KOLETHA ACHOSHWA NA UPWEKE!
![](http://api.ning.com:80/files/jw5zqGnfHdryDZjppEKFEs-1*1lMsmMW69TgrdVlkliWscKbJNyhT59*xo5L58qQ2hSADjky18GqdX9qCNDbNt90rWx2ptUa/Coletha.jpg?width=650)
Muigizaji wa muda mrefu, Koletha Raymond. BRIGHTON MASALU KOLETHA Raymond, ambaye ni muigizaji wa muda mrefu, amesema kwa sasa amechoshwa na upweke huku akiweka wazi kuwa yuko tayari kuingia kwenye uhusiano endapo atapata mwanaume mwenye sifa stahiki. ‘Akidondosha silabi’ na Amani, Koletha alisema kwa muda mrefu sasa amekuwa peke yake huku pombe ikigeuka faraja pekee ya moyo wake, kutoka na kukosa mapenzi ya dhati...
GPL
Habari Zinazoendana
10 years ago
Bongo Movies02 Mar
Koletha:Tuhongwe kwa Malengo!
Mrembo na mwigizaji wa filamu, Coletha Raymond ‘Koletha’ amewataka mastaa wa kike kuzitumia vizuri fedha wanazohongwa na vigogo kwa kuwekeza kwenye miradi ili ziwanufaishe
Koletha alisema suala la wasanii wengi wa kike kuishi kwa kutegemea wanaume wakware lipo wazi kabisa, isipokuwa wengi wao wanajisahau kwa kuzitumia hovyo kwa starehe badala ya kuwekeza kwenye miradi.
“Wasanii wengi wanategemea kuhongwa lakini wawe makini na hao wanaowahonga, kama ni gari wapewe kadi na chochote kile kiwe...
10 years ago
GPL![](http://api.ning.com:80/files/Ktsylelmf0kIjRG0lP0V8hRehqpaKqPiw1KsJlu-CvxyLgfLgeKwC9v5qwHnNnKNLTdrwF7C7pGYQ2KH*Icpkat614Sl4gxj/koletha.jpg)
KOLETHA: SIPENDI UHUSIANO NA WASANII
10 years ago
GPL![](http://api.ning.com:80/files/IdN5y1KxAWkvkgz75KJkEMBVXgoajPrTKLrTsXD-PrIhfUBGseKb7EgAw7gyFAyUbyIve43VgvsVmJf2sCVtrdmKFBw8-Pqw/koletha.jpg)
KOLETHA: TUHONGWE KWA MALENGO!
10 years ago
GPL![](http://api.ning.com:80/files/741FtnVWixaKOQSpoKf7s29xbU-nJHcL72vnrQ6qVUejxO8M1M6wiLwv2emOGqpWQkxUga0FiqIv5oLRgiXLcy*LDWLklMwe/koleta.jpg)
KOLETHA KILIO BAADA YA KUKOMBWA KILA KITU NA WEZI
11 years ago
Mwananchi21 Jul
Askofu achoshwa na migogoro
11 years ago
Habarileo09 Jun
Kikwete achoshwa na wizi kilimo
WIZI na ubadhirifu katika vyama vya ushirika, mwisho wake upo karibu baada ya Rais Jakaya Kikwete kuagiza Jeshi la Polisi, kuanza upelelezi wa maofisa ushirika wanaoshiriki vitendo hivyo na kuwanyima wakulima haki zao.
10 years ago
Habarileo23 Aug
Kikwete achoshwa na migogoro Morogoro
RAIS Jakaya Kikwete ameahidi kuwa Serikali yake italipatia ufumbuzi wa kudumu tatizo sugu la ugomvi kati ya wakulima na wafugaji katika Mkoa wa Morogoro ambalo kimsingi linasababishwa na wachungaji kuingiza mifugo yao katika mashamba ya wakulima.
9 years ago
Habarileo28 Dec
Muhongo achoshwa umeme wa bei juu
WAZIRI wa Nishati na Madini, Profesa Sospeter Muhongo ameuagiza uongozi wa Shirika la Umeme Tanzania (TANESCO) Kanda ya Ziwa kuhakikisha wanauingiza mkoa wa Kagera katika Gridi ya Taifa baada ya kubainika nchi inaingia gharama kubwa kununua umeme kutoka Uganda.
10 years ago
Mtanzania17 Apr
Bobby Brown achoshwa na hali ya Kristina
NA BADI MCHOMOLO
BAADA ya Kristina Brown kukaa hospitali kwa muda wa siku 73 tangu aanguke bafuni Januari 31 mwaka huu, baba yake, Bobby Brown, ameonekana kukata tamaa ya kupona kwa binti yake huyo.
Kristina bado anaishi kwa kutegemea nguvu ya mashine, lakini hata hivyo hali yake haileti matumaini tangu alipopelekwa hospitalini.
“Mpaka sasa hatujui nini kitatokea kwa mtoto wetu, tumemkabidhi Mungu kila kitu kwa kuwa yeye ndiye mwenye maamuzi ya mwisho katika kila jambo.”
Mbali na Bobby Brown...