Jobs

Sales Representative

NORTH AMERICA ALIGN WORKERS EMPLOYMENT PROGRAM (NAAWEP)
Deadline: Oct 26, 2105




POPULAR ON YOUTUBE


Kigugumizi cha nini IPTL

MOJA ya habari kubwa kwenye Gazeti hili jana ilihusu hatua ya Mdhibiti na Mkaguzi Mkuu wa Hesabu za Serikali (CAG), kutaka aongezewe muda kukamilisha uchunguzi wa kashfa hiyo. Hatua hiyo...

Tanzania daima

Read more


Habari Zinazoendana

11 years ago

Mwananchi

Kigugumizi cha nini Uchaguzi Serikali za Mitaa?

Tunashangazwa na Serikali kuendelea kushikwa na kigugumizi linapokuja suala la kutaja tarehe ya kufanyika kwa Uchaguzi wa Serikali za Mitaa. Kwa kawaida uchaguzi huo hufanyika Septemba kila mwaka wa uchaguzi, kwa maana ya mara moja kila baada ya miaka mitano. 

 

11 years ago

Michuzi

IPTL yapiga jeki ujenzi wa kituo cha polisi cha Mbweni- Malindi

 Meneja Mkuu wa Utawala na Rasilimali wa Jeshi la Polisi la Tanzania, Kamishna wa Polisi Thobias Andengenye (kulia) akifurahia jambo na Mwenyekiti Mtendaji wa kampuni ya Independent Power Tanzania Limited (IPTL), Bw. Harbinder Sethi (kushoto), wakati akipokea hundi ya shilingi milioni 10 iliyotolewa na IPTL kuchangia ujenzi wa kituo cha Polisi cha Mbweni-Malindi. Katikati ni Kamanda wa Polisi Kanda Maalum la kipolisi Dar es Salaam, Kamishna wa Polisi, Suleiman Kova. Meneja Mkuu wa Utawala...

 

11 years ago

Tanzania Daima

Nishati na Madini wapata kigugumizi

WAWAKILISHI wa Katibu Mkuu wa Wizara ya Nishati na Madini, Eliakim Maswi, jana walijikoroga mbele ya Kamati ya Usuluhishi ya Baraza la Habari Tanzania (MCT), na hivyo kusababisha shauri lao...

 

11 years ago

GPL

LULU KIGUGUMIZI KANUMBA DAY

Na Mayasa Mariwata
STAA wa sinema za Kibongo Elizabeth Michael ‘Lulu’ amesema anapata wakati mgumu sana kufikiria kitu gani spesho atakachokifanya siku ya kumkumbuka aliyekuwa mwandani wake, marehemu Steven Kanumba Aprili 7, mwaka huu katika Ukumbi wa Dar Live, Mbagala-Zakhem jijini Dar. Staa wa sinema za Kibongo, Elizabeth Michael ‘Lulu’ Akipiga stori na paparazi wetu, Lulu alisema siku hiyo ni siku...

 

10 years ago

Mtanzania

Serikali yapata kigugumizi sekondari kufungwa

Jumanne-SaginiNa Veronica Romwald, Dar es Salaam
SERIKALI imeshindwa kuweka wazi kufungwa kwa shule zake za sekondari kutokana na ukosefu wa chakula unaozikabili.
Badala yake imewatupia lawama wakuu wa shule zilizoamua kuwarudisha wanafunzi makwao kutokana na kukosa chakula cha kuwalisha.
Baadhi ya shule za sekondari nchini hivi karibuni zilifungwa kutokana na kukabiliwa na uhaba wa chakula baada ya wazabuni kugoma kuwasambazia chakula kwa sababu hawajalipwa fedha zao kwa muda mrefu.
Akizungumza na...

 

11 years ago

GPL

MAYA APATA KIGUGUMIZI NDOA YAKE

Stori: Imelda Mtema
MKONGWE kwenye kilinge cha filamu Bongo, Mayasa Mrisho ‘Maya’, amepata kigugumizi cha ghafla kuzungumzia ndoa yake ambayo maandalizi yake ya awali yaliwahi kufanyika. Mkongwe kwenye kilinge cha filamu Bongo, Mayasa Mrisho ‘Maya’. Akizungumza na mwandishi wetu baada ya kuulizwa kuhusiana na ndoa hiyo iliyokuwa ifanyike mwaka juzi, Maya alishindwa kuzungumzia jinsi ilivyoyeyuka na...

 

10 years ago

GPL

UNATAFUTA MCHUMBA? NINI CHA KUFANYA?

KWENYE dunia ya leo kila mtu aliyekamilika anahitaji mchumba. Uchumba ni hatua muhimu ya kuelekea kwenye ndoa. Huwezi kuingia kwenye ndoa bila kupitia katika safari ya uchumba. Safari hii inahitaji umakini wa hali ya juu maana ukikosea, safari ya kuelekea kwenye ndoa itakuwa na matatizo kwako. Hiyo ndiyo sababu ya leo kukuletea mada hii ili wewe msomaji wangu upate kuelimika. Lazima tutambue kwamba, safari ya uchumba inaanza kwa...

 

10 years ago

Vijimambo

KIFO CHA MTOI NINI KILITOKEA

Aliyekuwa mgombea ubunge wa Jimbo la Lushoto mkoani Tanga, Mohamed Mtoi.
Mwenyekiti wa Chama Cha Demokrasia na Maendeleo (Chadema), Freeman Mbowe, pamoja na makada wengine wa chama hicho, wanatarajiwa kuhudhuria mazishi ya aliyekuwa mgombea ubunge wa Jimbo la Lushoto mkoani Tanga, Mohamed Mtoi (39), aliyefariki dunia juzi usiku kwa ajali ya gari.

Kwa mujibu wa Mkuu wa Idara ya Mawasiliano wa Chadema, Tumaini Makene, mazishi hayo yanatarajiwa kufanyika leo saa 7:00 mchana katika kijiji cha...

 

10 years ago

GPL

HAKURIDHISHI FARAGHA, NINI CHA KUFANYA?

NIJumamosi nyingine mpenzi msomaji wa safu hii ya Show The Love tunakutana kwa ajili ya kupeana darasa la uhusiano.Uzuri wa mapenzi ni kuridhishana. Kila mmoja ‘ainjoi’ kukutana na mwenzake, alifurahie tendo katika hali ambayo hawezi kuwa na hamu ya mapenzi pindi mnapokuwa mmemaliza tendo. Kinyume na hapo, kukiwa na tatizo katika upande mmoja, furaha ya tendo inaondoka. Mmoja kati ya wapendanao anakuwa na shauku ya...

 

Share

Magazeti ya Leo

Stay updated, Sign up

Habari za Mikoani