Kida Waziri: Nilinyanyapaliwa, niliambiwa Maneti amekufa kwa Ukimwi- 13
Mwanamuziki wa zamani wa Bendi ya Vijana Jazz (Pambamoto), Kida Waziri, anaendelea kusimulia maisha yake baada ya kifo cha aliyekuwa kiongozi wa bendi hiyo, Hemedi Maneti Ulaya (Chiriku).
Mwananchi
Habari Zinazoendana
11 years ago
Michuzi21 Jul
KOMWETA HEMED MANETI A.K.A CHIRIKU WA VIJANA JAZZ AFUATA NYAYO ZA MAREHEMU BABA YAKE HEMEDI MANETI ULAYA


5 years ago
BBCSwahili19 Jun
Jogoo Maurice aliyeshtakiwa kwa kupiga kelele amekufa
10 years ago
TheCitizen03 May
Kida is new ESRF executive director
11 years ago
Habarileo22 May
Waziri aeleza umuhimu wa Ukimwi kwenye mitaala
Serikali ya Mapinduzi ya Zanzibar imesema upo umuhimu wa masuala ya Ukimwi kuingizwa katika mitaala shule za msingi pamoja na vyuo vya madrasat.
10 years ago
Vijimambo06 Apr
MWANACHUO MJAMZITO WA GARISSA, KENYA AJIFANYA AMEKUFA KWA SAA 10 KUNUSURU MAISHA YAKE

Mwananfunzi mmoja Milicent Murungi wa chuo kikuu cha Garissa ambaye ni mjamzito wa miezi 8 amesema ilibidi ajifanye amekufa chuo chao kilipovamiwa na wapiganaji wa Al shabab na kuua wanachuo wasiokua na hatia.
Milicent Murungi akiongea na waandishi wa habari alisema ilibidi ajifanye amekufa kwa saa 10 baada ya wenzake waliokua nao kwenye chumba hicho kuawa na yeye kuchukua damu ya mmoja ya wanafunzi kujipaka kichwani wakati...
9 years ago
Mtanzania30 Nov
Mtoto wa Maneti kutoka kivyake
NA MWANDISHI WETU
ALIYEKUWA mwimbaji wa bendi ya Vijana Jazz, Komweta Maneti, ameendelea kuandaa nyimbo zake kama msanii binafsi ili aendeleze kipaji chake tofauti na kuimba katika bendi.
Komweta amesharekodi nyimbo kadhaa chini ya prodyuza C9 aliyekuwa studio ya Kiri record na sasa anaendelea kuzikamilisha nyimbo hizo zaidi ya tano kwa ajili ya kuanza kuzitoa kwa mashabiki wake kabla ya kuanza maonyesho yake.
“Niliachana na kazi za bendi kwa ajili ya kujiimarisha mwenyewe na sasa naendelea...
10 years ago
Dewji Blog01 May
News Alert: Dr. Tausi Kida new Executive Director of Economic and Social Research Foundation (ESRF)
Dr. Tausi Mbaga Kida.
Press Release Dr Kida_1st_May_2015_FINAL.docx
11 years ago
Mwananchi31 May
Miaka 24 ya kifo cha Hemed Maneti Ulaya
10 years ago
Mtanzania31 Mar
Mtoto wa Maneti kurudia ‘Wifi Zangu’ na ‘Tambiko la Pambamoto’
NA MWANDISHI WETU
MTOTO wa aliyekuwa nguli wa muziki wa dansi nchini, Hemedi Manet (marehemu kwa sasa), Komweta Maneti, anatarajia kukamilisha nyimbo mbili na video zake kuzifanyia Sumbawanga mkoani Rukwa.
Mwanamuziki huyo ambaye anafanyakazi na bendi ya Vijana Jazz, alizitaja nyimbo hizo ambazo ziliwahi kuimbwa na mama yake, Kida Waziri na baba yake, Hemed Manet ni ‘Wifi Zangu’ na ‘Tambiko la Pambamoto’.
“Nyimbo hizi zilifanya vizuri katika muziki wa dansi kipindi hicho, hivyo nimeamua...