KCMC-KCRI yatumia teknolojia mpya kutambua vimelea vipya
Tangu kuanzishwa kwake mwaka 2009, Taasisi ya Utafiti ya Kilimanjaro (KCRI) ya Shirika la Msamaria Mwema (GSF), iliyopo KCMC, imekuwa ikijenga uwezo wake wa kufanya tafiti ambazo ni kipaumbele kwa taifa.
Mwananchi
Habari Zinazoendana
10 years ago
VijimamboUZINDUZI WA UTARATIBU MPYA WA KUSAJILI NA KUHAKIKI NAMBA ZA SIMU ZA MKONONI KWA TEKNOLOJIA MPYA YA KYC KUPITIA SMARTPHONE LEO JIJINI DAR.
10 years ago
Mwananchi03 Feb
‘Serikali isaidie teknolojia mpya’
11 years ago
Mwananchi27 Feb
Wachina waleta teknolojia mpya
10 years ago
Habarileo25 Apr
Teknolojia mpya 4G LTE yaingia Jijini
WAZIRI wa Mawasiliano, Sayansi na Teknolojia, Profesa Makame Mbarawa amesema Serikali inashirikiana na sekta binafsi, ikiwa ni pamoja na kampuni za simu za mkononi kuhakikisha wananchi wanapata huduma bora ya Teknolojia ya Habari na Mawasiliano (Tehama).
11 years ago
Habarileo19 Oct
Wakulima 2,379 wanufaika na teknolojia mpya
WAKULIMA 2,379 kutoka wilaya tano hapa nchini wamenufaika na elimu ya teknolojia mpya ya matumizi ya mbegu mpya za mahindi na mbaazi pamoja na kulima kwa kutumia kilimo mseto na kilimo hifadhi.
11 years ago
Habarileo30 Sep
Teknolojia mpya ujenzi wa ghorofa yaja
WAKALA wa Majengo Tanzania (TBA) una mpango wa kutumia teknolojia mpya ya kujenga nyumba ya ghorofa kwa siku moja lengo likiwa ni kuisaidia Serikali katika kupunguza uhitaji wa nyumba pamoja na kupunguza gharama za ujenzi.
5 years ago
Michuzi
TAASISI ZATAKIWA KUBUNI TEKNOLOJIA MPYA



10 years ago
Mtanzania13 Aug
Teknolojia mpya ya mimba za ng’ombe yaja Tanzania
Na Mwandishi Wetu, Dar es Salaam
SERIKALI inatarajiwa kujenga maabara ya kisasa ya matumizi ya teknolojia ya vinasaba ya kuboresha mbegu za mimba za ng’ombe (embryo transfer).
Taarifa ya Kurugenzi ya Mawasiliano Ikulu ilisema jana kuwa maabara hiyo ya kisasa itajengwa katika Ranchi ya Mzeli mkoani Tanga na kampuni ya Overland Livestock Multiplication Unit and Embryo Transfer kwa kutumia teknolojia kutoka New Zealand na kwa kushirikiana na Kampuni ya Taifa ya Ranchi...
10 years ago
Habarileo13 Aug
Teknolojia mpya ya mimba za ng’ombe yaja nchini
JITIHADA za Serikali ya Rais Jakaya Kikwete kuleta mageuzi makubwa katika sekta ya mifugo na ufugaji nchini, zimepata msukumo mpya kufuatia uamuzi wa kujengwa kwa maabara ya kisasa kabisa ya matumizi ya teknolojia ya vinasaba ya kuboresha mbegu za mimba za ng’ombe inayojulikana kama embryo transfer.