Mtoto wa Maneti kutoka kivyake
NA MWANDISHI WETU
ALIYEKUWA mwimbaji wa bendi ya Vijana Jazz, Komweta Maneti, ameendelea kuandaa nyimbo zake kama msanii binafsi ili aendeleze kipaji chake tofauti na kuimba katika bendi.
Komweta amesharekodi nyimbo kadhaa chini ya prodyuza C9 aliyekuwa studio ya Kiri record na sasa anaendelea kuzikamilisha nyimbo hizo zaidi ya tano kwa ajili ya kuanza kuzitoa kwa mashabiki wake kabla ya kuanza maonyesho yake.
“Niliachana na kazi za bendi kwa ajili ya kujiimarisha mwenyewe na sasa naendelea...
Mtanzania
Habari Zinazoendana
11 years ago
Michuzi21 Jul
KOMWETA HEMED MANETI A.K.A CHIRIKU WA VIJANA JAZZ AFUATA NYAYO ZA MAREHEMU BABA YAKE HEMEDI MANETI ULAYA
![1970462_1454799778083088_1638018053_n](http://www.fullshangweblog.com/wp-content/uploads/2014/07/1970462_1454799778083088_1638018053_n.jpg)
![1486871_1427285270834539_2027172492_n](http://www.fullshangweblog.com/wp-content/uploads/2014/07/1486871_1427285270834539_2027172492_n.jpg)
10 years ago
Mtanzania31 Mar
Mtoto wa Maneti kurudia ‘Wifi Zangu’ na ‘Tambiko la Pambamoto’
NA MWANDISHI WETU
MTOTO wa aliyekuwa nguli wa muziki wa dansi nchini, Hemedi Manet (marehemu kwa sasa), Komweta Maneti, anatarajia kukamilisha nyimbo mbili na video zake kuzifanyia Sumbawanga mkoani Rukwa.
Mwanamuziki huyo ambaye anafanyakazi na bendi ya Vijana Jazz, alizitaja nyimbo hizo ambazo ziliwahi kuimbwa na mama yake, Kida Waziri na baba yake, Hemed Manet ni ‘Wifi Zangu’ na ‘Tambiko la Pambamoto’.
“Nyimbo hizi zilifanya vizuri katika muziki wa dansi kipindi hicho, hivyo nimeamua...
11 years ago
Mwananchi31 May
Miaka 24 ya kifo cha Hemed Maneti Ulaya
10 years ago
Mwananchi06 Sep
Kida Waziri: Nilinyanyapaliwa, niliambiwa Maneti amekufa kwa Ukimwi- 13
11 years ago
GPL![](http://www.fullshangweblog.com/wp-content/uploads/2014/07/1970462_1454799778083088_1638018053_n.jpg)
KOMWETA HEMED MANETI A.K.A CHIRIKU WA VIJANA JAZZ AFUATA NYAYO ZA MAREHEMU BABA YAKE
9 years ago
BBCSwahili30 Oct
Gesi kutoka Israeli yaua mtoto mpalestina
9 years ago
Bongo528 Sep
Angelina Jolie na Brad Pitt kuasili mtoto wa 7 kutoka Syria
11 years ago
Michuzi10 Jun
WATUHUMIWA WA MTOTO ALIYEKUFA KUTOKA KWENYE BOX KIZIMBANI MOROGORO
![](https://ci4.googleusercontent.com/proxy/_v_ybbOJuqsZuGyD5J75QEaOxLEsJggvBprfseaS8J97tbUxP33LqceD85magn3ngYciVc1zJBS400l8VvF3CXnuDbbVuJa0DfFusIYXIAuqRmZeqooStdTSyqOiBdd4kGSPEs8KYuThYTQvaLcjmjWDDITzXuJFwUO2WC83erumJtyMRST4tKLcgk3xeFjYv8XvRAPqqR-T8mNpQlsEJodf1PToOsN-2Z9hpBE1Ut6DUKtRW2Z_sDMnNp-JW8dgNecp9XqYIA2Zg8EPqnxHFST70Ckewom1Bmwyw2RiuURjYadwpqPWY_6zPpAFgkZnT_Mq-uB-trtK=s0-d-e1-ft#https://images-blogger-opensocial.googleusercontent.com/gadgets/proxy?url=http%3A%2F%2F1.bp.blogspot.com%2F-3kqMxdF8TsM%2FU5W2J6iAZhI%2FAAAAAAAAHv8%2FKrgHpGJgjPM%2Fs1600%2F1.jpg&container=blogger&gadget=a&rewriteMime=image%2F*)
![](https://ci4.googleusercontent.com/proxy/lYZum38vfAY4-k1RiTTdAlBy_MMRqwZX7jkBE-B-yTzwvW_5iH8wlfxRFF-nJO3tfE1W-fNPo2UusWIxADddoccSpb3-9AIeZhQhkn17KbyAijNb-pz-rdJLr2WOdOTjpQ15mvaaAVS45DBbAk1hrE_PO1y0BH-DadNpH0oGvvwWjrSiJK1RM2IeLKsR8bDCXj5qAEDLFppITdNelnviXzQpS-T8YeJ9N9a-dKVuby5uOoAmyRnFa11QHHE_OSZkdq0WCB1NXxIaDLcsDrxf5i0uCMAhPVgLHxrxvrvkERICy4RvyNS7HrLZhgTQ2cP63AH1VG-HBirz=s0-d-e1-ft#https://images-blogger-opensocial.googleusercontent.com/gadgets/proxy?url=http%3A%2F%2F4.bp.blogspot.com%2F-tQhKDDOz0OU%2FU5W2InuH9LI%2FAAAAAAAAHvw%2FIlFNksb84Xo%2Fs1600%2F2.jpg&container=blogger&gadget=a&rewriteMime=image%2F*)
11 years ago
Michuzi![](http://1.bp.blogspot.com/-YbAf1KfPZCs/U8aDkUVvQTI/AAAAAAAF2wk/Ij7EiHrpNCU/s72-c/Untitled.png)
Tume ya Haki za Binadamu na utawala Bora yaagana na Mtaalamu wa masuala ya ulinzi wa mtoto kutoka UNICEF
Bi Rachel amekuwa akifanya kazi karibu na Tume katika kipindi chote cha miaka mine (4) aliyokuwa nchini, baadhi ya kazi alizofanya akiwa na Tume ni pamoja na kuratibu kazi...