Jobs

Sales Representative

NORTH AMERICA ALIGN WORKERS EMPLOYMENT PROGRAM (NAAWEP)
Deadline: Oct 26, 2105




POPULAR ON YOUTUBE


Mtoto wa Maneti kurudia ‘Wifi Zangu’ na ‘Tambiko la Pambamoto’

Komweta MTOTO WA MANETINA MWANDISHI WETU
MTOTO wa aliyekuwa nguli wa muziki wa dansi nchini, Hemedi Manet (marehemu kwa sasa), Komweta Maneti, anatarajia kukamilisha nyimbo mbili na video zake kuzifanyia Sumbawanga mkoani Rukwa.
Mwanamuziki huyo ambaye anafanyakazi na bendi ya Vijana Jazz, alizitaja nyimbo hizo ambazo ziliwahi kuimbwa na mama yake, Kida Waziri na baba yake, Hemed Manet ni ‘Wifi Zangu’ na ‘Tambiko la Pambamoto’.
“Nyimbo hizi zilifanya vizuri katika muziki wa dansi kipindi hicho, hivyo nimeamua...

Mtanzania

Read more


Habari Zinazoendana

9 years ago

Mtanzania

Mtoto wa Maneti kutoka kivyake

komweta manetiNA MWANDISHI WETU

ALIYEKUWA mwimbaji wa bendi ya Vijana Jazz, Komweta Maneti, ameendelea kuandaa nyimbo zake kama msanii binafsi ili aendeleze kipaji chake tofauti na kuimba katika bendi.

Komweta amesharekodi nyimbo kadhaa chini ya prodyuza C9 aliyekuwa studio ya Kiri record na sasa anaendelea kuzikamilisha nyimbo hizo zaidi ya tano kwa ajili ya kuanza kuzitoa kwa mashabiki wake kabla ya kuanza maonyesho yake.

“Niliachana na kazi za bendi kwa ajili ya kujiimarisha mwenyewe na sasa naendelea...

 

11 years ago

Michuzi

KOMWETA HEMED MANETI A.K.A CHIRIKU WA VIJANA JAZZ AFUATA NYAYO ZA MAREHEMU BABA YAKE HEMEDI MANETI ULAYA

1970462_1454799778083088_1638018053_nKomweta Hemed Maneti a.k.a Chiriku mwanamuziki wa bendiya Vijana Jazz 1486871_1427285270834539_2027172492_nMarehemu Hemedi Maneti Ulaya Chiriku aliyekuwa mwamuziki wa bendi ya Vjana Jazz enzi hizo. ......................................................................................................Komweta Hemed Maneti a.k.a Chiriku ni Mtoto wa mwanamuziki wa zamani marehemu Hemedi Maneti Ulaya Chiriku aliyekuwa akiimba katika bendi ya umoja wa vijana Vijana Jazz enzi hizo ambapo anasema amekuwa kwenye muziki kwa muda mrefu...

 

11 years ago

Mwananchi

Miaka 24 ya kifo cha Hemed Maneti Ulaya

“Maria eeeh… Marry...! Sikiliza miziki ya Awamu ya Pili Maria, inavyolalamika juu yako… sina raha Mariaaa wala sitamani kula Maria, kama nasafiri Tanga, Moshi, Arusha Sumbawanga, nakufikiria wewe Mariaaa, sijapenda namna hii toka kuzaliwa, wala sitapenda mpaka siku ya kufaaa… aah aaaah… Mariaaa eeeeh, Adios aaah aaah….”

 

10 years ago

Mwananchi

Shimo la tambiko lilivyogeuka ‘jehanamu’ Handeni

“Ama kweli hujafa hujaumbika,” walisema walimwengu wakiwa na maana kubwa kwamba tangu kuzaliwa hadi kufa hupitia au kukumbwa na mabadiliko mbalimbali, lakini litakavyotokea au lini ni siri ya Mungu pekee.

 

10 years ago

Mwananchi

Waziri wa JK ataka shule kufanya tambiko

Mpwapwa. Ingawa Serikali ya Tanzania haiamini katika ushirikina wala matambiko, kuna watu mbalimbali na jamii tofauti zinaamini katika mambo hayo.

 

10 years ago

Mwananchi

Kida Waziri: Nilinyanyapaliwa, niliambiwa Maneti amekufa kwa Ukimwi- 13

Mwanamuziki wa zamani wa Bendi ya Vijana Jazz (Pambamoto), Kida Waziri, anaendelea kusimulia maisha yake baada ya kifo cha aliyekuwa kiongozi wa bendi hiyo, Hemedi Maneti Ulaya (Chiriku).

 

11 years ago

Mwananchi

TAMBIKO: DC atoa kafara kuokoa miradi ya umeme, maji

>Mkuu wa Wilaya ya Chemba, mkoani Dodoma Francis Mtinga amelazimika kuwapa wazee wa kimila kondoo wawili kwa ajili ya tambiko la kuwaondoa nyoka wanaodaiwa kuzuia miradi ya maendeleo.

 

11 years ago

Tanzania Daima

Wanafunzi 2,000 wagoma kurudia

WANAFUNZI 2,110 kati ya 3,933 waliotakiwa kurudia kidato cha pili mwaka 2013 baada ya kufeli mtihani wa taifa mwaka jana, wameingia mitini mkoani Pwani. Idadi hiyo ya wanafunzi kutoka katika...

 

10 years ago

Tanzania Daima

Airtel yaja na ‘Wifi ya nyumbani’

KAMPUNI ya simu za mkononi ya Airtel Tanzania imezindua huduma ya kwanza ya kibunifu nchini ijulikanayo kama ‘Home Wifi With Bundle Share’ (Wifi ya nyumbani na kifurushi cha pamoja). Huduma...

 

Share

Magazeti ya Leo

Stay updated, Sign up

Habari za Mikoani