Kidum abatizwa kutanua muziki wake
BUJUMBURA, BURUNDI
MSANII aliyefanya vizuri na wimbo wa ‘Mulika Mwizi’, Jeamn Pierre ‘Kidu’, amebatizwa mwishoni mwa wiki iliopita huku akilenga kuongeza mashabiki wa muziki wake kwa upande wa muziki wa dini.
Msanii huyo ameamua kuchukua hatua hiyo ili kuteka idadi kubwa ya mashabiki kwa kuwa ataanza kufanya muziki wa dini, huku akiendelea na muziki wake wa kawaida.
“Hii ni sehemu mojawapo ya kuzidi kuongeza mashabiki wa muziki wangu, nitaanza kufanya muziki wa injili, lakini bado...
Mtanzania
Habari Zinazoendana
9 years ago
Bongo527 Oct
Adele akiri kuwa mtoto wake si shabiki wa muziki wake
10 years ago
Michuzi![](http://4.bp.blogspot.com/-za1tIidjwYE/U_X4kM4ApvI/AAAAAAAGBL4/YJBsweOq97A/s72-c/IMG-20140821-WA0003.jpg)
Flightlink waendelea kutanua mbawa,waleta ndege nyingine
![](http://4.bp.blogspot.com/-za1tIidjwYE/U_X4kM4ApvI/AAAAAAAGBL4/YJBsweOq97A/s1600/IMG-20140821-WA0003.jpg)
![](http://2.bp.blogspot.com/-aNRsbWjY17c/U_X4lXrXCJI/AAAAAAAGBL8/5HIHuoH7fpo/s1600/IMG-20140821-WA0004.jpg)
9 years ago
Bongo529 Dec
Q-Chief apewa darasa na Master J kuhusu muziki wake
![Q Chief](http://www.bongo5.com/wp-content/uploads/2015/12/Q-Chief-300x194.jpg)
Q-Chief amesema hivi karibuni alikutana na mtayarishaji mkongwe wa muziki nchini Master J aliyemkalisha kitako kumpa darasa kuhusu muziki wake.
Muimbaji huyo aliyeachia wimbo ‘Mkungu wa Ndizi’ akiwa na TID hivi karibuni, ameiambia Bongo5 kuwa ujumbe aliopewa na Master J umemfanya aongeze mapambano zaidi.
“Nimekutana na Master J, na alichoniambia nisimame pale ambako nakusudia kusimama kwa sababu mimi nimepigana sana kurudi hapa nilipo sasa na mashabiki wamepokea Mkungu wa Ndizi na kuufanya...
10 years ago
Michuzi![](http://1.bp.blogspot.com/-eFGSspYNeP8/VDvatgElisI/AAAAAAAGp0A/D0mUJMlGoNY/s72-c/c91UHRGs.jpeg)
VODACOM KUWAPATIA WATEJA WAKE MUZIKI WA KIDIGITALI KUTOKA DEEZER
![](http://1.bp.blogspot.com/-eFGSspYNeP8/VDvatgElisI/AAAAAAAGp0A/D0mUJMlGoNY/s1600/c91UHRGs.jpeg)
Deezer ni kampuni kubwa ya kuuza muziki kwa njia ya kidigitali nchini Afrika ya kusini.Katika kusherehekea ushirikiano huu na Vodacom wateja wapatao 17 milioni wa Vodacom watajipatia offer ya kipindi cha mwezi mmoja ya kupakua bure muziki wa...
11 years ago
GPL![](http://api.ning.com:80/files/8pnqwPqNt2N4gjkMG2EF51TnAjvt8y1UFsH4qsGrJsAaV6dZ*hBdMbPW02ruJp-7Ht6JK8ulmFa5yeW80jJOzILB2YVmJYpM/wadauwakiwakwenyeredcarpet.jpg?width=650)
ASIA IDALOUS: MUZIKI WA MWAMBAO ASILIA UNA MGUSO WAKE
11 years ago
Tanzania Daima21 Apr
Asia Idarous: Muziki wa mwambao asilia una mguso wake
MWANAMITINDO mkongwe na mdau wa muziki wa mwambao asilia, Asia Idarous Khamsin, amesema muziki huo una mguso wake hivyo jamii inatakiwa kuupokea na kuuenzi. Asia ambaye pia ni Mkurugenzi wa...
10 years ago
CloudsFM14 Jan
TUNDA MAN ABADILISHA MUZIKI WAKE KWA KUPIGA BAND
Msanii wa Bongo Fleva,Tunda Man ameamua kuubadilisha muziki wake na kufungua bendi yake na kutumbuiza live kwenye majukwaa ili kuwateka zaidi mashabiki wake.
Tunda Man amekuwa akipiga sana project zake binafsi hali ambayo baadhi ya mashabiki wa kundi la Tip Top kuhisi labda kajitoa kwenye kundi hilo.
10 years ago
Michuzi![](http://2.bp.blogspot.com/-IKi8isBA5VM/VC6PaoxAN7I/AAAAAAAGniA/Dv6IYFWTiP4/s72-c/DSCF9215.jpg)
EFM kukutana na wasikilizaji wake kupitia Tamasha la Muziki Mnene
![](http://2.bp.blogspot.com/-IKi8isBA5VM/VC6PaoxAN7I/AAAAAAAGniA/Dv6IYFWTiP4/s1600/DSCF9215.jpg)