ITV IMEANZA KUPATIKANA DSTV
![](http://api.ning.com:80/files/UxG8FbEp4zb7Hsr1MfKVW0GIe2T4AZinoIdELoPX3fMMScc0LQzzATMdNT3rXv3XmexLVJiZSNuXCpWTsIc*hBf7N*uckRKf/Dstv.jpg?width=650)
GPL
Habari Zinazoendana
10 years ago
Michuzi![](http://1.bp.blogspot.com/-kTWJLhQGn_A/VH2aYCwg6MI/AAAAAAAG0uc/4Q1fFnezOzc/s72-c/itv-logo.jpg)
ITV sasa kuonekana kupitia DStv
![](http://1.bp.blogspot.com/-kTWJLhQGn_A/VH2aYCwg6MI/AAAAAAAG0uc/4Q1fFnezOzc/s1600/itv-logo.jpg)
Ushirikiano huu wa kusisimua utawapa watazamaji wa Tanzania kote nchini fursa ya kuangalia vipindi vilivyotengenezwa hapa hapa nchini vikiwa na ubora mkubwa kidijitali. Chaneli hii itapatikana kwenye vifurushi vyote vya DStv ikiwemo kifurushi kilichozinduliwa hivi karibuni cha Bomba,...
10 years ago
Michuzi06 Feb
11 years ago
Uhuru Newspaper06 Aug
Kazi imeanza
Sitta acharuka, arusha makombora UKAWAAonya hawana uhalali mbele ya WatanzaniaDk.Kigwangalah naye amtolea uvivu Warioba
Na Waandishi Wetu
MWENYEKITI wa Bunge Maalumu la Katiba, Samuel Sitta, amewapasha wajumbe wa kundi la Umoja wa Katiba ya Wananchi (UKAWA) kuwa, hawana uhalali wala hadhi kuliko wajumbe wengine.
Amesema jambo la kutofautiana katika kujadili Rasimu ya Katiba Mpya ni la kawaida na kwamba, kamwe vikao vya bunge hilo havitasitishwa kwa sababu ya wachache kususa.
Amesema masuala na...
10 years ago
Mwananchi22 Sep
Ligi imeanza, tumpate bingwa wa kweli
Mikikimikiki ya Ligi Kuu Tanzania Bara imeanza kwa kila timu kusaka ushindi wa mwanzo mwanzo kabla ya duru ya pili.
9 years ago
GPL![](http://api.ning.com:80/files/-M4AZQ7Xoc*5JYSM134YPL8NcwCNHDaiVpDZyW2Rzw-ZBELvE9D1Lpz74G87WbGM6u0Z*pqnwqEuUvC7pNEkmAMIRc9vlyZC/FRONT.jpg?width=650)
KAZI IMEANZA! WAZIRI MKUU ATAJWATAJWA
Rais Jakaya Kikwete (kushoto) na rais mteule wa awamu ya tano, Dk John Pombe Magufuli ISSA MNALLY NA RICHARD BUKOS JANA, aliyekuwa mgombea urais wa Tanzania kupitia Chama Cha Mapinduzi (CCM), Dk. John Pombe Magufuli (56) alikabidhiwa cheti cha kuutambua ushindi wake wa nafasi hiyo baada ya kuibuka na kura nyingi kwenye uchaguzi uliyofanyika Oktoba 25, mwaka huu huku watu wakisema kitendo cha kumkabidhi cheti kazi imeanza.… ...
10 years ago
Habarileo25 Feb
JK: Sekta ya elimu imeanza kuzaa matunda
RAIS Jakaya Kikwete amesema jitihada za Serikali katika kuboresha sekta ya elimu nchini, zimeanza kuzaa matunda, na sasa takribani shule zote za Serikali zimeanza kufanya vizuri tofauti na miaka ya nyuma.
11 years ago
BBCSwahili25 Mar
Kesi dhidi ya watu 700 imeanza Misri
Kesi dhidi ya wafuasi 700 wa aliyekuwa Rais wa nchi hiyo Mohammed Morsi, imeanza kusikilizwa baada ya wengine 528 kuhukumiwa kifo Jumatatu.
11 years ago
Mwananchi11 Jun
Mbunge asema Malawi imeanza kuwatisha Watanzania
 “Kwa kuzingatia uhusiano uliopo kati ya Tanzania na Malawi, naomba mwongozo wako maana ndege za nchi hii sasa zinaingia hadi Tanzania na kuwatia hofu wananchi,†alisema Kibona.
Top 10
Tanzania Today
Today Breaking News,Tanzania World News
13-February-2025 in Tanzania