KIPAJI CHA AINA YA PEKEE
Vijimambo
Habari Zinazoendana
11 years ago
Mwananchi21 Jul
Kipaji pekee hakitoshi, bingwa huandaliwa
10 years ago
Mwananchi13 Apr
Bingwa huandaliwa, kipaji pekee hakisaidii
10 years ago
Bongo521 Jul
Ne-Yo akikubali kipaji cha uchoraji cha Mtanzania huyu, aipost picha yake kwenye Instagram
10 years ago
BBCSwahili28 Jul
Yatima asiyesoma na kipaji cha Hesabu
10 years ago
Bongo Movies28 May
Una Kipaji cha Kuigiza?! Kampuni ya Eagles Inakuhitaji
Kampuni ya Eagles Entertainment inayojishughulisha na utengenezaji wa muziki na filamu ipo katika mikakati ya kufanya usaili kwa ajili ya maandalizi ya kurekodi tamthilia kali na ya kipekee hapa Bongo, mkurugenzi wa kampuni hiyo Yuster Nyakachara anafafanua.
Tutakuwa na zoezi la kutafuta wasanii wenye vipaji kwa ajili ya tamthilia yetu ambayo ni ya kipekee kabisa kutengenezwa na ratiba yetu ni kuanza kushuti mwezi wa saba,”anasema Mghesi.
Kampuni inatarajia kuanza kufanya usaili mapema...
10 years ago
Raia Tanzania31 Jul
Mtoto mwenye kipaji cha ajabu ndani ya Dar
MTOTO mwenye kipawa cha ajabu katika kutoa ushauri wa kujijengea uwezo wa kujiamini anayezidi kujipatia umaarufu mkubwa duniani, Lonnie Hudson maarufu kwa jina la ‘King Nahh’ yupo jijini Dar es Salaam.
King Nahh yuko jijini akiwa ameambatana na baba yake mzazi , Nyeeam Hudson. Familia ya motto huyo ipo nchini kwa mwaliko wa taasisi isiyo ya kiserikali ya Wisdom Partners.
Mtoto huyo amealikwa nchini kwa madhumuni ya kuungana au kukutana na watoto wenzake kuamsha hisia za za...
10 years ago
GPL11 Nov
10 years ago
GPLAZZY MLEMAVU MWENYE KIPAJI CHA HALI YA JUU
10 years ago
VijimamboKIPAJI KINGINE CHA MAGUFULI NA UCHAPAKAZI WAKE HIKI HAPA
Wanamichezo wamekuwa wakijiuliza kama mgombea wa urais wa CCM, John Pombe Magufuli ni mpenda michezo.Ingawa wapo wanaoamini ni mpenda michezo, lakini inaonekana wazi kuwa anapenda sanaa.Kipaji cha sanaa ambacho amekuwa hakionyesha mara kwa mara ni upigaji wa ngoma ambazo ikitokea ameona watu wanazitandika, amekuwa hajivungi kama picha hii inavyoonyesha.Magufuli ndiye mgombea wa urais kupitia CCM baada ya kuwashinda wagombea wengine 37 walioonyesha nia.CCM kupitia mwenyekiti wake, Jakaya...