Kigwangalla: Tujiepushe kujadili afya za wengine
Mbunge wa Nzega, Dk Hamis Kigwangalla amewataka wanaowania kuteuliwa na CCM kugombea urais kuacha kukashifiana, kutukanana, kudharauliana na kuzungumza juu ya afya za wengine kwa kuwa mpaka sasa haijulikani nani atashinda.
Mwananchi
Habari Zinazoendana
5 years ago
Michuzi
KIGWANGALLA AKUTANA NA WAWAKILISHI WA WANANCHI KUJADILI UANZISHWAJI WA PORI LA AKIBA NA WMAYA ZIWA NATRON


5 years ago
Michuzi
WAZIRI WA AFYA AKUTANA NA WATAALAM WA AFYA KUJADILI HALI YA MWENENDO WA UGONJWA WA CORONA


10 years ago
Mtanzania08 Jun
Kigwangalla aja na bima ya afya kwa kila mwananchi
NA RUTH MNKENI, DAR ES SALAAM
MBUNGE wa Nzega, Dk. Khamis Kigwangalla, ametangaza rasmi nia ya kugombea urais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, akitaja vipaumbele vikuu vitatu ikiwa ni pamoja na kuboresha huduma za afya.
Kigwangalla ambaye alitangaza nia yake hiyo jana kwenye mkutano wa hadhara uliofanyika Nzega mkoani Tabora, alisema ameamua kuchukua uamuzi huo kwani ana dhamira njema, hofu ya Mungu na anachukia rushwa.
Alisema Tanzania ya sasa inahitaji kuongozwa na vijana ambao wana...
9 years ago
Mwananchi29 Dec
Tusiwape wengine fursa ya kujadili uhuru wetu
9 years ago
Bongo518 Dec
Picha: Kigwangalla apitisha mnyoosho ofisi za wizara ya afya, wachelewaji waishia getini!

‘Ziara za Kushtukiza’ na ‘Minyoosho’ ni majina ya kati ya serikali ya awamu ya tano ya Rais Dkt John Pombe Magufuli na mawaziri wake wameingia na kasi hiyo hiyo tangu waapishwe.
Leo ofisi za wizara ya afya jijini Dar es Salaam zilikuwa na ugeni wa ‘surprise’ kutoka kwa Naibu Waziri wa Afya, Maendeleo ya Jamii, Jinsia, Wazee na Watoto, Dkt. Hamisi Kigwangalla.
Ugeni huo haikuwa wa heri hata kidogo sababu wachelewaji wote walijikuta wakirudia getini baada ya Kigwangalla kuwaamrisha walinzi...
10 years ago
BBCSwahili06 Feb
Wataalam wa afya kujadili Ebola
9 years ago
Mwananchi15 Dec
Dk Kigwangalla-Naibu Waziri wa Afya, Maendeleo ya Jamii, Ustawi wa Jamii, Jinsia, Wazee na Watoto
10 years ago
Vijimambo
MKUTANO WA KUJADILI UPANGAJI WA MIPANGO WA KUBORESHA HUDUMA ZA AFYA


Mkutano huo wenye madhumuni ya kushirikiana katika matokeo ya utekelezaji wa mradi wa CEGO (citizens engaging in government oversight in health service provision ) kwa kupitia...
10 years ago
GPL
DK. BILAL ASIFU JUHUDI ZA MADAKTARI KUJADILI MASUALA YA AFYA