KIJANA ANAYESADIKIKA KUWA MWIZI APOKEA KICHAPO CHA NGUVU
![](http://1.bp.blogspot.com/-IDfODpyGVZM/VXBP-sGPogI/AAAAAAAAbKo/4ypbDA1wqio/s72-c/IMG_20150604_144431.jpg)
Hapa akipelekwa eneo ambalo ameiba baada ya kukamatwa wakati anakimbia eneola mtaa wa Uhuru, Mwenge jijini Dar.
Kibaka akiwa amekula kichapo cha maana baada ya kukamatwa na Laptop za wizi.
Mama Aliyevaa Kilemba aliyemshika mtu anayesemekana ni mwizi akitoa ufafanuzi kwa majirani wa eneo hilo leo kuhusu wizi ulivyotokea katika mtaa wa uhuru eneo la Mwenge jijini Dar
Laptop ambazo alikuwa amekamatwa nazo
Kibaka akielezea kabla ya wananchi wenye hasira kali hawajaanza kumpa kichapo
Hapa ndipo...
Vijimambo
Habari Zinazoendana
10 years ago
Michuzi![](http://2.bp.blogspot.com/-HZs6beFMaiw/VJgqsbCiddI/AAAAAAAG5Ec/5E7JdT442bI/s72-c/IMG_7608-1.jpg)
Magolikipa wawapa kichapo cha Mbwa mwizi Waandishi!
![](http://2.bp.blogspot.com/-HZs6beFMaiw/VJgqsbCiddI/AAAAAAAG5Ec/5E7JdT442bI/s1600/IMG_7608-1.jpg)
Awali mchezo huo ulipangwa kufanyika kwenye uwanja wa Karume kabla ya kuahamishiwa uwanja wa bora kutokana na...
10 years ago
GPL![](http://api.ning.com:80/files/TL-la4qMC-2FtVb9E37WHprXkJNjn07h45JjrWRsgcBOgaar0PR5vhmgDLJgTssGbLiVL-MOJQmBtPwLwhufE4qPWW-E2dap/njemba.jpg?width=650)
NJEMBA APOKEA KICHAPO HEVI AKIDAIWA KUMLAWITI MTOTO ARUSHA
10 years ago
Bongo Movies26 Dec
TETESI:Patcho Mwamba Apokea Kichapo Kizito Baada ya Kufumaniwa na Mke wa Mtu
Inasemekana kuwa mwigizaji na mwanamuziki wa Dansi Patcho Mwamba, amepewa kipigo cha nguvu hadi kumvimbisha uso kama unavyomuona hapo juu, baada ya kufumaniwa na mke wa mtu.
Habari hizi zinaenea kwa kasi zaidi mtandaoni kama moto wa vifuu…hakuna taarifa rasmi juu ya kinanani ,na wapi hasa tukilo hilimetokea,japokuwa inasemekanai ni siku ya krismas (jana) .Hadi sasa sio Patcho mwenyewe au watu wake wakaribu hawajajitokeza kukanusha taarifa hizi.
9 years ago
StarTV24 Aug
Timu ya Ngassa yapata kipigo cha mbwa mwizi cha 4-0
![](http://2.bp.blogspot.com/-O3yxJUEbx6U/VdmZnmQQGuI/AAAAAAABm1I/-CU5iUl2nIw/s640/13dc4207e53088253da60d7926d652d7.jpg)
TIMU ya Free State Stars yenye Mtanzania, Mrisho Khalfan Ngassa imefungwa mabao 4-0 jana na Kaizer Chiefs katika mchezo wa Ligi Kuu ya ABSA Afrika Kusini Uwanja wa FNB, Johannesburg.
Huo unakuwa mchezo wa pili Free State kufungwa, baada ya wiki mbili zilizopita kufungwa 1-0 nyumbani na Mpumalanga Blac Aces.
Katika mchezo wa jana ambao Ngassa hakucheza, mabao ya Kaizer Chiefs yalifungwa na Siboniso Gaxa dakika ya 34,...
10 years ago
BBCSwahili17 Dec
Kijana mzungu abadilika kuwa m'masai
11 years ago
MichuziNEW YORK YAPATA KIPIGO CHA MBWA MWIZI, YAPACHIKWA 5-0 NA DMV, PBZ WADHAMINI MECHI HIYO
Timua New York siku ya Jumamosi ilizima fegi mbele ya timu ya DMV kwenye mtanange uliokuwa ukisubiliwa kwa hamu na mashabiki wa DMV wakiongozwa na wachezaji wa timu zote mbili kwa kutambiana kwenye mitandao ya kijamii kabla ya mtanange huo kuhitimishwa hapo jana siku ya Jumamosi May 24, 2014 katika uwanja wa Walker Mills Park uliopo Capitol Heights.
Mbali na mechi hiyo kuwa nzuri...
10 years ago
BBCSwahili31 Jan
Je,Man United italipiza kichapo cha 5-3?
10 years ago
BBCSwahili21 Jan
Makasisi wapewa kichapo cha Mbwa Guinea
11 years ago
GPLDEREVA BODABODA ACHEZEA KICHAPO CHA TRAFIKI