Jobs

Sales Representative

NORTH AMERICA ALIGN WORKERS EMPLOYMENT PROGRAM (NAAWEP)
Deadline: Oct 26, 2105




POPULAR ON YOUTUBE


Koletha:Tuhongwe kwa Malengo!

Mrembo na mwigizaji wa filamu, Coletha Raymond ‘Koletha’ amewataka mastaa wa kike kuzitumia vizuri fedha wanazohongwa na vigogo kwa kuwekeza kwenye miradi ili ziwanufaishe

Koletha alisema suala la wasanii wengi wa kike kuishi kwa kutegemea wanaume wakware lipo wazi kabisa, isipokuwa wengi wao wanajisahau kwa kuzitumia hovyo kwa starehe badala ya kuwekeza kwenye miradi.

“Wasanii wengi wanategemea kuhongwa lakini wawe makini na hao wanaowahonga, kama ni gari wapewe kadi na chochote kile kiwe...

Bongo Movies

Read more


Habari Zinazoendana

10 years ago

GPL

KOLETHA: TUHONGWE KWA MALENGO!

Mayasa Mariwata/ijumaawikienda
MSANII wa sinema za Kibongo, Coletha Raymond ‘Koletha’ amewataka mastaa wa kike kuzitumia vizuri fedha wanazohongwa na vigogo kwa kuwekeza kwenye miradi ili ziwanufaishe. Msanii wa sinema za Kibongo, Coletha Raymond ‘Koletha’. Koletha alisema suala la wasanii wengi wa kike kuishi kwa kutegemea wanaume wakware lipo wazi kabisa, isipokuwa wengi wao wanajisahau kwa...

 

9 years ago

GPL

KOLETHA ACHOSHWA NA UPWEKE!

Muigizaji wa muda mrefu, Koletha Raymond. BRIGHTON MASALU KOLETHA Raymond, ambaye ni muigizaji wa muda mrefu, amesema kwa sasa amechoshwa na upweke huku akiweka wazi kuwa yuko tayari kuingia kwenye uhusiano endapo atapata mwanaume mwenye sifa stahiki. ‘Akidondosha silabi’ na Amani, Koletha alisema kwa muda mrefu sasa amekuwa peke yake huku pombe ikigeuka faraja pekee ya moyo wake, kutoka na kukosa mapenzi ya dhati...

 

10 years ago

GPL

KOLETHA: SIPENDI UHUSIANO NA WASANII

Stori: Gladness Mallya MSANII mkongwe  kwenye gemu la filamu Bongo, Coletha Raymond ‘Koletha’ amefunguka kwamba tangu aingie kwenye fani hiyo hajawahi kuwa na mpenzi msanii na hapendi hata kuwasikia. Msanii mkongwe  kwenye gemu la filamu Bongo, Coletha Raymond ‘Koletha’ Akipiga stori na gazeti hili, Koletha alisema kutokana na kwamba anazijua tabia zao kwani anafanya nao kazi pia wakati alipoanza...

 

10 years ago

GPL

KOLETHA KILIO BAADA YA KUKOMBWA KILA KITU NA WEZI

Stori : Deogratius Mongela /Uwazi
MUIGIZAJI wa filamu Bongo, Koletha Raymond ‘Coletha’ amejikuta akiwa hana kitu baada ya kukombwa shilingi milioni moja na nusu, nguo zake zaidi ya ishirini na vifaa vya kuchukulia video wakati wakiwa lokesheni maeneo ya Mtoni Kijichi, jijini Dar. Coletha Raymond ‘Koleta’. Akizungumza na Uwazi, Coletha alisema aliitwa lokesheni kucheza filamu ya Mkono wa Kushoto...

 

11 years ago

Mwananchi

‘Tumieni mikopo kwa malengo’

Watanzania wametakiwa kujenga utamaduni wa kutumia mikopo kwa malengo sahihi na kuirudisha kwa wakati ili kutoa fursa kwa wajasiriamali wadogo kukuza mitaji yao kupitia benki.

 

11 years ago

Tanzania Daima

Wanafunzi watakiwa kusoma kwa malengo

MKURUGENZI Mkuu wa Mamlaka ya Maendeleo ya Biashara Tanzania (Tantrade), Jacqueline Mneney, amewataka wanafunzi nchini kusoma kwa malengo ya kutimiza ndoto zao za baadaye. Amesema ikiwa kila anayesoma ataondokana na...

 

11 years ago

Mwananchi

Tuwasaidie watoto wetu kusoma kwa malengo

Kwa kawaida elimu hasa inayotolewa kwa ubora unaostahiki huwafanya wanaonufaika nao kuwa wachapakazi, wastaarabu, watetezi wa demokrasia na wapinga maovu kama vile kutoa na kupokea rushwa.

 

10 years ago

Mwananchi

Majimaji, Toto African kwa malengo tofauti

>Baada ya kufanikiwa kupanda  daraja na kucheza Ligi Kuu Bara, Majimaji ya Songea na Toto African ya Mwanza zimejiwekea malengo tofauti.

 

10 years ago

Tanzania Daima

Mitandao ya kijamii itumike kwa malengo chanya

MITANDAO ya kijamii ni mizuri katika kuhabarisha umma, endapo inatumiwa kulingana na madhumuni iliyotengenezwa, kwani ina nguvu ya kusambaza habari kwa haraka na kwa wakati. Pamoja na umuhimu wa mitandao...

 

Share

Magazeti ya Leo

Stay updated, Sign up

Habari za Mikoani