Kesi ya wakili maarufu yachukua sura mpya
>Kesi ya kutakatisha fedha haramu inayomkabili wakili maarufu jijini hapa, Median Mwale na wenzake watatu, imechukua sura mpya baada ya upande wa utetezi kudai kesi hiyo ilifunguliwa kimakosa kabla ya sheria iliyowashtaki kutungwa.
Mwananchi
Habari Zinazoendana
10 years ago
GPL![](http://api.ning.com:80/files/Z*WFeROO64qPf3IybNE29F9JsAQDwoaR3K78eMG7VQo-tQ8i5gc6pG*ShNYhLdT-MBMgJIFiKnWA*bploNjKjDBY8rSGbEih/kanumba.jpg)
KESI KIFO CHA KANUMBA, SURA MPYA!
10 years ago
Habarileo07 May
Wakili maarufu Arusha mbaroni
WAKILI mwandamizi wa kujitegemea wa jijini hapa, Manase Keenja (53) mkazi wa Kijenge Mwanama, Arusha, anashikiliwa na jeshi la polisi kwa tuhuma za kughushi nyaraka za serikali na kujipatia fedha kwa njia ya udanganyifu zaidi ya Sh milioni 320.
11 years ago
Habarileo19 May
Jalada la wakili maarufu Mwale kupelekwa Mahakama Kuu
HAKIMU Mkazi Mfawidhi wa Mahakama ya Mkoa a Arusha , Devota Kamuzora amekubali ombi walilolitoa mawakili upande wa utetezi katika kesi ya wakili maarufu jijini hapa, Median Mwale ya kutakatisha fedha la jalada hilo kupelekwe Mahakama Kuu ili kuamua kama kesi hiyo ilifunguliwa kimakosa au la.
10 years ago
Mtanzania13 Sep
Wakili wa Mbasha augua, kesi yaahirishwa
![Emmanuel Mbasha](http://mtanzania.co.tz/wp-content/uploads/2014/07/Emmanuel-Mbasha.jpg)
Emmanuel Mbasha
Veronica Romwald na Zainabu Abdillah (MUM), Dar es Salaam
MAHAKAMA ya Wilaya ya Ilala jana imeahirisha kesi ya ubakaji inayomkabili mfanyabiashara na muimbaji wa muziki wa injili, Emmanuel Mbasha hadi Septemba 19, mwaka huu kutokana na wakili anayemtetea, Mathew Kakamba, kuugua shinikizo la damu.
Akizungumza Dar es Salaam jana, Mwendesha Mashitaka wa Polisi na Wakili wa Serikali, Nassoro Katuga, alidai Mahakama ilifikia uamuzi huo baada ya Kakamba kuieleza Mahakama kuwa...
11 years ago
Tanzania Daima01 Aug
Kesi ya wakili Yasinta yapigwa kalenda
MAHAKAMA ya Hakimu Mkazi Kinondoni imeiahirisha kesi inayomkabili Wakili wa Serikali,Yasinta Rwechungura (44), Mkazi wa Boko Njiapanda, jijini Dar es Salaam hadi Agosti 29, mwaka huu kutokana na upelelezi kutokamilika....
11 years ago
BBCSwahili08 Aug
Wakili wa Pistiorius asema kesi imevurugwa
11 years ago
Habarileo30 Apr
Wakili: Kesi ya Mwale ilifunguliwa kimakosa
UPANDE wa utetezi kwenye kesi ya wakili maarufu jijini hapa, Median Mwale na wenzake watatu ya kutakatisha fedha haramu, umedai mashitaka hayo dhidi ya washitakiwa, yalifunguliwa kimakosa kabla ya sheria iliyowashitaki kutungwa.
9 years ago
Mtanzania14 Dec
Jaji amwonya wakili kesi ya Mwalle
NA JANETH MUSHI, ARUSHA
JAJI wa Mahakama Kuu Kanda ya Arusha, Gadi Mjemas anayesikiliza kesi ya utakatishaji fedha inayomkabili Wakili Median Mwalle na wenzake watatu, amemwonya na kumtaka Wakili wa Jamhuri, Pius Hilla, amuulize shahidi wake kuhusu kesi iliyopo mahakamani na si kuuliza juu ya mafunzo.
Jaji Mjemas alitoa kauli hiyo jana mjini hapa wakati akisikiliza ushahidi wa shahidi wa pili wa Jamhuri, Suleiman Nyakulinga, katika kesi inayoendelea kusikilizwa Mahakama Kuu ya Tanzania,...
10 years ago
Mwananchi13 Sep
Wakili kesi ya Mbasha augua, yapigwa tarehe