Mbunge asema Malawi imeanza kuwatisha Watanzania
 “Kwa kuzingatia uhusiano uliopo kati ya Tanzania na Malawi, naomba mwongozo wako maana ndege za nchi hii sasa zinaingia hadi Tanzania na kuwatia hofu wananchi,†alisema Kibona.
Mwananchi
Habari Zinazoendana
5 years ago
MichuziMBUNGE CHADEMA ASEMA UAMUZI WA LOCKDOWN HAUKUWA WA MAANA, AHOJI HIVI RAIS ATOE MAAMUZI YA KUUA WATANZANIA WENGI KWA AJILI YA CORONA ILI APATE FAIDA GANI
WAKATI Chama cha Demokrasia na Maendeleo(Chadema) kikiwa kwenye mpasuko baada ya baadhi ya wabunge wake kukaidi agizo la Chama hicho kuwataka kutohudhuria Bunge na kisha kukaa 14 kama sehemu ya kujilinda na virusi vya Corona limechukua sura mpya baada ya Mbunge wa Kilombero kwa tiketi ya Chama hicho Peter Lijualikali kuelezea hatua kwa hatua madhara ya Lockdown kwa Watanzania na namna ambavyo aliamua kutokubaliana na uamuzi huo kwa maslahi ya...
10 years ago
GPLMBUNGE GODFREY MGIMWA ASEMA AMETUMIA ZAIDI YA TSH MILIONI 68 KWA MIENZI MITATU YA UBUNGE WAKE KUTEKELEZA AHADI 90 ZA MBUNGE WA KALENGA ALIYEFARIKI DUNIA DR WILIAM MGIMWA
Mbunge wa jimbo la Kalenga Godfrey Mgimwa (kulia) akikabidhi ahadi ya bati 100 alizokuwa ameziahidi mbunge aliyepita marehemu Dr. Wiliam Mgimwa kwa viongozi wa kijiji cha Mangalali kwa ajili ya ujenzi wa vyumba vya madarasa shule ya msingi Lukwambe hadi sasa ni asilimia 90 ya ahadi binafsi za mbunge aliyefariki zimetekelezwa jimbo la Kalenga na mbunge Mgimwa…
...
10 years ago
Mwananchi23 Apr
Mangula atumia makada sita kuwatisha wagombea
Dar es Salaam. Makamu Mwenyekiti wa CCM, Philip Mangula ametumia kifungo cha vigogo sita wanaowania urais ndani ya chama hicho kuwatisha viongozi wa chini wasijihusishe na kampeni kabla ya muda kufika.
10 years ago
Michuzi![](http://1.bp.blogspot.com/-0GCaVhxr1i4/VSIjXLLZ2II/AAAAAAAB6Uw/vykg8JnEyiM/s72-c/2G2A9558.jpg)
FILIKUNJOMBE AIPONGEZA NEC ASEMA JK ATAKUMBUKWA DAIMA NA WATANZANIA
![](http://1.bp.blogspot.com/-0GCaVhxr1i4/VSIjXLLZ2II/AAAAAAAB6Uw/vykg8JnEyiM/s1600/2G2A9558.jpg)
![](http://1.bp.blogspot.com/-xIwGIF9XMWk/VSIkhuHfNYI/AAAAAAAB6VI/tIZayCVHMw0/s1600/2G2A9698.jpg)
BOFYA HAPA KUSOMA ZAIDI
5 years ago
Michuzi![](https://1.bp.blogspot.com/-ltfAP60l5Q4/XuBaXfBg57I/AAAAAAALtRE/05ElMpXks18cWHTyVZ06AyXk3G8CTQO9wCLcBGAsYHQ/s72-c/kessy24.jpg)
MBUNGE KESSY ASEMA RAIS DK.MAGUFULI, ATAKE ASITAKE LAZIMA AONGEZEWE MUDA
![](https://1.bp.blogspot.com/-ltfAP60l5Q4/XuBaXfBg57I/AAAAAAALtRE/05ElMpXks18cWHTyVZ06AyXk3G8CTQO9wCLcBGAsYHQ/s400/kessy24.jpg)
Na Said Mwishehe,Michuzi TVMBUNGE wa Jimbo la Nkasi Ally Kessy(CCM) ameliambia Bunge kuwa kuna kila sababu ya Rais Dk. John Magufuli aongezewe muda wa kuwa Rais huku akisisitiza kuwa Rais atake au asitake lazima aongeze muda.
