Jobs

Sales Representative

NORTH AMERICA ALIGN WORKERS EMPLOYMENT PROGRAM (NAAWEP)
Deadline: Oct 26, 2105




POPULAR ON YOUTUBE


Jogoo Maurice aliyeshtakiwa kwa kupiga kelele amekufa

Jogoo huyo aliyekuwa ana wika kila asubuhi alizua gumzo kwa kupigia kelele mwaka jana.

BBCSwahili

Read more


Habari Zinazoendana

5 years ago

Michuzi

BAADA YA MIAKA 30 WOTE TUPIGE KELELE KWA LIVERPOOL YAKEE

BAADA YA MIAKA 30 WOTE TUPIGE KELELE KWA LIVERPOOL YAKEE

Charles James, Michuzi TV

NI kama Ndoto! Wale wote waliokua wanatusimanga, wanatuponda na kutukejeli leo wametupost kwenye status za WhatsApp na mitandao mingine ya kijamii wakitupongeza.

Kwenye Radio na Televisheni, Magazeti na Mitandaoni stori ni moja tu mjinii, Liverpool ndio Mabingwa wapya wa Ligi Kuu ya England.

Subirio la miaka 30 limetimia, kiu yetu ya kubeba taji la England imekatika. Hakuna mwenye uthubutu wa kutukejeli tena "...

 

11 years ago

Mwananchi

Kida Waziri: Nilinyanyapaliwa, niliambiwa Maneti amekufa kwa Ukimwi- 13

Mwanamuziki wa zamani wa Bendi ya Vijana Jazz (Pambamoto), Kida Waziri, anaendelea kusimulia maisha yake baada ya kifo cha aliyekuwa kiongozi wa bendi hiyo, Hemedi Maneti Ulaya (Chiriku).

 

10 years ago

Vijimambo

MWANACHUO MJAMZITO WA GARISSA, KENYA AJIFANYA AMEKUFA KWA SAA 10 KUNUSURU MAISHA YAKE

Mwanachuo Milicent Murugi akiongeaa na wanahabari Picha na Jeff Angote
Mwananfunzi mmoja Milicent Murungi wa chuo kikuu cha Garissa ambaye ni mjamzito wa miezi 8 amesema ilibidi ajifanye amekufa chuo chao kilipovamiwa na wapiganaji wa Al shabab na kuua wanachuo wasiokua na hatia.
Milicent Murungi akiongea na waandishi wa habari alisema ilibidi ajifanye amekufa kwa saa 10 baada ya wenzake waliokua nao kwenye chumba hicho kuawa na yeye kuchukua damu ya mmoja ya wanafunzi kujipaka kichwani wakati...

 

10 years ago

Mwananchi

Pazi, Jogoo jino kwa jino leo

Ligi ya mpira wa kikapu Mkoa wa Dar es Salaam (RBA) inaendelea leo kwa Pazi kuikabili Jogoo na Chui kuonyeshana kazi na Oilers.

 

11 years ago

Habarileo

Kelele za baa, klabu kudhibitiwa

OFISI ya Makamu wa Rais (Mazingira), imetunga kanuni ya kudhibiti kelele na mitetemo kutoka kwa waendeshaji wa klabu za usiku, baa, matangazo ya wanaozunguka barabarani na hata mahubiri katika maeneo ya ibada.

 

11 years ago

GPL

ATEMBEA AKIPIGA KELELE KARIAKOO

Mwanamke huyo akiwa na boksi, huku akila wakati akikatiza mitaa ya Kariakoo (Pembeni ni wapita njia).
Akiwa kabeba boksi, juu lina  samaki wadogo, kitunguu na kipande cha chungwa.
Hapa akikatiza mitaani …

 

11 years ago

Habarileo

Nape- Wapinzani acheni kelele

KATIBU wa Itikadi na Uenezi wa CCM, Nape Nnauye ametaka vyama vya upinzani kuacha kupiga kelele na kuandamanisha watu na badala yake wakutane kwenye uchaguzi wa Serikali za Mitaa ujao.

 

10 years ago

Michuzi

ONYESHA UZALENDO KWA KUPIGA KURA KWA KINARA WA UHAMASISHAJI WA AFYA YA MAMA NA MTOTO ROSE MWALONGO


 Sijambo la ajabu kwa wasomaji wa habari za kila siku kujikuta wakichagua baadhi ya kurasa au kutilia maanani zaidi habari za aina fulani, na hapa ina maana kuwa kuna vichwa vya habari vitakavyo wavuta kusoma habari yake mwanzo hadi mwisho.Harakati za kutetea haki za watoto na wanawake ndio eneo langu. Ndio maana habari hii haikunipita, habari iliyoandikwa kwenye habari iliyoandikwa kwenye gazeti la the Guardian,  na nitaandika sehemu ya habari hii ili nanyi msome:“’Nilipokuwa mdogo sana...

 

11 years ago

BBCSwahili

Jogoo wa langalanga bado mahututi

Mwezi mmoja baada ya kujeruhiwa katika ajali ya mchezo wa kuteleza kwenye barafu, Michael Schumacher bado 'amezirai.'

 

Share

Magazeti ya Leo

Stay updated, Sign up

Habari za Mikoani