Jobs

Sales Representative

NORTH AMERICA ALIGN WORKERS EMPLOYMENT PROGRAM (NAAWEP)
Deadline: Oct 26, 2105




POPULAR ON YOUTUBE


Kida Waziri: Nilinyanyapaliwa, niliambiwa Maneti amekufa kwa Ukimwi- 13

Mwanamuziki wa zamani wa Bendi ya Vijana Jazz (Pambamoto), Kida Waziri, anaendelea kusimulia maisha yake baada ya kifo cha aliyekuwa kiongozi wa bendi hiyo, Hemedi Maneti Ulaya (Chiriku).

Mwananchi

Read more


Habari Zinazoendana

11 years ago

Michuzi

KOMWETA HEMED MANETI A.K.A CHIRIKU WA VIJANA JAZZ AFUATA NYAYO ZA MAREHEMU BABA YAKE HEMEDI MANETI ULAYA

1970462_1454799778083088_1638018053_nKomweta Hemed Maneti a.k.a Chiriku mwanamuziki wa bendiya Vijana Jazz 1486871_1427285270834539_2027172492_nMarehemu Hemedi Maneti Ulaya Chiriku aliyekuwa mwamuziki wa bendi ya Vjana Jazz enzi hizo. ......................................................................................................Komweta Hemed Maneti a.k.a Chiriku ni Mtoto wa mwanamuziki wa zamani marehemu Hemedi Maneti Ulaya Chiriku aliyekuwa akiimba katika bendi ya umoja wa vijana Vijana Jazz enzi hizo ambapo anasema amekuwa kwenye muziki kwa muda mrefu...

 

5 years ago

BBCSwahili

Jogoo Maurice aliyeshtakiwa kwa kupiga kelele amekufa

Jogoo huyo aliyekuwa ana wika kila asubuhi alizua gumzo kwa kupigia kelele mwaka jana.

 

10 years ago

TheCitizen

Kida is new ESRF executive director

>Dr Tausi Mbaga Kida has been named the new Economic and Social Research Foundation (ESRF) Executive Director. The ESRF Board of Trustees made the appointment recently and Dr Kida was scheduled to assumed her new responsibility on Friday.

 

11 years ago

Habarileo

Waziri aeleza umuhimu wa Ukimwi kwenye mitaala

Serikali ya Mapinduzi ya Zanzibar imesema upo umuhimu wa masuala ya Ukimwi kuingizwa katika mitaala shule za msingi pamoja na vyuo vya madrasat.

 

10 years ago

Vijimambo

MWANACHUO MJAMZITO WA GARISSA, KENYA AJIFANYA AMEKUFA KWA SAA 10 KUNUSURU MAISHA YAKE

Mwanachuo Milicent Murugi akiongeaa na wanahabari Picha na Jeff Angote
Mwananfunzi mmoja Milicent Murungi wa chuo kikuu cha Garissa ambaye ni mjamzito wa miezi 8 amesema ilibidi ajifanye amekufa chuo chao kilipovamiwa na wapiganaji wa Al shabab na kuua wanachuo wasiokua na hatia.
Milicent Murungi akiongea na waandishi wa habari alisema ilibidi ajifanye amekufa kwa saa 10 baada ya wenzake waliokua nao kwenye chumba hicho kuawa na yeye kuchukua damu ya mmoja ya wanafunzi kujipaka kichwani wakati...

 

9 years ago

Mtanzania

Mtoto wa Maneti kutoka kivyake

komweta manetiNA MWANDISHI WETU

ALIYEKUWA mwimbaji wa bendi ya Vijana Jazz, Komweta Maneti, ameendelea kuandaa nyimbo zake kama msanii binafsi ili aendeleze kipaji chake tofauti na kuimba katika bendi.

Komweta amesharekodi nyimbo kadhaa chini ya prodyuza C9 aliyekuwa studio ya Kiri record na sasa anaendelea kuzikamilisha nyimbo hizo zaidi ya tano kwa ajili ya kuanza kuzitoa kwa mashabiki wake kabla ya kuanza maonyesho yake.

“Niliachana na kazi za bendi kwa ajili ya kujiimarisha mwenyewe na sasa naendelea...

 

10 years ago

Dewji Blog

News Alert: Dr. Tausi Kida new Executive Director of Economic and Social Research Foundation (ESRF)

IMG_4833

Dr. Tausi Mbaga Kida.

Press Release Dr Kida_1st_May_2015_FINAL.docx 

 

11 years ago

Mwananchi

Miaka 24 ya kifo cha Hemed Maneti Ulaya

“Maria eeeh… Marry...! Sikiliza miziki ya Awamu ya Pili Maria, inavyolalamika juu yako… sina raha Mariaaa wala sitamani kula Maria, kama nasafiri Tanga, Moshi, Arusha Sumbawanga, nakufikiria wewe Mariaaa, sijapenda namna hii toka kuzaliwa, wala sitapenda mpaka siku ya kufaaa… aah aaaah… Mariaaa eeeeh, Adios aaah aaah….”

 

10 years ago

Mtanzania

Mtoto wa Maneti kurudia ‘Wifi Zangu’ na ‘Tambiko la Pambamoto’

Komweta MTOTO WA MANETINA MWANDISHI WETU
MTOTO wa aliyekuwa nguli wa muziki wa dansi nchini, Hemedi Manet (marehemu kwa sasa), Komweta Maneti, anatarajia kukamilisha nyimbo mbili na video zake kuzifanyia Sumbawanga mkoani Rukwa.
Mwanamuziki huyo ambaye anafanyakazi na bendi ya Vijana Jazz, alizitaja nyimbo hizo ambazo ziliwahi kuimbwa na mama yake, Kida Waziri na baba yake, Hemed Manet ni ‘Wifi Zangu’ na ‘Tambiko la Pambamoto’.
“Nyimbo hizi zilifanya vizuri katika muziki wa dansi kipindi hicho, hivyo nimeamua...

 

Share

Magazeti ya Leo

Stay updated, Sign up

Habari za Mikoani