Amesema yeye(Kessy) amekuwa akipata tabu sana kwani amekuwa akiulizwa na marafiki zake wa ndani na nje ya nchi kwamba baada ya Magufuli nani anafuata lakini jibu lake analowajibu ni kwamba Rais...
11 years ago
Michuzi09 Jul
DIWANI WA TLP LUPINGU ASEMA YEYE SI MPINZANI ,AMFAGILIA MBUNGE FILIKUNJOMBE KWA KASI YA MAENDELEO
Na Francis Godwin Blog.
DIWANI wa chama cha Tanzania Labour Party (TLP) kata ya Lupingu wilaya ya Ludewa mkoani Njombe John Kiowi amempongeza mbunge wa jimbo la Ludewa Deo Filikunjombe kwa jitihada zake anazozifanya katika kuwapelekea maendeleo wananchi wa Ludewa huku akiwashangaa wapinzani wanaopinga jitihada mbali mbali zinazofanywa na serikali ya chama cha Mapinduzi (CCM) na kudai kuwa yeye si mpinzani wa uchwara wa kupinga maendeleo .
Akizungumza na...
10 years ago
Dewji Blog19 Mar
Mbunge Shaimar asema jamii ikielimika vitendo vibaya dhidi ya watu wenye albinism vitapungua
Na Mwandishi Wetu, Dar es Salaam
MBUNGE wa Viti Maalum ambaye pia ni mlemavu wa ngozi (albino), Al -Shaimaa Kweigyir, amekemea vikali...
10 years ago
Michuzi![](http://3.bp.blogspot.com/-6TD3zIHIkFQ/VNCFss0iVLI/AAAAAAAB2zg/nI2uCadFLwA/s72-c/image11.jpeg)
MBUNGE MGIMWA ACHANGIA VICOBA TANANGOZI ,ASEMA NDOTO YAKE KUWA NA BENKI YA WANANCHI WA JIMBO LA KALENGA
![](http://3.bp.blogspot.com/-6TD3zIHIkFQ/VNCFss0iVLI/AAAAAAAB2zg/nI2uCadFLwA/s640/image11.jpeg)
![](http://2.bp.blogspot.com/-qajrAfWYjL8/VNCFoS3PDBI/AAAAAAAB2zY/IaLOl7zSL4s/s640/image1.jpeg)
![](http://4.bp.blogspot.com/-uAoGbbs1uOs/VNCHJ5TRIrI/AAAAAAAB20Y/ZbQVqKhSaRQ/s640/image2.jpeg)
BOFYA HAPA KWA PICHA...
11 years ago
Michuzi![](http://1.bp.blogspot.com/-Eq4lzs9ghSs/U-TInuDlO7I/AAAAAAAF96A/99zIjIxmoOw/s72-c/unnamed.png)
MGOGORO WA ZIWA NYASA: WAKATI WENZETU MALAWI WAKIPAMBANA KWA TEKNOHAMA SISI WATANZANIA BADO TUNAPAMBANA KWA MANENO.
![](http://1.bp.blogspot.com/-Eq4lzs9ghSs/U-TInuDlO7I/AAAAAAAF96A/99zIjIxmoOw/s1600/unnamed.png)
Google Map ni mtandao mkubwa ambo unaonyesha Ramani ya dunia nzima kwa kutumia picha ya satellite na watu wengi hususani watalii hutumia mtandao huu kabla ya kwenda mahali husika . Lakini mtandao huu huitaji watu kujaza taarifa zaidi kama kuonyesha mipaka ya...
Top 10
Tanzania Today
Today Breaking News,Tanzania World News
15-February-2025 in Tanzania