Mkuu wa Chuo Kikuu cha Dar es Salaam, Balozi Fulgence Kazaura unatarajia kuwasili nchini leo jioni. Akizungumza jana, Msemaji wa familia, Charles Mombeki alisema mwili huo utawasili kwa ndege ya Shirika la Ndege la Emirates. Balozi Kazaura alifariki dunia siku ya Jumamosi nchini India, alikokuwa akipatiwa matibabu katika Kituo cha Matibabu ya Saratani katika mji wa Chennai nchini humo.

 

10 years ago

Dewji Blog

Zanzibar, India zatiliana saini mkataba wa uwakala wa utangazaji Utalii wa ZNZ nchini India

01

Kulia ni Katibu Mkuu wa Wizara ya Habari, Utamaduni, Utalii na Michezo Zanzibar na kushoto ni Mkurugenzi Mtendaji wa Kampuni ya JIHIL ENTERPRISES ya India Nd. Jilesh H. Babla wakitiliana saini mkataba wa makubaliano ya kuanzishwa kwa ofisi ya uwakala wa Utangazaji Utalii wa Zanzibar Nchini India. (Picha na Makame Mshenga Maelezo-Zanzibar).

                                                 Na Abdulla Ali Maelezo-Zanzibar                                                         

Wizara ya...

 

11 years ago

IPPmedia

JK leads Dar mourners in last respects to Kazaura


IPPmedia
JK leads Dar mourners in last respects to Kazaura
IPPmedia
Mwalimu Nyerere Foundation executive director Joseph Butiku (R) and IPP Executive Chairman Dr Reginald Mengi pay last respects to University of Dar es Salaam Chancellor Fulgence Kazaura at the university's main campus in the city yesterday.(Photo: ...
Mkapa leads hundreds in paying last respects to KazauraDaily News

all 2

 

Share

Magazeti ya Leo

Stay updated, Sign up

Habari za Mikoani