Jobs

Sales Representative

NORTH AMERICA ALIGN WORKERS EMPLOYMENT PROGRAM (NAAWEP)
Deadline: Oct 26, 2105




POPULAR ON YOUTUBE


KING LAURENCE, KWA HILI LA ZARI NA DIAMOND UNAJICHORESHA!

NIMEWAHI kusema huko nyuma kuwa moja kati ya vitu vinavyoturudisha sana nyuma sisi watu weusi, ni wivu, hasa wa kijinga. Wivu ni tabia kama zilivyo tabia nyingine, mtu huzaliwa nayo, ingawa wachache hujifunza ukubwani, wengi kati yao wakiwa ni tegemezi! Mtu anayejimudu mara nyingi hatawaliwi na wivu, labda uwe wa maendeleo, ambao pia sisi watu weusi tumekosa. Maisha ya aina hii yapo sana katika jamii yetu, mmoja kumchukia...

GPL

Read more


Habari Zinazoendana

9 years ago

Africanjam.Com

KING LAWRENCE CLAIMS TO THE FATHER OF ZARI'S BABY AND NOT DIAMOND PLATNUMZ


The game is still on...King Lawrence is back with a bang and this time around, he wants a DNA test done on Zari's baby to ascertain if the  baby belongs to him or singer Diamond Platnumz.King Lawrence, real name Sserunjogi Lawrence is Ivan Semwanga's half brother and for the record, Ivan is Zari's ex-hubby with whom they have three children, all boys.Ivan was yesterday with the boys busy celebrating his first born's belated birthday at his residence in South Africa with Zari sending them the...

 

10 years ago

Vijimambo

KWA HILI DIAMOND UMECHEMKA.


Miaka kadhaa nyuma aliibuka msanii mchanga na nyimbo kali na zilizogusa mioyo ya wengi, hisia kali, mashairi yenye mpangilio na hata vina vilivyosimama kwa unadhifu, walilia wenye kulia kwa tungo hizo, wakafurahi wenye kufurahishwa na utunzi huo, vijana wakasema dah!, mshikaji ni noumaa!, ndio, hayo ndo maneno yetu vijana tukimkubali mtu, ila wazee nao wakasema Mungu amzidishie na kumbariki kijana huyu. Ndio, maneno ya wakubwa dawa bwana, na Mungu kweli akatenda, kijana akabarikiwa.Kwa mara...

 

11 years ago

GPL

KWA HILI DIAMOND UNASTAHILI PONGEZI!

KWAKO,
Nasibu Abdul ‘Diamond’. Pole na kazi na mihangaiko ya hapa na pale. Najua uko bize sana na shoo za kila kukicha. Siyo mbaya, ndiyo maisha, maana bila kazi inakuwa siyo maisha tena. Muda mrefu sana hatuwasiliani... nasikia siku hizi unapokea simu kwa nadra sana! Hata hivyo, siyo lengo langu kuzungumzia hayo. Ni kitambo kidogo hatujakutana kwenye barua. Naamini leo ni sahihi zaidi kukufikishia ujumbe huu. Hata...

 

10 years ago

GPL

BABU TALE, KWA HILI LA DIAMOND UMEBUGI!

MOJA ya tatizo kubwa linalowasumbua wasanii wetu, hasa hawa wa muziki wa kizazi kipya, ni ukosefu wa usimamizi makini wa kazi zao za sanaa, au kama wazungu wanavyosema, Management. Wenyewe, hasa chipukizi wanaotaka kutoka, utawasikia wanasema, nina kipaji lakini sina meneja. Ingawa wanaposema meneja maana yake ni msimamizi wa kazi zao, lakini kwao huwa na maana pana zaidi, kwamba mtu huyo, ndiye awe bosi wake, amsaidie hela ya...

 

10 years ago

Africanjam.Com

TANZANIA: KUELEKEA ZARI WHITE PARTY, DIAMOND AFUNGUKA KUHUSU NDOA YAKE NA ZARI

Tweet

Diamond Platnumz ambae ni miongoni mwa wasanii wa muziki wanaofanya vizuri sana Africa amefunguka kuhusu Ndoa yake na mwanamama Zari, Diamond amesema kwamba atakuwa ndani ya ndoa kabla ya mwaka huu kuisha.Diamond alifunguka hayo asubuhi ya tar 1 May. 2015 katika kuipigia promo Event ya Zari All All White Party itakayofanyika tar 1 May. Tamasha hilo linatarajiwa kuacha historia ya kipekee kwa kua na kiingilio cha gharama kubwa zaidi kwani ticket za VIP zimeuzwa kwa Millioni tatu na mpaka...

 

10 years ago

Vijimambo

DIAMOND APEWA OFA YA $40,000 AMWACHE ZARI, NJEMBA LAPOST SCREENSHOT YA ZARI AKILIOMBA MKWANJA!

Mapenzi ya Diamond na Zari The Bosslady tayari yameanza kupata vikwazo kutoka kwa watu wenye nguvu. King Lawrence, anayedaiwa kuwa mpenzi wake na Huddah Monroe na ambaye pia ni mtu wa karibu na dereva wa aliyewahi kuwa mume wa Zari, Ivan Semwanga ametangaza dau la $40,000 kwa Diamond ili amwache mpenzi wake huyo. Jamaa huyo amepost picha Facebook ya screenshot inayoonesha kuwa ni mawasiliano na Zari aliyekuwa akitaka amtumie fedha.Lawrence pia amemuita Diamond ‘Faggot’ neno linalomaanisha...

 

10 years ago

GPL

DIAMOND AMJIBU KWA VITENDO EX WA ZARI

Diamond akiwa kwenye baiskeli huku Zari akiwa kwenye BMW X6. Baadhi ya post za King Lawrence Instagram akimkejeli Diamond. STAA wa Bongo Fleva Nasibu Abdul ‘Diamond’, ameamua kumjibu kwa vitendo anayedai kuwa aliwahi kuwa mpenzi wa mwandani wake wa sasa, Zarinah Hassani ‘Zari’, King Lawrence ambaye amekuwa akimtupia maneno ya kumtusi na kejeli mitandaoni.… ...

 

Share

Magazeti ya Leo

Stay updated, Sign up

Habari za Mikoani