Jobs

Sales Representative

NORTH AMERICA ALIGN WORKERS EMPLOYMENT PROGRAM (NAAWEP)
Deadline: Oct 26, 2105




POPULAR ON YOUTUBE


Q-Chief apewa darasa na Master J kuhusu muziki wake

Q Chief

Q-Chief amesema hivi karibuni alikutana na mtayarishaji mkongwe wa muziki nchini Master J aliyemkalisha kitako kumpa darasa kuhusu muziki wake.

Q Chief

Muimbaji huyo aliyeachia wimbo ‘Mkungu wa Ndizi’ akiwa na TID hivi karibuni, ameiambia Bongo5 kuwa ujumbe aliopewa na Master J umemfanya aongeze mapambano zaidi.

“Nimekutana na Master J, na alichoniambia nisimame pale ambako nakusudia kusimama kwa sababu mimi nimepigana sana kurudi hapa nilipo sasa na mashabiki wamepokea Mkungu wa Ndizi na kuufanya...

Bongo5

Read more


Habari Zinazoendana

11 years ago

GPL

SHILOLE APEWA DARASA LA WOKOVU

Stori: imelda mtema
STAA wa mduara Bongo, Zuwena Mohamed ‘Shilole’ amenaswa jukwaani akifanya shoo ya kidunia na kupewa darasa la wokovu. Zuwena Mohamed ‘Shilole’(kulia) na Mchungaji. Tukio hilo lililowagusa wengi, lilitokea juzikati katika Ukumbi wa Diamond Jubilee, jijini Dar ambapo mchungaji huyo ambaye hakupenda kujitambulisha jina lake, alifuatilia shoo ya Shilole kisha akamwita kumpa darasa la...

 

9 years ago

Bongo5

Kama unapata hela huna budi kuwekeza kwenye muziki wako – Master J

MasterJ

Mtayarishaji mkongwe wa muziki na mwanzilishi wa MJ Records, Master J, amesema muziki wa Tanzania ulipofika ni wakati wa wasanii kujitambua na kwendana na wakati kuanzia kazi zao hadi muonekano kwa watu.

MasterJ

Akizungumza katika kipindi cha Planet Bongo cha East Africa Radio wiki iliyopita, Master J alisema ni vizuri msanii awe na timu itakayomsaidia kuboresha muziki wake.

“Unajua kama msanii ukishafika level fulani kwenye jamii au soko lolote, kwenye macho ya watu umekuwa kama brand tuseme,...

 

11 years ago

GPL

CHAKU MASTER KUTOA VIDEO YA WIMBO WAKE

Msanii wa chipukizi wa Bongo Fleva aliyewahi kushiriki mashindano ya The Mic King. Msanii wa chipukizi wa Bongo Fleva aliyewahi kushiriki mashindano ya The Mic King yaliyodhaminiwa na kampuni ya Global Publishers, Athman Mohamed ‘Chaku Master,’ anatarajia kutoa video ya wimbo wake mpya alioshirikisha Mr.Blue. Akiongea na mwandishi wetu Chaku Master alisema kuwa video ya wimbo huo alioupa jina la ‘kanuni ya...

 

9 years ago

Bongo5

Muziki wangu utapata thamani zaidi nikifa – Q-Chief

Chilla

Mkali wa ‘For You’, Q-Chief, amesema kuwa hata kama akifa leo muziki wake utapanda thamani mara dufu kutokana na nyimbo zake kuwa nzuri.

Chilla

Muimbaji huyo amekiambia kipindi cha Planet Bongo cha East Africa Radio, kuwa uwezo wake wa kutunga nyimbo za kuishi muda mrefu utawafanya wanae waishi maisha mazuri baadaye.

“Mimi sikupiga muziki ambao ni bubble gum, mimi nimepiga muziki unaoishi kuliko maisha yangu. Nikifa leo value yangu inakuwa mara tatu ya mimi kuwa hai, and therefore unaweza hata...

 

9 years ago

Bongo5

Q-Chief ataja kitu kinachomuumiza zaidi kwenye muziki

Q-Chief amesema katika maisha yake ya muziki aliumizwa zaidi na kushindwa kusamehewa na watu aliowakosea kuliko kupotea kwenye muziki. Muimbaji huyo ambaye hujulikana pia kwa jina la Q- Chillah, ameiambia Bongo5 kuwa hali hiyo imekuwa sehemu ya kurudi nyuma katika muziki. “Mimi kiukweli sikuwahi kukata tamaa kwa sababu uwezo wangu nautambua na nina kipaji. Isipokuwa […]

 

5 years ago

Bongo5

Safari ya muziki wangu imejaa maumivu na vilio – Q Chief

Muimbaji mkongwe wa muziki Q Chief amesema show yake ya ‘Miaka 15 ya Q Chief’ katika muziki inayotarajia kufanyika April 30 katika ukumbi wa Next Door, Masaki, jijini Dar es salaam itakuwa ni show ambayo itabeba mambo mengi yakumtoa machozi kutokana na changamoto alizozipitia katika maisha ya muziki.

Akiongea na Bongo5, Q Chief amesema atatumia show hiyo kumtambulisha mama watoto wake kama miongoni mwa watu waliompigania katika nyakati zote.

“Show hii itakuwa ni burudani lakini pia naweza...

 

9 years ago

Bongo5

Adele akiri kuwa mtoto wake si shabiki wa muziki wake

Licha ya muziki wake kupendwa na idadi kubwa ya mashabiki mbalimbali duniani, mwanamuziki wa Uingereza, Adele amekiri kuwa mtoto wake wa kiume si shabiki wa muziki wake. Akiwa kwenye mahojiano na BBC Radio 2, Adele aliulizwa kama huwa anamwimbia mtoto wake wa miaka mitatu aitwaye Angelo, alijibu kuwa hua anamwiambia lakini hapendi nyimbo zake. Mshindi […]

 

9 years ago

Bongo5

Kuna siasa nyingi sana nyuma ya huu muziki – Q-Chief

Chilla

Mwimbaji wa Bongo Fleva, Q-Chilla amesema kuwa muziki wa Bongo umetawaliwa na siasa nyingi, kitendo kinachosababisha wengi wao kushindwa kufanikiwa.

Chilla

“Kuna politics nyingi sana nyuma ya huu muziki, siasa ambazo kwa namna moja au nyingine zinawademoralize wasanii,” alisema Q-Chief kupitia Planet Bongo ya East Africa Radio. “kwa sababu watu wana talent zao, watu wana vision zao lakini wamewekewa limitation ya vile vitu wanakusudia kuvifanya, kwa hiyo we ukiona wanaweka bariers nyingi you...

 

Share

Magazeti ya Leo

Stay updated, Sign up

Habari za Mikoani