Jobs

Sales Representative

NORTH AMERICA ALIGN WORKERS EMPLOYMENT PROGRAM (NAAWEP)
Deadline: Oct 26, 2105




POPULAR ON YOUTUBE


Kazi imeanza



Sitta acharuka, arusha makombora UKAWAAonya hawana uhalali mbele ya WatanzaniaDk.Kigwangalah naye amtolea uvivu Warioba
Na Waandishi Wetu
MWENYEKITI wa Bunge Maalumu la Katiba, Samuel Sitta, amewapasha wajumbe wa kundi la Umoja wa Katiba ya Wananchi (UKAWA) kuwa, hawana uhalali wala hadhi kuliko wajumbe wengine.
Amesema jambo la kutofautiana katika kujadili Rasimu ya Katiba Mpya ni la kawaida na kwamba, kamwe vikao vya bunge hilo havitasitishwa kwa sababu ya wachache kususa.
Amesema masuala na...

Uhuru Newspaper

Read more


Habari Zinazoendana

9 years ago

GPL

KAZI IMEANZA! WAZIRI MKUU ATAJWATAJWA


Rais Jakaya Kikwete (kushoto) na rais mteule wa awamu ya tano, Dk John Pombe Magufuli ISSA MNALLY NA RICHARD BUKOS JANA, aliyekuwa mgombea urais wa Tanzania kupitia Chama Cha Mapinduzi (CCM), Dk. John Pombe Magufuli (56) alikabidhiwa cheti cha kuutambua ushindi wake wa nafasi hiyo baada ya kuibuka na kura nyingi kwenye uchaguzi uliyofanyika Oktoba 25, mwaka huu huku watu wakisema kitendo cha kumkabidhi cheti kazi imeanza.… ...

 

10 years ago

GPL

10 years ago

Habarileo

JK: Sekta ya elimu imeanza kuzaa matunda

Rais Jakaya Kikwete.RAIS Jakaya Kikwete amesema jitihada za Serikali katika kuboresha sekta ya elimu nchini, zimeanza kuzaa matunda, na sasa takribani shule zote za Serikali zimeanza kufanya vizuri tofauti na miaka ya nyuma.

 

10 years ago

Mwananchi

Ligi imeanza, tumpate bingwa wa kweli

Mikikimikiki ya Ligi Kuu Tanzania Bara imeanza kwa kila timu kusaka ushindi wa mwanzo mwanzo kabla ya duru ya pili.

 

11 years ago

BBCSwahili

Kesi dhidi ya watu 700 imeanza Misri

Kesi dhidi ya wafuasi 700 wa aliyekuwa Rais wa nchi hiyo Mohammed Morsi, imeanza kusikilizwa baada ya wengine 528 kuhukumiwa kifo Jumatatu.

 

11 years ago

Mwananchi

Mbunge asema Malawi imeanza kuwatisha Watanzania

 “Kwa kuzingatia uhusiano uliopo kati ya Tanzania na Malawi, naomba mwongozo wako maana ndege za nchi hii sasa zinaingia hadi Tanzania na kuwatia hofu wananchi,” alisema Kibona.

 

10 years ago

Dewji Blog

Mikutano ya Majira Kipupwe imeanza rasmi Mjini Washington DC

 

DSC_5014

Mwakilishi Mkazi wa Benki ya Dunia Tanzania, Rwanda, Uganda na Burundi Bw. Philippe Dongier,  akipata maelezo kutoka kwa Bw. Said Ngosha Magonya, ambaye ni  Kamishina wa Fedha za Nje kuhusu utaratibu uliopangwa na Tanzania katika Mikutano hii ya majira ya kipupwe.

Mikutano ya majira ya  Kipupwe imeanza rasmi tarehe 14/4/2015 na kuhudhuriwa na nchi mbalimbali wanachama zaidi ya 188. Mikutano hii huudhuriwa na maelfu ya wafanyakazi kutoka serikalini, waandishi wa habari, Mashirika na...

 

10 years ago

Vijimambo

Mikutano ya Majira Kipupwe imeanza rasmi Mjini Washington DC.

Mikutano ya majira ya  Kipupwe imeanza rasmi tarehe 14/4/2015 na kuhudhuriwa na nchi mbalimbali wanachama zaidi ya 188. Mikutano hii huudhuriwa na maelfu ya wafanyakazi kutoka serikalini, waandishi wa habari, Mashirika na Taasisi zisizo za kiserikali, Sekta binafsi pamoja na kamati za kifedha.Taasisi hizo kwa pamoja zitajadili maendeleo ya kazi za Benki ya Dunia na Shirika la Fedha la Kimataifa.


Tanzania ni nchi wanachama katika Mikutano hiyo.Waziri wa Fedha Mhe. Saada Salum Mkuya  ndiye...

 

Share

Magazeti ya Leo

Stay updated, Sign up

Habari za Mikoani