Kenya yahoji Italia kuhusu Magut
Mkenya Eliud Magut alianguka mara 3 kwa uchovu katika mbizo za Marathon Italia maafisa wa mbio hizo wakichelewa kumsaidia
BBCSwahili
Habari Zinazoendana
5 years ago
Michuzi![](https://1.bp.blogspot.com/-5PAPc2rdqdM/Xm5_KFjNeJI/AAAAAAALjyk/P0fmnsyaLx0eSjEV8wVZT3iYMNyQI9zgwCLcBGAsYHQ/s72-c/4bn0493be18f97u7d2_800C450.jpg)
Rais wa Kenya afuta safari ya Italia kutokana na hofu ya corona
![](https://1.bp.blogspot.com/-5PAPc2rdqdM/Xm5_KFjNeJI/AAAAAAALjyk/P0fmnsyaLx0eSjEV8wVZT3iYMNyQI9zgwCLcBGAsYHQ/s640/4bn0493be18f97u7d2_800C450.jpg)
Kwa mujibu wa Shirika la Afya Duniani, hadi kufikia Machi 14, watu 17,660 walikuwa wameambukizwa kirusi cha corona Italia huku wengine 1,268 wakiwa wamepoteza maisha.
Kwa mujibu wa ripoti katika gazeti la Daily Nation, Wizara ya Mambo ya Nje ya Kenya...
11 years ago
Mwananchi05 May
CCM yahoji Serikali ya Umoja Zanzibar
Mnadhimu wa Baraza la Wawakilishi Zanzibar (BLW), Salmin Awadh Salmin amesema wawakilishi wa CCM wanajiandaa kuwasilisha hoja binafsi kwenye Baraza hilo ili kuwapa nafasi wananchi waulizwe iwapo wanataka kuendelea na Serikali ya Umoja wa Kitaifa (SUK), au la.
11 years ago
Habarileo13 Mar
CCM yahoji helikopta siku ya uchaguzi
CHAMA Cha Mapinduzi (CCM), kimehoji matumizi ya helikopta ya Chama cha Demokrasia na Maendeleo (Chadema), siku ya kupiga kura katika uchaguzi mdogo wa Kalenga, Jumapili ijayo.
10 years ago
Mwananchi09 May
PAC yahoji mkuu wa wilaya kuishi hotelini miezi miwili
Dar es Salaam. Kamati ya Hesabu za Serikali (PAC), imebaini madudu katika taarifa za hesabu za mikoa ya Mara na Tanga kwa mwaka 2013/14, zilizowasilishwa kwenye kikao cha kamati hiyo kilichofanyika jijini hapa.
5 years ago
Michuzi![](https://1.bp.blogspot.com/-h0gO7sjtK70/Xk1H9HusgaI/AAAAAAALeYY/tMHmjKz2xU0hjZN4r-s_ncQXOtGTq0DGwCLcBGAsYHQ/s72-c/index.jpg)
MAHAKAMA YAHOJI UPELELEZI WA KESI YA UHUJUMU UCHUMI INAYOMKABILI OFISA ELIMU KWA UMMA LHRC
Na Karama Kenyunko, Michuzi Globu ya jamii.
MAHAKAMA ya Hakimu Mkazi Kisutu imeutaka upande wa mashtaka katika kesi ya uhujumu uchumi inayomkabili Ofisa Elimu kwa Umma wa Kituo cha Sheria na Haki za Binadamu (LHRC) Tito Magoti (26) na mwenzake kueleza hali ya upelelezi umefikia wapi kama unakwenda mbele au la.
Tito anashtakiwa na mwenzake mbaye ni mtaalamu wa masuala ya Tehama Theodory Gyan (36) ambapo wote kwa pamoja wanakabiliwa na mashtaka ya utakatishaji fedha wa Sh.milioni 17,...
MAHAKAMA ya Hakimu Mkazi Kisutu imeutaka upande wa mashtaka katika kesi ya uhujumu uchumi inayomkabili Ofisa Elimu kwa Umma wa Kituo cha Sheria na Haki za Binadamu (LHRC) Tito Magoti (26) na mwenzake kueleza hali ya upelelezi umefikia wapi kama unakwenda mbele au la.
Tito anashtakiwa na mwenzake mbaye ni mtaalamu wa masuala ya Tehama Theodory Gyan (36) ambapo wote kwa pamoja wanakabiliwa na mashtaka ya utakatishaji fedha wa Sh.milioni 17,...
10 years ago
BBCSwahili14 Jan
Utata kuhusu shahidi wa ICC Kenya
Afisaa mmoja wa polisi nchini Kenya amesema kwamba alama za vidole za mtu aliyeuawa na kutumbukizwa ndani ya mto hazionyeshi kuwa za shahidi wa ICC Meshack Yebei aliyepotea
10 years ago
BBCSwahili11 Jan
Utalii:TZ yailaumu Kenya kuhusu marufuku
Serikali ya Tanzania inatarajiwa kuingilia kati kuhusiana na marafuku iliowekewa magari ya Utalii ya taifa hilo yanayoelekea Kenya
10 years ago
BBCSwahili13 Nov
Hoja kuhusu Pepopunda Kenya yapuuzwa
Umoja wa Mataifa na Shirika la Afya duniani WHO zimepuzilia mbali hoja ya kanisa katoliki nchini Kenya ambalo lilipinga kampeni ya utoaji wa Chanjo ya Pepo Punda nchini humo.
10 years ago
BBCSwahili27 Jan
Mkutano kuhusu Faru weupe Kenya
Mkutano wa kimataifa utakaojadili jinsi ya kukabiliana na biashara haramu ya pembe za wanyama wanaokabiliwa na tishio kubwa la kuangamia unatarajiwa kuanza hii leo.
Top 10
Tanzania Today
Today Breaking News,Tanzania World News
13-February-2025 in Tanzania