Kazi imeanza
Sitta acharuka, arusha makombora UKAWAAonya hawana uhalali mbele ya WatanzaniaDk.Kigwangalah naye amtolea uvivu Warioba
Na Waandishi Wetu
MWENYEKITI wa Bunge Maalumu la Katiba, Samuel Sitta, amewapasha wajumbe wa kundi la Umoja wa Katiba ya Wananchi (UKAWA) kuwa, hawana uhalali wala hadhi kuliko wajumbe wengine.
Amesema jambo la kutofautiana katika kujadili Rasimu ya Katiba Mpya ni la kawaida na kwamba, kamwe vikao vya bunge hilo havitasitishwa kwa sababu ya wachache kususa.
Amesema masuala na...
Uhuru Newspaper
Habari Zinazoendana
9 years ago
GPL![](http://api.ning.com:80/files/-M4AZQ7Xoc*5JYSM134YPL8NcwCNHDaiVpDZyW2Rzw-ZBELvE9D1Lpz74G87WbGM6u0Z*pqnwqEuUvC7pNEkmAMIRc9vlyZC/FRONT.jpg?width=650)
KAZI IMEANZA! WAZIRI MKUU ATAJWATAJWA
10 years ago
GPL![](http://api.ning.com:80/files/UxG8FbEp4zb7Hsr1MfKVW0GIe2T4AZinoIdELoPX3fMMScc0LQzzATMdNT3rXv3XmexLVJiZSNuXCpWTsIc*hBf7N*uckRKf/Dstv.jpg?width=650)
10 years ago
Habarileo25 Feb
JK: Sekta ya elimu imeanza kuzaa matunda
RAIS Jakaya Kikwete amesema jitihada za Serikali katika kuboresha sekta ya elimu nchini, zimeanza kuzaa matunda, na sasa takribani shule zote za Serikali zimeanza kufanya vizuri tofauti na miaka ya nyuma.
10 years ago
Mwananchi22 Sep
Ligi imeanza, tumpate bingwa wa kweli
11 years ago
BBCSwahili25 Mar
Kesi dhidi ya watu 700 imeanza Misri
11 years ago
Mwananchi11 Jun
Mbunge asema Malawi imeanza kuwatisha Watanzania
10 years ago
Dewji Blog15 Apr
Mikutano ya Majira Kipupwe imeanza rasmi Mjini Washington DC
Mwakilishi Mkazi wa Benki ya Dunia Tanzania, Rwanda, Uganda na Burundi Bw. Philippe Dongier, akipata maelezo kutoka kwa Bw. Said Ngosha Magonya, ambaye ni Kamishina wa Fedha za Nje kuhusu utaratibu uliopangwa na Tanzania katika Mikutano hii ya majira ya kipupwe.
Mikutano ya majira ya Kipupwe imeanza rasmi tarehe 14/4/2015 na kuhudhuriwa na nchi mbalimbali wanachama zaidi ya 188. Mikutano hii huudhuriwa na maelfu ya wafanyakazi kutoka serikalini, waandishi wa habari, Mashirika na...
10 years ago
VijimamboMikutano ya Majira Kipupwe imeanza rasmi Mjini Washington DC.
Tanzania ni nchi wanachama katika Mikutano hiyo.Waziri wa Fedha Mhe. Saada Salum Mkuya ndiye...