Kikwete achoshwa na wizi kilimo
WIZI na ubadhirifu katika vyama vya ushirika, mwisho wake upo karibu baada ya Rais Jakaya Kikwete kuagiza Jeshi la Polisi, kuanza upelelezi wa maofisa ushirika wanaoshiriki vitendo hivyo na kuwanyima wakulima haki zao.
habarileo
Habari Zinazoendana
10 years ago
Habarileo23 Aug
Kikwete achoshwa na migogoro Morogoro
RAIS Jakaya Kikwete ameahidi kuwa Serikali yake italipatia ufumbuzi wa kudumu tatizo sugu la ugomvi kati ya wakulima na wafugaji katika Mkoa wa Morogoro ambalo kimsingi linasababishwa na wachungaji kuingiza mifugo yao katika mashamba ya wakulima.
11 years ago
Mwananchi29 Jan
Kikwete ataka kilimo kutumia teknolojia mpya
11 years ago
Mwananchi21 Jul
Askofu achoshwa na migogoro
9 years ago
GPL![](http://api.ning.com:80/files/jw5zqGnfHdryDZjppEKFEs-1*1lMsmMW69TgrdVlkliWscKbJNyhT59*xo5L58qQ2hSADjky18GqdX9qCNDbNt90rWx2ptUa/Coletha.jpg?width=650)
KOLETHA ACHOSHWA NA UPWEKE!
10 years ago
MichuziRais Kikwete kuzindua benki ya Maendeleo ya Kilimo Tanzania
10 years ago
Michuzi![](http://3.bp.blogspot.com/-w-TYYZdSbyY/VcSLmAbQvhI/AAAAAAAHvBc/ZOB2JfSS3GI/s72-c/Akq5-M0atK4YY9ikbEIIc563v1BnKOFFBqVzbrDa5QsR.jpg)
RAIS KIKWETE AZINDUA BENKI YA MAENDELEO YA KILIMO NCHINI
![](http://3.bp.blogspot.com/-w-TYYZdSbyY/VcSLmAbQvhI/AAAAAAAHvBc/ZOB2JfSS3GI/s640/Akq5-M0atK4YY9ikbEIIc563v1BnKOFFBqVzbrDa5QsR.jpg)
11 years ago
Habarileo30 Jan
Yaya Toure, D'Banj waungana na Kikwete kwenye kilimo
KAMPENI inayohamasisha vita dhidi ya umaskini kwa kutumia kilimo iliyoasisiwa na Rais Jakaya Kikwete na Shirika la One la Marekani, imeungwa mkono na msanii D'Banj wa Nigeria pamoja na mchezaji wa Manchester City, Yaya Toure.
11 years ago
Habarileo29 Jan
Kikwete asisitiza elimu ya kilimo kwa wakulima wadogo
RAIS Jakaya Kikwete amesema ili Tanzania ijitosheleze kwa chakula na iweze kuuza ziada, lazima kuendeleza wakulima wadogo kwa kuwapa elimu ya kilimo bora, mtaji na soko.