Wizi wa magari yasio na ufunguo wazidi
Magenge ya uhalifu yanaendelea kuyalenga magari yasio na funguo.
BBCSwahili
Habari Zinazoendana
10 years ago
BBCSwahili11 Feb
Magari yasio na dereva kuendeshwa UK
Serikali inataka Uingereza kutambulika ulimwenguni kama kiongozi wa teknolojia ya magari yasiokuwa na dereva.
10 years ago
BBCSwahili14 Feb
Magari yasio na dereva kutumika UK
Magari hayo yamezinduliwa katika maeneo manne nchini Uingereza ambapo serikali inaangazia teknologia hiyo mpya
10 years ago
Vijimambo15 Feb
Wizi wa fedha kupitia mitandao wazidi kuzitesa benki
![](http://www.ippmedia.com/media/picture/large/Benno-14Feb2015.jpg)
Wizi wa fedha kwa njia ya mtandao kupitia mashine maalum za kutolea fedha (ATM) unaendelea kuzitesa benki mbalimbali nchini ambapo kwa sasa wahalifu hao wanahamisha fedha za wateja wakiwa nje ya nchi kwa kutumia kadi za kutolea fedha.
Wizi huo hufanyika kwa kutumia kadi za kutolea fedha zinazoingiliana na benki zingine (smart card) ambazo mteja wa benki anaweza kutolea fedha akiwa popote duniani kupitia ATM.
Chanzo chetu cha habari kimetufahamisha kuwa wezi...
10 years ago
Mwananchi20 Apr
Wizi wa magari ni balaa tupu
Dar es Salaam. Wezi wa vifaa vya magari jijini hapa wameunda mtandao mzito kama vile wana ‘serikali yao’ inayowalazimisha waathirika kuacha kutoa taarifa polisi badala yake kwenda kununua upya vifaa kwa wezi hao.
10 years ago
Habarileo05 Jun
Wakenya 4 mbaroni kwa wizi wa magari
POLISI Mkoa wa Kilimanjaro, inawashikilia wezi wanne wa magari akiwamo mwanamke mmoja wote raia wa Kenya, kwa tuhuma za wizi wa gari na kutaka kulificha nchini Tanzania.
10 years ago
GPL![](http://api.ning.com:80/files/2Tkrz8bmcYigzBIU5UtXa8XhmxA1O0MnZNtqvchgwBeQnZaKEV6fOXoqwhwnkfgMdpMsER-IEMwQ-U1mvRkjOAU-asYMpkqA/mke.jpg?width=650)
MKE WA KIGOGO MBARONI KWA WIZI WA MAGARI
Stori: Na Makongoro Oging’ Nuru Ramadhani Nasibu (pichani), mkazi wa jijini Dar es Salaam aliyekuwa akitafutwa na polisi wa nchini na wa kimataifa (Interpol) kwa kuhusishwa na wizi wa kuaminiwa wa magari matatu mali ya Dk. Emmanuel Matech ametiwa mbaroni. Nuru Ramadhani Nasibu, mkazi wa jijini Dar es Salaam anayetuhumiwa kwa wizi wa magari. Taarifa zilizopatikana ndani ya jeshi hilo juzi zinadai mwanamke huyo alitiwa...
10 years ago
GPLWIZI WA MAFUTA KATIKA FOLENI ZA MAGARI DAR
Vijana wakichukua mafuta toka kwenye lori. …Wakimimina mafuta kwenye madumu.
Madumu ya mafuta yakiwa tayari…
5 years ago
CCM Blog![](https://1.bp.blogspot.com/-SNqeSTe-q28/Xn9Dhgpws-I/AAAAAAAAxR8/9elLBNc5ZpkFKjPQyj38GSRZ0Ilay8ZIQCLcBGAsYHQ/s72-c/matukio%252Bpic.jpg)
POLISI TANZANIA WAKAMATA MAGARI YA WIZI 130 NA PIKIPIKI 193
![](https://1.bp.blogspot.com/-SNqeSTe-q28/Xn9Dhgpws-I/AAAAAAAAxR8/9elLBNc5ZpkFKjPQyj38GSRZ0Ilay8ZIQCLcBGAsYHQ/s640/matukio%252Bpic.jpg)
Akizungumza leo Jumamosi Machi 28, 2020 Mkurugenzi wa Makosa ya Jinai Tanzania (DCI) Robert Boaz amesema wanawahoji watuhumiwa 128 na pindi upelelezi utakapokamilika sheria itachukua mkondo wake.
“Wanunuzi wa magari yaliyotumika ni muhimu kabla ya kununua wajiridhishe muuzaji ni mmiliki halali kwa kutumia polisi kukagua gari hilo na...
5 years ago
Michuzi![](https://1.bp.blogspot.com/-huew_CtEXno/XoYE1Z1cLJI/AAAAAAAC85Y/64VzLVcjhpAXtCwI2UjzMC8CIiF2w9wDACLcBGAsYHQ/s72-c/2.png)
Magari ya kifahari Njombe yashikiliwa na polisi kwa kushtukiwa ni ya wizi
Na Amiri Kilagalila, Njombe
Jeshi la polisi mkoani Njombe limefanikiwa kukamata mtandao wa watu 23 wanaotuhumiwa kujihusisha na wizi wa mali mbalimbali yakiwemo magari matano,pikipiki 23 pamoja na vitu mbalimbali vya ndani zikiwemo tv.
Kaimu kamanda wa polisi mkoa wa Njombe Rashid Ngonyani mbele ya vyombo vya habari amesema ,kukamatwa kwa mali hizo kumekuja baada ya kufanyika kwa oparesheni mbalimbali za mitandao ya wizi.
“tunawashikilia watu 23 kwa makosa mbali mbali,watano kwa wizi wa...
Jeshi la polisi mkoani Njombe limefanikiwa kukamata mtandao wa watu 23 wanaotuhumiwa kujihusisha na wizi wa mali mbalimbali yakiwemo magari matano,pikipiki 23 pamoja na vitu mbalimbali vya ndani zikiwemo tv.
Kaimu kamanda wa polisi mkoa wa Njombe Rashid Ngonyani mbele ya vyombo vya habari amesema ,kukamatwa kwa mali hizo kumekuja baada ya kufanyika kwa oparesheni mbalimbali za mitandao ya wizi.
“tunawashikilia watu 23 kwa makosa mbali mbali,watano kwa wizi wa...
Top 10
Tanzania Today
Today Breaking News,Tanzania World News
15-February-2025 in Tanzania