Jobs

Sales Representative

NORTH AMERICA ALIGN WORKERS EMPLOYMENT PROGRAM (NAAWEP)
Deadline: Oct 26, 2105




POPULAR ON YOUTUBE


Kesi za watoto kupewa kipaumbele

Mahakama imefanya mabadiliko katika kanuni za uendeshaji wa mashauri ya watoto, kwa kuandaa kanuni mpya kwa lengo la kuharakisha usikilizwaji na uamuzi wa kesi zinazowahusu.

Mwananchi

Read more


Habari Zinazoendana

10 years ago

StarTV

Wizara yaagiza ujenzi miundombinu majitaka kupewa kipaumbele

Na Fredy Bakalemwa,

Mbeya.

Wizara ya maji imezitaka mamlaka zote za maji nchini kuweka mipango thabiti ya ujenzi wa miundombinu ya majitaka ili kuhifadhi mazingira.

 

Naibu Waziri wa Maji Amos Makala ameziagiza bodi ya mamlaka za maji kutoa kipaumbele katika kusimamia mipango ya ujenzi wa miundombinu ya maji taka ili maji machafu yanayozalishwa kutoka majumbani, viwandani na maeneo ya biashara yasiwe chanzo cha magonjwa ya mlipuko.

 

Mheshimiwa Makala aliyasema hayo katika ziara mkoani Mbeya...

 

10 years ago

Michuzi

VIJANA Kilimanjaro watakiwa kusimama imara na kudai fursa mbalimbali zikiwamo za kupewa kipaumbele katika ajira zinazotokana na mlima Kilimanjaro

VIJANA wa mkoa wa Kilimanjaro wametakiwa kusimama imara na kudai fursa mbalimbali zikiwamo za kupewa kipaumbele katika ajira zinazotokana na mlima Kilimanjaro.

Kauli hiyo ilitolewa jana jijini na Naibu Kamanda wa Umoja wa Vijana wa Chama Cha Mapinduzi (UVCCM), wilaya ya Moshi Vijijini, Innocent Melleck alipokuwa akizungumza na waandishi wahabari juu ya mkakati wa kupambana na wimbi la vijana walio mitaani kwa kukosa ajira katika mkoa wa Kilimanjaro .  Melleck alisema anatarajia kuitisha...

 

10 years ago

Michuzi

KESI ZA WATU WENYE ULEMAVU WA NGOZI ZITAPEWA KIPAUMBELE - JAJI MKUU

Na Chalila Kibuda,Globu ya Jamii 
Jaji Mkuu Nchini Othman Chande amesema kesi za mauaji kwa watu wenye ulemavu wa ngozi (Albino)zinatakiwa kufanywa kwa ushirikiano katika pande zote ikiwemo mashahidi kujitokeza  kwa wakati kwa watuhumiwa wa mauji hayo.
Jaji Chande ameyasema hayo wakati wa hafla ya kuapishwa Manaibu wa Usajili wa Mahakama Kuu leo jijini,Dar es Salaam,amesema watu wenye ulemavu wa ngozi ni watanzania wenzetu na hakuna anayependa wanavyofanyiwa ukatili huo.
Chande amesema...

 

10 years ago

Uhuru Newspaper

Kesi za albino kupewa umuhimu-Jaji Chande


NA FURAHA OMARY
JAJI Mkuu wa Tanzania, Mohammed Chande, amesema mahakama itazipa kipaumbele kesi za mauaji ya watu wenye ulemavu wa ngozi (albinism) na mauaji ya vikongwe si tu kwa kiwango cha Mahakama Kuu, bali hadi Mahakama ya Rufani.
Amesema mauaji ya watu hao yanagusa kila Mtanzania na ni uhalifu wa hali ya juu na pia kuvunja haki za watu wengine.
Jaji Mkuu Chande aliyasema hayo jana mjini Dar es Salaam, muda mfupi baada ya Jaji Kiongozi Shaaban Lila, kuwaapisha manaibu wasajili 43.
“Mauaji...

 

11 years ago

Habarileo

Wakazi Chamwino walia kupewa kesi bandia

WAKAZI wa Kijiji cha Msanga Halmashauri ya Wilaya ya Chamwino mkoani Dodoma, wamewalalamikia watendaji wa kijiji hicho na kata kwa kuwakamata wananchi, kuwabambikia kesi na kuwatoza faini bila kuwapatia stakabadhi ya malipo.

 

9 years ago

Mwananchi

DPP apinga mtuhumiwa kesi ya Mwamunyange kupewa dhamana

Mkurugenzi wa Mashtaka (DPP), amewasilisha kusudio la kukata rufaa katika Mahakama ya Hakimu Mkazi Kisutu, akipinga uamuzi uliompa dhamana mwanafunzi wa Chuo cha Taasisi ya Teknolojia Tanzania (DIT), Benedict Ngonyani.

 

11 years ago

Tanzania Daima

Watoto 35,000 kupewa chanjo Bunda

ZAIDI ya watoto 35,000 watapatiwa chanjo ya surua na kifua kikuu katika Wilaya ya Bunda, mkoani Mara, katika zoezi lililoanza hivi karibuni baada ya kuzinduliwa katika Wiki ya Chanjo Duniani....

 

10 years ago

Mwananchi

Watoto milioni 21 kupewa chanjo ya surua

Zaidi ya nusu ya wananchi kesho wanatarajiwa kuanza kupatiwa chanjo ya surua na rubella katika vituo vyote vya afya nchini.

 

10 years ago

Tanzania Daima

Asilimia 95 ya watoto kupewa chanjo ya surua na rubella

HALMASHAURI ya Wilaya ya Iringa inatarajia kutoa chanjo ya surua na rubella kwa watoto 111,711 na dawa za matende na mabusha kwa watu wazima 264,076 katika kampeni inayoendelea nchini. Akizungumza...

 

Share

Magazeti ya Leo

Stay updated, Sign up

Habari za Mikoani