Rasimu usalama wa mtandao yakamilika
WIZARA ya Mawasiliano, Sayansi na Teknolojia imekamilisha rasimu ya miswada mitatu ya sheria za usalama wa mtandao ili kudhibiti uhalifu katika mitandao.
habarileo
Habari Zinazoendana
11 years ago
Ykileo![](http://4.bp.blogspot.com/-ir2Jhb5oZ8Q/U40Ed5VeKrI/AAAAAAAAAms/x5nbAsEEk7k/s72-c/CYBER+LAW.jpg)
RASIMU YA USALAMA WA MTANDAO YAKAMILIKA
![](http://4.bp.blogspot.com/-ir2Jhb5oZ8Q/U40Ed5VeKrI/AAAAAAAAAms/x5nbAsEEk7k/s1600/CYBER+LAW.jpg)
Wakati huo huo takwimu zilizo tolewa na Idara ya upelelezi kupitia kitengo cha kukabiliana na uhalifu mtandao ya nchini Sirilanka zimeonyesha ukuaji wa makosa hayo katika nchi hiyo yameendelea kukukua kwa kasi. Takwimu hizo zinapatikana...
11 years ago
Mwananchi18 Dec
Rasimu ya pili ya Katiba Mpya yakamilika
Hatimaye Tume ya Mabadiliko ya Katiba chini ya Mwenyekiti wake, Jaji Joseph Warioba imekamilisha kazi ya kuboresha rasimu ya kwanza na kupata rasimu ya pili ya Katiba Mpya tayari kwa hatua nyingine.
9 years ago
Habarileo23 Aug
‘Sheria ya mtandao ipo kulinda usalama na amani’
WAKATI Sheria ya Makosa ya Mtandao ikitarajiwa kuanza kutumika Septemba Mosi, mwaka huu, Watanzania wametakiwa kutambua kuwa serikali haina nia ya kuwahamishia wananchi gerezani bali ni kwa ajili ya usalama wa nchi.
11 years ago
Ykileo![](http://3.bp.blogspot.com/-YREkvAggCQ8/U5qWW_WtHEI/AAAAAAAAAtw/-t2Ah9rjqGU/s72-c/joseph-tiampati.png)
KENYA YAWASILISHA RIPOTI YAKE YA USALAMA MTANDAO
![](http://3.bp.blogspot.com/-YREkvAggCQ8/U5qWW_WtHEI/AAAAAAAAAtw/-t2Ah9rjqGU/s1600/joseph-tiampati.png)
Ikiwa ni kipindi muhimu ambapo ripoti za usalama mitandao katika ngazi mbali mbali zinaendelea kuwasilishwa, Kenya nayo imewasilisha ripoti yake ya mwaka 2014 huku ikiwa imeonyesha hofu kuzidi ya ukuaji ma uhalifu katika usalama...
9 years ago
Michuzi![](http://img.youtube.com/vi/CCovpYpU0QE/default.jpg)
10 years ago
Ykileo![](http://1.bp.blogspot.com/-gsxy15ydQJc/VJsoGgMkCmI/AAAAAAAABGc/aZ37j5ZcEpY/s72-c/1.jpg)
DIT YAFANYA SEMINA ELEKEZI YA UFAHAMU WA MASWALA YA USALAMA MTANDAO
![](http://1.bp.blogspot.com/-gsxy15ydQJc/VJsoGgMkCmI/AAAAAAAABGc/aZ37j5ZcEpY/s1600/1.jpg)
Swala hili limekua liki imizwa sana na mataifa mbali mbali ili kuhakiki matumizi salama ya mitandao yanakuwepo na hatimae kupunguza wimbi kubwa la uhalifu mtandao unao endelea kukua hivi sasa. Katika kuonyesha umuhimu wa swala hili...
11 years ago
Ykileo![](http://4.bp.blogspot.com/-vMMc9OVyn5o/U0UwMiu8BQI/AAAAAAAAAPY/jRzHOoC3YDA/s72-c/01+Securing-The-Human.jpg)
USALAMA MTANDAO NA NAFASI YA VYOMBO VYA HABARI KATIKA KUTOA ELIMU.
Hali ya usalama mtandao ni dhahiri bado jitihada za dhati zinahitajika ili kuweza kuleta mabadiliko na kupata Tanzania salama kimtandao, Afrika na dunia kiujumla. Ili kuleta mabadiliko chanya jukumu la kutoa elimu halipaswi kubaki kwa mtu mmoja au kundii Fulani la watu bali ni lazima kuwe na kuunganisha nguvu ya pamoja kutoka katika kila mtu mmoja mmoja.
Miongoni mwa jitihada zinaonekana kwa vyombo vya habari na makundi mbali mbali nchini Tanzania kuanza kuona umuhimu wa maswala ya ulinzi...
Miongoni mwa jitihada zinaonekana kwa vyombo vya habari na makundi mbali mbali nchini Tanzania kuanza kuona umuhimu wa maswala ya ulinzi...
10 years ago
Ykileo![](http://4.bp.blogspot.com/-o4jnwOAjF1M/VPSRiQRHrmI/AAAAAAAABTQ/6WsDJZIEg2c/s72-c/Narendra%2BModi.jpg)
WAZIRI MKUU INDIA ATAKA SULUHU ZA USALAMA MTANDAO KWA WANA TEHAMA
![](http://4.bp.blogspot.com/-o4jnwOAjF1M/VPSRiQRHrmI/AAAAAAAABTQ/6WsDJZIEg2c/s1600/Narendra%2BModi.jpg)
Waziri mkuu Huyo mhe. Narendra Modi, Ameyazungumza hayo alipokua akizungumza na wana TEHAMA Nasscom, Waziri mkuu huyo alizungumza na kusema dunia nzima imekua ikiangazia macho maswala ya usalama mitandao na...
10 years ago
Michuzi![](http://3.bp.blogspot.com/-SwLvdmcGtzU/VR6mW0nXhwI/AAAAAAAHPHM/I20UdBUNpZU/s72-c/unnamed%2B(2).jpg)
Mtandao wa waandishi kupitia mitandao nchini watoa tamko didi ya muswada wa Sheria ya Makosa ya Mtandao,2015
![](http://3.bp.blogspot.com/-SwLvdmcGtzU/VR6mW0nXhwI/AAAAAAAHPHM/I20UdBUNpZU/s1600/unnamed%2B(2).jpg)
Top 10
Tanzania Today
Today Breaking News,Tanzania World News
13-February-2025 in Tanzania