KENYA YAWASILISHA RIPOTI YAKE YA USALAMA MTANDAO
![](http://3.bp.blogspot.com/-YREkvAggCQ8/U5qWW_WtHEI/AAAAAAAAAtw/-t2Ah9rjqGU/s72-c/joseph-tiampati.png)
Bwana. Joseph Tiampati
Mashambulio ya mtandao nchini Kenya yamekuwa ni zaidi ya nusu kwa mwaka uliopita, na nchi kupoteza takriban shilingi bilioni 2 (dola milioni 22.8) kwa mwaka, hii ni kwa mujibu wa ripoti ya usalama mtandao ya Kenya ya mwaka huu wa 2014.
Ikiwa ni kipindi muhimu ambapo ripoti za usalama mitandao katika ngazi mbali mbali zinaendelea kuwasilishwa, Kenya nayo imewasilisha ripoti yake ya mwaka 2014 huku ikiwa imeonyesha hofu kuzidi ya ukuaji ma uhalifu katika usalama...
Habari Zinazoendana
11 years ago
Habarileo01 Jun
Rasimu usalama wa mtandao yakamilika
WIZARA ya Mawasiliano, Sayansi na Teknolojia imekamilisha rasimu ya miswada mitatu ya sheria za usalama wa mtandao ili kudhibiti uhalifu katika mitandao.
11 years ago
Ykileo![](http://4.bp.blogspot.com/-ir2Jhb5oZ8Q/U40Ed5VeKrI/AAAAAAAAAms/x5nbAsEEk7k/s72-c/CYBER+LAW.jpg)
RASIMU YA USALAMA WA MTANDAO YAKAMILIKA
![](http://4.bp.blogspot.com/-ir2Jhb5oZ8Q/U40Ed5VeKrI/AAAAAAAAAms/x5nbAsEEk7k/s1600/CYBER+LAW.jpg)
Wakati huo huo takwimu zilizo tolewa na Idara ya upelelezi kupitia kitengo cha kukabiliana na uhalifu mtandao ya nchini Sirilanka zimeonyesha ukuaji wa makosa hayo katika nchi hiyo yameendelea kukukua kwa kasi. Takwimu hizo zinapatikana...
10 years ago
GPL![](http://api.ning.com:80/files/fl5zqutucoeNXaXDkWC*PnGCOPB0bZ*5Ai5ud5l7bcArwjjbA1bKADVfhbjkRUPeJv1Puty9dECc9uvRK75vyK6ncf8bmfTp/OFM3.jpg)
MATUKIO YA UJAMBAZI BENKI; USALAMA BADO NI MDOGO! OFM YAJA NI RIPOTI MAALUM!
9 years ago
Habarileo23 Aug
‘Sheria ya mtandao ipo kulinda usalama na amani’
WAKATI Sheria ya Makosa ya Mtandao ikitarajiwa kuanza kutumika Septemba Mosi, mwaka huu, Watanzania wametakiwa kutambua kuwa serikali haina nia ya kuwahamishia wananchi gerezani bali ni kwa ajili ya usalama wa nchi.
5 years ago
Michuzi![](https://1.bp.blogspot.com/-NY0_pXMwCZs/XqgpndQvHII/AAAAAAAA34Q/1QCq1TFqoqgeAMzy0et4ePVm6Wk5YNK7wCNcBGAsYHQ/s72-c/haki.jpg)
LHRC KUZINDUA RIPOTI YA HAKI ZA BINADAMU TANZANIA 2019 KWA NJIA YA MTANDAO
![](https://1.bp.blogspot.com/-NY0_pXMwCZs/XqgpndQvHII/AAAAAAAA34Q/1QCq1TFqoqgeAMzy0et4ePVm6Wk5YNK7wCNcBGAsYHQ/s640/haki.jpg)
RIPOTI imepangwa kuzinduliwa Jumatano, Aprili 29, 2020 kupitia mtandao wa YouTube (Haki TV), mtandao wa Zoom na mitandao ya Twitter, Facebook na Instagram.
Kwa mujibu wa LHRC, hii ni mara ya kwanza kwa shirika hilo la utetezi wa haki za binadamu hapa nchini kuzindua ripoti kwa njia ya kidigitali tangu walipoanza kuchapisha ripoti hiyo mwaka...
9 years ago
Michuzi![](http://img.youtube.com/vi/CCovpYpU0QE/default.jpg)
10 years ago
Michuzi![](http://4.bp.blogspot.com/-XxhH5g03vv8/VRrEKblJb6I/AAAAAAAHOls/g1T0e3kwuic/s72-c/unnamed%2B(7).jpg)
TANZANIA YAWASILISHA RIPOTI YA KAMATI YA WATALAAM WA FEDHA, UCHUMI, MIPANGO NA USHIRIKIANO WA KIKANDA KATIKA MKUTANO WA MAWAZIRI WA FEDHA, UCHUMI, MIPANGO NA USHIRIKIANO WA KIKANDA WA NCHI WANACHAMA WA AU NA EAC, JIJINI ADDIS ABABA NCHINI ETHIO
![](http://4.bp.blogspot.com/-XxhH5g03vv8/VRrEKblJb6I/AAAAAAAHOls/g1T0e3kwuic/s1600/unnamed%2B(7).jpg)
![](http://1.bp.blogspot.com/-AeIOCOaueNc/VRrEKiMEgOI/AAAAAAAHOlo/IqsGRxrpJ8o/s1600/unnamed%2B(8).jpg)
10 years ago
Ykileo![](http://1.bp.blogspot.com/-gsxy15ydQJc/VJsoGgMkCmI/AAAAAAAABGc/aZ37j5ZcEpY/s72-c/1.jpg)
DIT YAFANYA SEMINA ELEKEZI YA UFAHAMU WA MASWALA YA USALAMA MTANDAO
![](http://1.bp.blogspot.com/-gsxy15ydQJc/VJsoGgMkCmI/AAAAAAAABGc/aZ37j5ZcEpY/s1600/1.jpg)
Swala hili limekua liki imizwa sana na mataifa mbali mbali ili kuhakiki matumizi salama ya mitandao yanakuwepo na hatimae kupunguza wimbi kubwa la uhalifu mtandao unao endelea kukua hivi sasa. Katika kuonyesha umuhimu wa swala hili...
11 years ago
Ykileo![](http://4.bp.blogspot.com/-vMMc9OVyn5o/U0UwMiu8BQI/AAAAAAAAAPY/jRzHOoC3YDA/s72-c/01+Securing-The-Human.jpg)
USALAMA MTANDAO NA NAFASI YA VYOMBO VYA HABARI KATIKA KUTOA ELIMU.
Miongoni mwa jitihada zinaonekana kwa vyombo vya habari na makundi mbali mbali nchini Tanzania kuanza kuona umuhimu wa maswala ya ulinzi...