Kembaki: Nina ufunguo wa maendeleo Tarime
IKIWA haijathibitika wazi kama Jimbo la Tarime, mkoani Mara litagawanywa kuwa majimbo mawili ya uchaguzi kuanzia mwaka huu, makada wa vyama tofauti vya siasa wameendelea kujitokeza kutangaza nia ya kuliongoza.
Kada wa Chama Cha Mapinduzi (CCM), Michael Kembaki, amekuwa mwanasiasa wa 15 kujitokeza kutangaza nia kugombea ubunge jimboni humo mwaka huu.
Licha ya mbunge wa sasa wa Tarime, Nyambari Nyangwine, anayejipanga kutetea kiti hicho, makada wengine wa chama hicho tawala wanaowania...
Raia Tanzania
Habari Zinazoendana
9 years ago
StarTV21 Oct
Anna Mgwila aahidi maendeleo ya uchumi Tarime
MGOMBEA uraisi kwa tiketi ya chama cha ACT wazalendo mama Anna Mgwila amesema kwamba kama wananchi watampatia ridhaa ya kuwaongoza katika kipindi cha miaka mitano ijayo atahakikisha wananchi wa Tarime wananufaika kutokana na wilaya hiyo kuwa na mgodi mkubwa wa kuchimba madini ya dhahabu uliopo Nyamongo .
Mgwila ameyasema hayo katika mIkutano ya kampeni aliyo ifanya katika mji wa nyamongo na Tarime mjini
Mama anna mgwila mgombea uraisi kwa tiketi ya Act wazalendo amesema, kama atapewa...
10 years ago
BBCSwahili28 Oct
Wizi wa magari yasio na ufunguo wazidi
11 years ago
Dewji Blog09 May
“Pampu za solar; ufunguo wa tatizo la ukosefu wa maji”
Mkurugenzi mtendaji wa Davis & Shirtliff Bw. Benjamin Munyao akimuelezea Mr. Nehemia Mchechu Director General wa NHC jinsi pampu ya maji aina ya Lorenzo inavofanya kazi. Pampu hii ya Lorenzo inayoendeshwa kwa kutumia mionzi ya jua ni nzuri kwa watanzania wengi kutokana na urahisi wa gharama za uendeshaji maana haitumii mafuta wala umeme, urahisi wa matengenezo na mengine mengi.
Mkurugenzi mtendaji wa Davis & Shirtliff Bw. Benjamin Munyao akimkabidhi zawadi Mr. Nehemia Mchechu Director...
10 years ago
GPLMFUKO WA MAENDELEO YA JAMII TASAF WAKUTANA NA WADAU WA MAENDELEO JIJINI DSM
10 years ago
Michuzi![](http://4.bp.blogspot.com/-BEZF91u9VOQ/VJqO6viUH1I/AAAAAAAG5f8/Lox9sldAm5E/s72-c/1220-nyota%2Balfajiri.jpg)
Mfuko wa Maendeleo ya Jamii chachu ya Maendeleo Wilaya ya korogwe
![](http://4.bp.blogspot.com/-BEZF91u9VOQ/VJqO6viUH1I/AAAAAAAG5f8/Lox9sldAm5E/s1600/1220-nyota%2Balfajiri.jpg)
![](http://2.bp.blogspot.com/-F_abfF1h3Dc/VJqO7ptSFOI/AAAAAAAG5gE/ELosa9iKgS8/s1600/1239-maafisa%2Bwakiwa%2Bwatatu.jpg)
11 years ago
Michuzi![](http://3.bp.blogspot.com/-b7C-A6W7gvc/UwmwgwdZJtI/AAAAAAAFO0o/0oOZ4S1NkYU/s72-c/unnamed+(8).jpg)
NAIBU WAZIRI WA MAENDELEO YA JAMII AFANYA ZIARA YA KIKAZI KATIKA CHUO CHA MAENDELEO YA WANANCHI MUNGURI, KONDOA- DODOMA
![](http://3.bp.blogspot.com/-b7C-A6W7gvc/UwmwgwdZJtI/AAAAAAAFO0o/0oOZ4S1NkYU/s1600/unnamed+(8).jpg)
Mheshimiwa Dkt. Pindi Chana akiwa katika ziara hii ya Kikazi alipata fursa ya kutembelea miradi mbalimbali inayotekelezwa na Chuo cha Maendeleo ya Wananchi Munguri, kondoa ambacho ni miongoni mwa vyuo 55 vinavyotoa mafunzo ya elimu ya...
10 years ago
MichuziMfuko wa Maendeleo ya Jamii TASAF wakutana na wadau wa Maendeleo jijini DSM kufanya Mapitio ya Mpango wa Kunusuru Kaya Maskini PSSN.
10 years ago
Michuzi![](http://2.bp.blogspot.com/-3VBFmmSqIbU/VDr2r_pvjVI/AAAAAAAGpoU/kazx_JHtPiw/s72-c/unnamed%2B(18).jpg)
BENKI YA KIARABU YA MAENDELEO YA UCHUMI YA AFRIKA ( BADEA)YATOA DOLA ZA KIMAREKANI MILIONI 12.0 (SHILINGI BILIONI 20.1) KUSAIDIA MAENDELEO KATIKA WILAYA YA SAME NA MWANGA