KESI YAKE NA RUGE, JIDE AHUKUMIWA
![](http://api.ning.com:80/files/QiexpI9hytobXh668EfTnvYcL-Ynveh6ujyimC0ZrJxqRdkahD-f2eIsZAs2baxmF7EO-nF0ZLhdEMNWPkgn9NkRVqbZxKN2/ww.jpg?width=650)
Na Musa Mateja Hatimaye ile kesi ya kudaiwa kuuchafua uongozi wa Clouds Media Group na mkurugenzi wake wa vipindi na uzalishaji, Ruge Mutahaba iliyokuwa ikimkabili staa wa Bongo Fleva, Judith Wambura Mbibo ‘Jide’ imetolewa hukumu ambapo mwanamuziki huyo ameamriwa kutozungumza chochote (amefungwa mdomo) juu ya walalamikaji hao. Mkurugenzi wake wa vipindi na uzalishaji, Ruge Mutahaba. Habari za kuaminika kutoka...
GPL
Habari Zinazoendana
10 years ago
CloudsFM15 Aug
10 years ago
Dewji Blog16 Mar
Mkazi wa Singida aliyeuwa baba yake ahukumiwa kunyongwa hadi kufa
Jengo la Mahakama ya Hakimu Mkazi mjini Singida mahali mahakama kuu inaendelea na vikao vyake.(Picha na Nathaniel Limu).
Na Nathaniel Limu, Singida
Mkulima mkazi wa kijiji cha Damankia kata ya Dungunyi wilaya ya Ikungi mkoani Singida,Silvery Adriano (56), amehukumiwa na mahakama kuu kanda ya Dodoma inayoendelea na vikao vyake mjini hapa,adhabu ya kunyongwa hadi kufa, baada ya kupatikana na hatia ya kumuuwa baba yake mzazi kwa makusudi.
Imedaiwa mahakamani hapo kuwa mshitakiwa Silvery...
10 years ago
Mwananchi02 Sep
Ponda aomba kesi yake isimamishwe
11 years ago
GPL![](http://api.ning.com/files/iC8gEB0kF6mBd7r6*8rSsXekJ*wCwi-bk9AUNlcLhatBnZpnFwCzLv2fq73rgAc5qaguKf20Ho7tClSIM8vg93ZfQThCBOFE/13.gif)
ZITTO KABWE ASHINDA HUKUMU YA KESI YAKE
10 years ago
GPLRUFAA YA PONDA YATUPILIWA MBALI, KESI YAKE YAAHIRISHWA
5 years ago
Michuzi![](https://1.bp.blogspot.com/-6lKj2kH4OhY/XqFZncwl8iI/AAAAAAALn8U/rHz8jrJdTv8JcH7vUFy3b8Fzt6dmOBHGgCLcBGAsYHQ/s72-c/download.jpg)
MWANDISHI AWEKWA KARANTINI, ASHINDWA KUHUDHURIA KESI YAKE
![](https://1.bp.blogspot.com/-6lKj2kH4OhY/XqFZncwl8iI/AAAAAAALn8U/rHz8jrJdTv8JcH7vUFy3b8Fzt6dmOBHGgCLcBGAsYHQ/s640/download.jpg)
Wakili wa serikali, Sylvia Mitanto amedai hayo leo Aprili 23,2020 mbele ya Hakimu Mkazi Mkuu, Thomas Simba wakati kesi hiyo ilipokuja kwa ajili ya kusikilizwa lakini mshitakiwa Idrissa yupo karantini na Lissu hayupo mahakama.
Mbali...
11 years ago
GPLLULU APANDISHWA KIZIMBANI TENA, KESI YAKE YAAHIRISHWA
10 years ago
GPL![](http://api.ning.com/files/iC8gEB0kF6mBd7r6*8rSsXekJ*wCwi-bk9AUNlcLhatBnZpnFwCzLv2fq73rgAc5qaguKf20Ho7tClSIM8vg93ZfQThCBOFE/13.gif)
SINGANO ASHINDA KESI YA KIMKATABA KATI YAKE NA SIMB
11 years ago
GPLSHEIKH PONDA APANDISHWA KIZIMBANI TENA, KESI YAKE YAAHIRISHWA