Jobs

Sales Representative

NORTH AMERICA ALIGN WORKERS EMPLOYMENT PROGRAM (NAAWEP)
Deadline: Oct 26, 2105




POPULAR ON YOUTUBE


ITV IMEANZA KUPATIKANA DSTV

GPL

Read more


Habari Zinazoendana

10 years ago

Michuzi

ITV sasa kuonekana kupitia DStv

MultiChoice Africa, kampuni inayoongoza katika kutoa burudani ya kulipiwa ya dijitali pamoja na IPP Media wamesaini makubaliano yatakayoleta chaneli maarufu zaidi Tanzania, ITV, kuwa sehemu ya jukwaa la DStv.
Ushirikiano huu wa kusisimua utawapa watazamaji wa Tanzania kote nchini fursa ya kuangalia vipindi vilivyotengenezwa hapa hapa nchini vikiwa na ubora mkubwa kidijitali. Chaneli hii itapatikana kwenye vifurushi vyote vya DStv ikiwemo kifurushi kilichozinduliwa hivi karibuni cha Bomba,...

 

11 years ago

Uhuru Newspaper

Kazi imeanza



Sitta acharuka, arusha makombora UKAWAAonya hawana uhalali mbele ya WatanzaniaDk.Kigwangalah naye amtolea uvivu Warioba
Na Waandishi Wetu
MWENYEKITI wa Bunge Maalumu la Katiba, Samuel Sitta, amewapasha wajumbe wa kundi la Umoja wa Katiba ya Wananchi (UKAWA) kuwa, hawana uhalali wala hadhi kuliko wajumbe wengine.
Amesema jambo la kutofautiana katika kujadili Rasimu ya Katiba Mpya ni la kawaida na kwamba, kamwe vikao vya bunge hilo havitasitishwa kwa sababu ya wachache kususa.
Amesema masuala na...

 

10 years ago

Mwananchi

Ligi imeanza, tumpate bingwa wa kweli

Mikikimikiki ya Ligi Kuu Tanzania Bara imeanza kwa kila timu kusaka ushindi wa mwanzo mwanzo kabla ya duru ya pili.

 

9 years ago

GPL

KAZI IMEANZA! WAZIRI MKUU ATAJWATAJWA


Rais Jakaya Kikwete (kushoto) na rais mteule wa awamu ya tano, Dk John Pombe Magufuli ISSA MNALLY NA RICHARD BUKOS JANA, aliyekuwa mgombea urais wa Tanzania kupitia Chama Cha Mapinduzi (CCM), Dk. John Pombe Magufuli (56) alikabidhiwa cheti cha kuutambua ushindi wake wa nafasi hiyo baada ya kuibuka na kura nyingi kwenye uchaguzi uliyofanyika Oktoba 25, mwaka huu huku watu wakisema kitendo cha kumkabidhi cheti kazi imeanza.… ...

 

10 years ago

Habarileo

JK: Sekta ya elimu imeanza kuzaa matunda

Rais Jakaya Kikwete.RAIS Jakaya Kikwete amesema jitihada za Serikali katika kuboresha sekta ya elimu nchini, zimeanza kuzaa matunda, na sasa takribani shule zote za Serikali zimeanza kufanya vizuri tofauti na miaka ya nyuma.

 

11 years ago

BBCSwahili

Kesi dhidi ya watu 700 imeanza Misri

Kesi dhidi ya wafuasi 700 wa aliyekuwa Rais wa nchi hiyo Mohammed Morsi, imeanza kusikilizwa baada ya wengine 528 kuhukumiwa kifo Jumatatu.

 

11 years ago

Mwananchi

Mbunge asema Malawi imeanza kuwatisha Watanzania

 “Kwa kuzingatia uhusiano uliopo kati ya Tanzania na Malawi, naomba mwongozo wako maana ndege za nchi hii sasa zinaingia hadi Tanzania na kuwatia hofu wananchi,” alisema Kibona.

 

Share

Magazeti ya Leo

Stay updated, Sign up

Habari za Mikoani