Jobs

Sales Representative

NORTH AMERICA ALIGN WORKERS EMPLOYMENT PROGRAM (NAAWEP)
Deadline: Oct 26, 2105




POPULAR ON YOUTUBE


Kembaki: Nina ufunguo wa maendeleo Tarime

IKIWA haijathibitika wazi kama Jimbo la Tarime, mkoani Mara litagawanywa kuwa majimbo mawili ya uchaguzi kuanzia mwaka huu, makada wa vyama tofauti vya siasa wameendelea kujitokeza kutangaza nia ya kuliongoza.

Kada wa Chama Cha Mapinduzi (CCM), Michael Kembaki, amekuwa mwanasiasa wa 15 kujitokeza kutangaza nia kugombea ubunge jimboni humo mwaka huu.

Licha ya mbunge wa sasa wa Tarime, Nyambari Nyangwine, anayejipanga kutetea kiti hicho, makada wengine wa chama hicho tawala wanaowania...

Raia Tanzania

Read more


Habari Zinazoendana

9 years ago

StarTV

Anna Mgwila aahidi maendeleo ya uchumi Tarime

MGOMBEA uraisi kwa tiketi ya chama cha ACT  wazalendo   mama Anna Mgwila amesema kwamba kama wananchi  watampatia ridhaa ya kuwaongoza katika kipindi cha miaka mitano ijayo atahakikisha wananchi wa Tarime wananufaika kutokana na wilaya hiyo kuwa na mgodi mkubwa wa kuchimba madini ya dhahabu uliopo Nyamongo .

Mgwila ameyasema hayo katika mIkutano ya kampeni aliyo ifanya katika mji wa nyamongo na Tarime mjini

Mama anna mgwila  mgombea uraisi kwa tiketi ya Act wazalendo amesema, kama atapewa...

 

10 years ago

BBCSwahili

Wizi wa magari yasio na ufunguo wazidi

Magenge ya uhalifu yanaendelea kuyalenga magari yasio na funguo.

 

11 years ago

Dewji Blog

“Pampu za solar; ufunguo wa tatizo la ukosefu wa maji”

pix 1

Mkurugenzi mtendaji wa Davis & Shirtliff Bw. Benjamin Munyao akimuelezea Mr. Nehemia Mchechu Director General wa NHC jinsi pampu ya maji aina ya Lorenzo inavofanya kazi. Pampu hii ya Lorenzo inayoendeshwa kwa kutumia mionzi ya jua ni nzuri kwa watanzania wengi kutokana na urahisi wa gharama za uendeshaji maana haitumii mafuta wala umeme, urahisi wa matengenezo na mengine mengi.

pix 3

pix2

Mkurugenzi mtendaji wa Davis & Shirtliff Bw. Benjamin Munyao akimkabidhi zawadi Mr. Nehemia Mchechu Director...

 

10 years ago

GPL

MFUKO WA MAENDELEO YA JAMII TASAF WAKUTANA NA WADAU WA MAENDELEO JIJINI DSM

Mkurugenzi Mtendaji wa TASAF Bw Ladislaus Mwamanga akitoa neno la ukaribisho kwa washiriki wa Mkutano wa pamoja baina ya wadau wa maendeleo,Maafisa wa serikali na watendaji wa TASAF kwenye Ukumbi wa kimataifa wa Mwalimu Nyerere jijini DSM. Katibu Mkuu Ofisi ya Rais Bwana Peter Ilomo akifungua mkutano wa wadau wa Maendeleo,maafisa wa…

 

10 years ago

Michuzi

Mfuko wa Maendeleo ya Jamii chachu ya Maendeleo Wilaya ya korogwe

Afisa Uchumi Mwandamizi kutoka Wizara ya Habari,Vijana,Utamaduni na Michezo,Bw.Yohana Ngao(wa kwanza kulia) akiskiliza maoni kutoka kikundi cha Nyota Alfajiri ambao wameanzisha mradi wa kutengeneza Matofali na kuuza Asali ambapo walichukua mkopo wa shilingi milioni mbili na kurudisha kiasi cha shilingi laki 732,000 wakiwa wamefata taratibu zote za kurudisha mkopo ndani ya mwezi mmoja.Wajumbe wa Kikosi kazi kutoka Wizara ya Habari,Vijana,Utamaduni na Michezo wakiaangalia moja ya mradi wa...

 

11 years ago

Michuzi

NAIBU WAZIRI WA MAENDELEO YA JAMII AFANYA ZIARA YA KIKAZI KATIKA CHUO CHA MAENDELEO YA WANANCHI MUNGURI, KONDOA- DODOMA

Naibu Waziri wa Maendeleo ya Jamii, Jinsia na Watoto, Mhe. Dkt. Pindi Hazara Chana (wa tatu kulia) akipatiwa maelezo wakati akikagua utoaji wa mafunzo katika Chuo cha Maendeleo ya Wananchi Munguri, Kondoa, akiwa ameambatana na Uongozi wa Wilaya ya Kondoa.
Mheshimiwa Dkt. Pindi Chana akiwa katika ziara hii ya Kikazi alipata fursa ya kutembelea miradi mbalimbali inayotekelezwa na Chuo cha Maendeleo ya Wananchi Munguri, kondoa ambacho ni miongoni mwa vyuo 55 vinavyotoa mafunzo ya elimu ya...

 

10 years ago

Michuzi

Mfuko wa Maendeleo ya Jamii TASAF wakutana na wadau wa Maendeleo jijini DSM kufanya Mapitio ya Mpango wa Kunusuru Kaya Maskini PSSN.

Washiriki wa Mkutano wa Wadau wa Maendeleo, maafisa wa serikali na TASAF wakiwa katika picha ya pamoja baada ya ufunguzi wa mkutano huo kwenye ukmbi wa miktrano wa Mwalim Nyerere jijini DSM. Mkurugenzi Mtendaji wa TASAF Bw Ladislaus Mwamanga akitoa neno la ukaribisho kwa washiriki wa Mkutano wa pamoja baina ya wadau wa maendeleo,Maafisa wa serikali na watendaji wa TASAF kwenye Ukumbi wa kimataifa wa Mwalimu Nyerere jijini DSM leo. Katibu Mkuu Ofisi ya Rais Bwana Peter Ilomo akifungua...

 

10 years ago

Michuzi

BENKI YA KIARABU YA MAENDELEO YA UCHUMI YA AFRIKA ( BADEA)YATOA DOLA ZA KIMAREKANI MILIONI 12.0 (SHILINGI BILIONI 20.1) KUSAIDIA MAENDELEO KATIKA WILAYA YA SAME NA MWANGA

Katibu Mkuu wa Wizara ya Fedha na Mlipaji Mkuu wa serikali Dr. Servacius Likwelile, mchana wa leo ametiliana saini makubaliano ya mkataba wa kuanzisha Mradi wa Maji katika Wilaya ya Same na Mwanga mkoani Kilimanjaro..  Dr. Likwelile alisaini Mkataba huo kwa niaba ya Serikali ya Jamhuri ya Muungano wa Tanzania na Benki ya Kiarabu ya Maendeleo ya uchumi ya Afrika. Aliye wakilisha Benki hiyo ni Eng. Yousef I. Al-Bassam ambaye ni Makamu wa Mwenyekiti na Mkurugenzi Msimamizi wa mfuko wa...

 

Share

Magazeti ya Leo

Stay updated, Sign up

Habari za Mikoani