Kikosi maaalum kuchunguza kifo cha Balozi
>Siku mbili baada ya Kaimu Balozi wa Libya, Ismail Nwairat kujiua kwa risasi akiwa ofisini kwake, Jeshi la Polisi kupitia kikosi maalum cha uchunguzi wa matukio ya kujiua, limeanza uchunguzi wa kifo hicho.
Mwananchi
Habari Zinazoendana
11 years ago
Mwananchi21 May
Polisi Dar yaunda jopo kuchunguza kifo cha bosi Ewura
9 years ago
GPL![](http://globalpublishers.co.tz/wp-content/uploads/2015/10/1.Mke-wa-marehemu-Mch.Mtikila-katikati-GEOGEA-MTIKILA-akizungumza-na-wanahabri-pichani-hawapo..jpg)
MKE WA MTIKILA AMUOMBA KIKWETE KUUNDA TUME YA KUCHUNGUZA KIFO CHA MUMEWE
9 years ago
Dewji Blog22 Oct
Breaking News: Mke wa marehemu Mch. Mtikila aibuka na kumuomba Rais Kikwete aunde tume ya kuchunguza kifo cha mme wake
Katibu Mkuu wa chama cha Democratic Party (DP) na Msemaji wa familia ambaye ni Mke wa marehemu Mchungaji Christopher Mtikila (katikati) akizungumza na waandishi wa Habari mepema muda katika ukumbi wa Idara ya Habari Maelezo jijini Dar es Salaam. ambapo ameeleza mambo mbalimbali ikiwemo suala la kutoridhishwa na ripoti ya jeshi la Polisi ambapo amemuomba Rais Dk. Jakaya Kikwete aunde tume huru ya kuchunguza kifo hicho. (Picha na Andrew Chale, Modewjiblog).
Na Andrew Chale,Modewjiblog
[DAR ES...
10 years ago
Michuzi![](http://1.bp.blogspot.com/-2N2MZkFA5Qc/VRKc4uMXKtI/AAAAAAAHNGM/pwwoud_4nrY/s72-c/unnamed%2B(30).jpg)
Balozi Kamala aomboleza kifo cha Kiongozi wa zamani wa Singapore
![](http://1.bp.blogspot.com/-2N2MZkFA5Qc/VRKc4uMXKtI/AAAAAAAHNGM/pwwoud_4nrY/s1600/unnamed%2B(30).jpg)
11 years ago
Michuzi23 Feb
11 years ago
Dewji Blog13 May
Dar yazizima kufuatia kifo cha Balozi Flossie Gomile Chidyaonga
Waziri wa nchi Ofisi ya Rais Zanzibar (Muungano na Utawala Bora), Mh. Mwinyi Haji Makame, akisaini kitabu cha maombolezo mara baada ya kuwasili kuhudhuria misa maalum ya kumwombea aliyekuwa Balozi wa Malawi nchini, Mh Flossie Gomile Chidyaonga kwenye ukumbi wa mikutano wa kimataifa wa Mwalimu Nyerere (JNICC) jijini Dar es salaam.(Picha zote na Zainul Mzige wa MOblog).
Waziri wa nchi Ofisi ya Rais Zanzibar (Muungano na Utawala Bora), Mh. Mwinyi Haji Makame akibadilishana mawazo na Balozi...
11 years ago
MichuziTAARIFA YA KIFO CHA BALOZI WA MALAWI NCHINI TANZANIA,HAYATI FLOSSIE GOMILE
Balozi Flossie Chidyaonga alizaliwa tarehe 16 Juni, 1960 huko Blantyre nchini Malawi. Balozi Chidyaonga aliitumikia Serikali ya Malawi katika nyadhifa mbalimbali. Kati ya mwaka 2006 hadi 2010 alikuwa Naibu Balozi wa Malawi...
10 years ago
Vijimambo![](http://1.bp.blogspot.com/-d6qCX8jeQco/VbuF8conmkI/AAAAAAABD-M/zazplLzHRzY/s72-c/162.jpg)
BALOZI SEIF AOMBOLEZA KIFO CHA RAIS MSTAAFU WA INDIA, BWANA AVUL PAKIR JAINULABDEEN
![](http://1.bp.blogspot.com/-d6qCX8jeQco/VbuF8conmkI/AAAAAAABD-M/zazplLzHRzY/s640/162.jpg)
![](http://2.bp.blogspot.com/-X2zOB3kHJho/VbuF7umrskI/AAAAAAABD-I/j-9rDCPWVJY/s640/167.jpg)
Picha na – OMPR – ZNZ.
Makamu wa...
11 years ago
Dewji Blog02 Jul
Wizara ya Mambo ya Nje yathibitisha kifo cha balozi wa Libya aliyejipiga risasi usiku wa kuamkia leo
Waziri wa Mambo ya Nje na Ushirikiano wa Kimataifa, Mh. Benard Membe.
Na Mwandishi wetu.
Balozi wa Libya nchini Mh. Ismail Nwairat amefariki dunia jijini Dar es Salaam usiku wa kuamkia leo baada ya kujipiga risasi ya kifuani upande wa kushoto akiwa ofisini kwake.
Taarifa iliyotolewa na Wizara ya Mambo ya Nje na Ushirikiano wa Kimataifa ilisema kuwa, ilipokea taarifa kutoka kwenye Ubalozi huo kuwa aliyekuwa Kaimu Balozi wa Libya, Ismail Nwairat amefariki dunia kwa kujipiga risasi.
Hata...