Mtoto wa Maneti kurudia ‘Wifi Zangu’ na ‘Tambiko la Pambamoto’
NA MWANDISHI WETU
MTOTO wa aliyekuwa nguli wa muziki wa dansi nchini, Hemedi Manet (marehemu kwa sasa), Komweta Maneti, anatarajia kukamilisha nyimbo mbili na video zake kuzifanyia Sumbawanga mkoani Rukwa.
Mwanamuziki huyo ambaye anafanyakazi na bendi ya Vijana Jazz, alizitaja nyimbo hizo ambazo ziliwahi kuimbwa na mama yake, Kida Waziri na baba yake, Hemed Manet ni ‘Wifi Zangu’ na ‘Tambiko la Pambamoto’.
“Nyimbo hizi zilifanya vizuri katika muziki wa dansi kipindi hicho, hivyo nimeamua...
Mtanzania
Habari Zinazoendana
9 years ago
Mtanzania30 Nov
Mtoto wa Maneti kutoka kivyake
NA MWANDISHI WETU
ALIYEKUWA mwimbaji wa bendi ya Vijana Jazz, Komweta Maneti, ameendelea kuandaa nyimbo zake kama msanii binafsi ili aendeleze kipaji chake tofauti na kuimba katika bendi.
Komweta amesharekodi nyimbo kadhaa chini ya prodyuza C9 aliyekuwa studio ya Kiri record na sasa anaendelea kuzikamilisha nyimbo hizo zaidi ya tano kwa ajili ya kuanza kuzitoa kwa mashabiki wake kabla ya kuanza maonyesho yake.
“Niliachana na kazi za bendi kwa ajili ya kujiimarisha mwenyewe na sasa naendelea...
11 years ago
Michuzi21 Jul
KOMWETA HEMED MANETI A.K.A CHIRIKU WA VIJANA JAZZ AFUATA NYAYO ZA MAREHEMU BABA YAKE HEMEDI MANETI ULAYA
![1970462_1454799778083088_1638018053_n](http://www.fullshangweblog.com/wp-content/uploads/2014/07/1970462_1454799778083088_1638018053_n.jpg)
![1486871_1427285270834539_2027172492_n](http://www.fullshangweblog.com/wp-content/uploads/2014/07/1486871_1427285270834539_2027172492_n.jpg)
11 years ago
Mwananchi31 May
Miaka 24 ya kifo cha Hemed Maneti Ulaya
10 years ago
Mwananchi20 Dec
Shimo la tambiko lilivyogeuka ‘jehanamu’ Handeni
10 years ago
Mwananchi17 Feb
Waziri wa JK ataka shule kufanya tambiko
10 years ago
Mwananchi06 Sep
Kida Waziri: Nilinyanyapaliwa, niliambiwa Maneti amekufa kwa Ukimwi- 13
11 years ago
Mwananchi23 Jul
TAMBIKO: DC atoa kafara kuokoa miradi ya umeme, maji
11 years ago
Tanzania Daima31 Dec
Wanafunzi 2,000 wagoma kurudia
WANAFUNZI 2,110 kati ya 3,933 waliotakiwa kurudia kidato cha pili mwaka 2013 baada ya kufeli mtihani wa taifa mwaka jana, wameingia mitini mkoani Pwani. Idadi hiyo ya wanafunzi kutoka katika...
10 years ago
Tanzania Daima09 Dec
Airtel yaja na ‘Wifi ya nyumbani’
KAMPUNI ya simu za mkononi ya Airtel Tanzania imezindua huduma ya kwanza ya kibunifu nchini ijulikanayo kama ‘Home Wifi With Bundle Share’ (Wifi ya nyumbani na kifurushi cha pamoja). Huduma...